britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca