Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 10,488
- 16,646
- Thread starter
- #21
Mimi nimekwambia wewe husomi au tuseme unasoma lakini hufahamu,Taarifa zako nimeziona na mimi nimekuwekea kiambatanisho Naona mimi nakazia ukweli lakini wewe bado unaendekeza TAQIYYAH!!
Hebu angalia hiyo paragrafu katika hiyo link uliyoniwekea mwenyewe,
Major General (ret.) Nimrod Sheffer, one of those who organized the letter, strongly reacted against Bar's decision. "I am surprised that the commander is threatening these people, who have served hundreds of days during these last eighteen months," he said. "Our call is to the government, not the air force."