Marubani 1000 wa jeshi la Israel wasaini waraka wa kupinga vita.

Marubani 1000 wa jeshi la Israel wasaini waraka wa kupinga vita.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
10,488
Reaction score
16,646
Ni uhakika kuwa nguvu kubwa ya jeshi la Israel ipo kwenye mapigano ya angani kwa kutumia ndege za teknolojia za kisiasa kuwapiga inaoamini ni maadui zake.
Jumla ya marubani wa ndege hizo wengi wao wakiwa ni wastaafu wamesaini waraka kupinga kuendelea kwa vita ambavyo wameona havijafikia malengo.
Marubani hao wamesema mkazo uwekwe kwenye kuwapata mateka waliobaki na kuokoa maisha ya askari wao pamoja na raia kwa ujumla hata iwapo kufanya hivyo itabibidi kuwaachia Hamas kuendelea kuwepo.
Walichokiona marubani hao wamesema ni kuwekwa mbele matakwa binafsi na ya kisiasa ya Benjamin Netanyahu na kundi lake la kihafidhina.
Akizungumzia waraka huo waziri mkuu huyo ameshutumu kundi hilo kwamba ni la watu wachache wenye nia ya kuipindua serikali yake,na ameapa kupambana nao hasa wale ambao ni sehemu ya askari walio kazini muda huu.

Israeli Air Force veterans criticize Gaza war resumption

Updates ya leo 15April 2025
Idadi ya askari imeongezeka wameungwa mkono na madakari wa kijeshi na leo askari wa kikosi maalumu cha Golani
 
Ni uhakika kuwa nguvu kubwa ya jeshi la Israel ipo kwenye mapigano ya angani kwa kutumia ndege za teknolojia za kisiasa kuwapiga inaoamini ni maadui zake.
Jumla ya marubani wa ndege hizo wengi wao wakiwa ni wastaafu wamesaini waraka kupinga kuendelea kwa vita ambavyo wameona havijafikia malengo.
Marubani hao wamesema mkazo uwekwe kwenye kuwapata mateka waliobaki na kuokoa maisha ya askari wao pamoja na raia kwa ujumla hata iwapo kufanya hivyo itabibidi kuwaachia Hamas kuendelea kuwepo.
Walichokiona marubani hao wamesema ni kuwekwa mbele matakwa binafsi na ya kisiasa ya Benjamin Netanyahu na kundi lake la kihafidhina.
Akizungumzia waraka huo waziri mkuu huyo ameshutumu kundi hilo kwamba ni la watu wachache wenye nia ya kuipindua serikali yake,na ameapa kupambana nao hasa wale ambao ni sehemu ya askari walio kazini muda huu.

Israeli Air Force veterans criticize Gaza war resumption

Mwandishi wa Waraka ni serikali ya nani?

Tuanzie gapo kwanza

Hau umoja wa mataifa tu wameshindwa, hizo poropaganda zitafanya kazi kweli?
 
Ni uhakika kuwa nguvu kubwa ya jeshi la Israel ipo kwenye mapigano ya angani kwa kutumia ndege za teknolojia za kisiasa kuwapiga inaoamini ni maadui zake.
Jumla ya marubani wa ndege hizo wengi wao wakiwa ni wastaafu wamesaini waraka kupinga kuendelea kwa vita ambavyo wameona havijafikia malengo.
Marubani hao wamesema mkazo uwekwe kwenye kuwapata mateka waliobaki na kuokoa maisha ya askari wao pamoja na raia kwa ujumla hata iwapo kufanya hivyo itabibidi kuwaachia Hamas kuendelea kuwepo.
Walichokiona marubani hao wamesema ni kuwekwa mbele matakwa binafsi na ya kisiasa ya Benjamin Netanyahu na kundi lake la kihafidhina.
Akizungumzia waraka huo waziri mkuu huyo ameshutumu kundi hilo kwamba ni la watu wachache wenye nia ya kuipindua serikali yake,na ameapa kupambana nao hasa wale ambao ni sehemu ya askari walio kazini muda huu.

Israeli Air Force veterans criticize Gaza war resumption

msemaji wa waraka wenyewe ni mfia dini huoni hii ni propaganda
 
Kuna sehem umesema wengi wao ni wastaafu sasa utaalamu wao wa kurusha ndege Una adhari gani kwenye vikosi vya ndege vya Israel? Ukichukulia wao ni wastaafu!!
akili zako sijui zikoje.
Wastaafu wanaheshimika mawazo yao.Na umeambiwa wako ambao ndio warushaji sasa hivi.Bado tu hujaona athari zoo
Netanyahu kashtushwa na huo waraka wewe unaona ni sawa tu.
 
Maadamu mashambulizi kule gaza yanaendelea basi mimi roho kwatu! R.I.P JOSHUA MOLLEL
 
akili zako sijui zikoje.
Wastaafu wanaheshimika mawazo yao.Na umeambiwa wako ambao ndio warushaji sasa hivi.Bado tu hujaona athari zoo
Netanyahu kashtushwa na huo waraka wewe unaona ni sawa tu.
Hivi hizi stori hamchoki tu kuzileta?

Mlishaleta hadi clips za maandamano ya wanajeshi humu kuwa wanamfuata Netapaka lakini hamkutueleza waliishia wapi.
 
Ni uhakika kuwa nguvu kubwa ya jeshi la Israel ipo kwenye mapigano ya angani kwa kutumia ndege za teknolojia za kisiasa kuwapiga inaoamini ni maadui zake.
Jumla ya marubani wa ndege hizo wengi wao wakiwa ni wastaafu wamesaini waraka kupinga kuendelea kwa vita ambavyo wameona havijafikia malengo.
Marubani hao wamesema mkazo uwekwe kwenye kuwapata mateka waliobaki na kuokoa maisha ya askari wao pamoja na raia kwa ujumla hata iwapo kufanya hivyo itabibidi kuwaachia Hamas kuendelea kuwepo.
Walichokiona marubani hao wamesema ni kuwekwa mbele matakwa binafsi na ya kisiasa ya Benjamin Netanyahu na kundi lake la kihafidhina.
Akizungumzia waraka huo waziri mkuu huyo ameshutumu kundi hilo kwamba ni la watu wachache wenye nia ya kuipindua serikali yake,na ameapa kupambana nao hasa wale ambao ni sehemu ya askari walio kazini muda huu.

Israeli Air Force veterans criticize Gaza war resumption

Wee Babu wee. Kumbuka mwanajeshi amekula kiapo cha utii. Itakuwaje akengeuke kwenye kiapo chake? Zipo hatua za kisheria kwa mujibu wa Taratibu za kijeshi kwa mwanajeshi anaye kaidi Amri ya Amiri jeshi mkuu. Kukaidi Amri, esp. kwa askari; sio jambo jepesi kivile kama unavyofikiria. Hao wastaafu mbona hawakufanya hivyo walipokuwa kwenye ajira (active)? Halafu kuchagiza (to Criticize) haimaanishi kupinga bali ni kukosoa au kupendekeza marekebisho fulani yafanyike au yazingatiwe katika utekelezaji. Ndo mana kwenye waraka wao wanasema mkazo uwe kuwapata mateka etc etc. Naye PM anawatahadharisha na kuwatanabahisha askari walio kazini i.e. wakumbuke kwamba wapo chini ya kiapo.
 
Ni uhakika kuwa nguvu kubwa ya jeshi la Israel ipo kwenye mapigano ya angani kwa kutumia ndege za teknolojia za kisiasa kuwapiga inaoamini ni maadui zake.
Jumla ya marubani wa ndege hizo wengi wao wakiwa ni wastaafu wamesaini waraka kupinga kuendelea kwa vita ambavyo wameona havijafikia malengo.
Marubani hao wamesema mkazo uwekwe kwenye kuwapata mateka waliobaki na kuokoa maisha ya askari wao pamoja na raia kwa ujumla hata iwapo kufanya hivyo itabibidi kuwaachia Hamas kuendelea kuwepo.
Walichokiona marubani hao wamesema ni kuwekwa mbele matakwa binafsi na ya kisiasa ya Benjamin Netanyahu na kundi lake la kihafidhina.
Akizungumzia waraka huo waziri mkuu huyo ameshutumu kundi hilo kwamba ni la watu wachache wenye nia ya kuipindua serikali yake,na ameapa kupambana nao hasa wale ambao ni sehemu ya askari walio kazini muda huu.

Israeli Air Force veterans criticize Gaza war resumption

Na bado mtadundwa tu. Na allah ndo kwanza anawazoom tu huku akijivutia sigala yake

View: https://x.com/JJJuraid/status/1910415003611734144
 
Hizo ni porojo za masjid ubwabwa. Nothing else.
 
Ni uhakika kuwa nguvu kubwa ya jeshi la Israel ipo kwenye mapigano ya angani kwa kutumia ndege za teknolojia za kisiasa kuwapiga inaoamini ni maadui zake.
Jumla ya marubani wa ndege hizo wengi wao wakiwa ni wastaafu wamesaini waraka kupinga kuendelea kwa vita ambavyo wameona havijafikia malengo.
Marubani hao wamesema mkazo uwekwe kwenye kuwapata mateka waliobaki na kuokoa maisha ya askari wao pamoja na raia kwa ujumla hata iwapo kufanya hivyo itabibidi kuwaachia Hamas kuendelea kuwepo.
Walichokiona marubani hao wamesema ni kuwekwa mbele matakwa binafsi na ya kisiasa ya Benjamin Netanyahu na kundi lake la kihafidhina.
Akizungumzia waraka huo waziri mkuu huyo ameshutumu kundi hilo kwamba ni la watu wachache wenye nia ya kuipindua serikali yake,na ameapa kupambana nao hasa wale ambao ni sehemu ya askari walio kazini muda huu.

Israeli Air Force veterans criticize Gaza war resumption

Propaganda za kipuuzi kutoka kijiwe ushuzi magomeni
 
Hivi hizi stori hamchoki tu kuzileta?

Mlishaleta hadi clips za maandamano ya wanajeshi humu kuwa wanamfuata Netapaka lakini hamkutueleza waliishia wapi.
Halafu sasa hivi wanalo tatizo kubwa la mtunzi wao (Propagandist) gaidi Muhammad Saleh al-Bardawil, IDF walipita naye juzi 08/04/2025.
 
Waraka umeandikwa na wananchi wenyewe na wataalamu wa kurusha ndege za kivita.
Eti wataalamu wa kurusha ndege-Vita!!! Watu hao ni wastaafu usitake kudanganya watu toka lini wasitaafu wakawa tishio? Hao wamejipotezea pension zao
IDF imewafuta kazi maafisa wa akiba wa Jeshi la Wanahewa, wakiwemo marubani, ambao walitia saini ombi la kupinga kuendelea kwa vita vya Gaza.

Ombi hilo, lililotiwa saini na maafisa 950 wa Jeshi la Anga waliostaafu na wanaofanya kazi, linadai kuwa kwa wakati huu vita vinaendelea kwa sababu za kisiasa.

Uongozi wa sasa wa IDF haukubaliani, na ulisema wale waliotia saini barua hiyo hawataitwa tena kuhudumu.

Takriban 10% ya waliotia saini ni wasitaafu wanaofanya kazi.
 
Eti wataalamu wa kurusha ndege-Vita!!! Watu hao ni wastaafu usitake kudanganya watu toka lini wasitaafu wakawa tishio? Hao wamejipotezea pension zao
IDF imewafuta kazi maafisa wa akiba wa Jeshi la Wanahewa, wakiwemo marubani, ambao walitia saini ombi la kupinga kuendelea kwa vita vya Gaza.

Ombi hilo, lililotiwa saini na maafisa 950 wa Jeshi la Anga waliostaafu na wanaofanya kazi, linadai kuwa kwa wakati huu vita vinaendelea kwa sababu za kisiasa.

Uongozi wa sasa wa IDF haukubaliani, na ulisema wale waliotia saini barua hiyo hawataitwa tena kuhudumu.

Takriban 10% ya waliotia saini ni wasitaafu wanaofanya kazi.
Marubaini zaidi kutoka vitengo vya marubani wabobezi wameweka saini zao kupinga vita na kupinga kufukuzwa kwa wenzao wengine

Dissent growing in Israeli army as hundreds back air force reservists facing dismissal​

Dissent within the Israeli military is seemingly growing, with more than a thousand special forces reservists now signing a letter in support of air force reservists set to be dismissed from active duty after calling for an end to Israel’s war on Gaza.
The letter’s authors said 1,552 current and former special forces members have signed so far, with about 16 percent of them active reservists, the Haaretz newspaper reports.
The signatories signalled their intention to keep serving but stated they are “determined to exercise their civil rights and to warn against the continuation of the long fighting that endangers the lives of the hostages, the lives of soldiers and civilians, and that also seems to be continuing for political reasons”.
Separately, about 250 reservists and retirees from Israel’s elite Unit 8200 have penned their own letter stating that the war on Gaza “is currently mainly serving political and personal interests and not security interests”.

“The continuation of the war doesn’t contribute to any of the declared objectives, and will lead to the death of hostages, (Israel Defense Forces) soldiers, and of innocents,” the authors wrote.
 
Marubaini zaidi kutoka vitengo vya marubani wabobezi wameweka saini zao kupinga vita na kupinga kufukuzwa kwa wenzao wengine

Dissent growing in Israeli army as hundreds back air force reservists facing dismissal​

Dissent within the Israeli military is seemingly growing, with more than a thousand special forces reservists now signing a letter in support of air force reservists set to be dismissed from active duty after calling for an end to Israel’s war on Gaza.
The letter’s authors said 1,552 current and former special forces members have signed so far, with about 16 percent of them active reservists, the Haaretz newspaper reports.
The signatories signalled their intention to keep serving but stated they are “determined to exercise their civil rights and to warn against the continuation of the long fighting that endangers the lives of the hostages, the lives of soldiers and civilians, and that also seems to be continuing for political reasons”.
Separately, about 250 reservists and retirees from Israel’s elite Unit 8200 have penned their own letter stating that the war on Gaza “is currently mainly serving political and personal interests and not security interests”.

“The continuation of the war doesn’t contribute to any of the declared objectives, and will lead to the death of hostages, (Israel Defense Forces) soldiers, and of innocents,” the authors wrote.
Hao wewe unaowaita wabobezi hakuna kitu kama hicho kwenye Jeshi la Israel. Huko wote ni wabobezi kila mtu na Nyanja yake. Hao walikuwa wastaafu sasa hivi hata Pension zao zimefutwa hawatalipwa tena hizo na wala hataitwa tena kutumika jeshini maana wamefanya “serious mistake." Na Mkuu wa Majeshi kasema "We cannot accept a situation where military personnel use their status to oppose the war while participating in it” kwa hiyo Webabu acha kudanganya watu kipondo kwa magaidi wa Hamas kiko Palepale mpaka wanyooke!!!

 
Hao wewe unaowaita wabobezi hakuna kitu kama hicho kwenye Jeshi la Israel. Huko wote ni wabobezi kila mtu na Nyanja yake. Hao walikuwa wastaafu sasa hivi hata Pension zao zimefutwa hawatalipwa tena hizo na wala hataitwa tena kutumika jeshini maana wamefanya “serious mistake." Na Mkuu wa Majeshi kasema "We cannot accept a situation where military personnel use their status to oppose the war while participating in it” kwa hiyo Webabu acha kudanganya watu kipondo kwa magaidi wa Hamas kiko Palepale mpaka wanyooke!!!

Umeshupaza shingo yako kujadiliana na kupingana na mimi basi.Husomi taarifa ninazokuletea.
Hayo mawazo yako sivyo ilivyoelezwa kwenye taarifa nyenyewe.
Pole sana
 
Umeshupaza shingo yako kujadiliana na kupingana na mimi basi.Husomi taarifa ninazokuletea.
Hayo mawazo yako sivyo ilivyoelezwa kwenye taarifa nyenyewe.
Pole sana
Taarifa zako nimeziona na mimi nimekuwekea kiambatanisho Naona mimi nakazia ukweli lakini wewe bado unaendekeza TAQIYYAH!!
 
Back
Top Bottom