najishangaa.......washanga nini? Umeona wenzako walivokuja juu,...nimetua stress zote kwa mada hii.
Ni mtazamo wangu, hebu naomba maoni yenu wake kwa waume, just imagine ikatokea leo kufanya ngono kati ya mwanaume na mwanamke kukapigwa marufuku, wewe binafsi unafikiri nani kati ya mwanamke na mwanaume atakuwa wa kwanza kuleta upinzani dhidi ya marufuku hiyooo???
hahaha...itakuwa hujagegedwa vizuri wewe...njoo kwangu
wanawake coz watakosa wa kuwapiga vizinga