luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Je Huyu akibwaga Manyanga ???
Maana alishasema
Ogopa tekinolojia weweeeeeee
Je Huyu akibwaga Manyanga ???
Maana alishasema
Kwanini kwa sasa tusimpe mwanamamaMkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Huyo Makonda asahau kwani amesha mtia hasara baba ya kuharibu mission ua kummaliza LisuHizi sio zama za kiku boy unatabiri kilakitu,sasahv tuna jiwe kwelikweli anafikiri mwenyewe anaamua hata makamu au waziri mkuu anakuwa surprised!! Jiulize we nani mpaka uanze kujua??
Ila mkuu angempa makonda ubalozi hasa South Africa a promote mziki na biashara na akazuie madawa ubalozi wetu kule ametulia sana
Mi naona pole pole apewe hiyo nafasi alafu nafasi ya pole pole kama nape atahurumiwa anaweza kava hapo kidogo ccm nitaona iko vizuriMkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Mwanasiasa mwenye uwezo Wasira ktk hii nafasi kumbuka enzi Dr Slaa alivyokuwa anajibu hojaMkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Mkuu wa Wilaya ya kisaraweVipi kuhusu Prof. Jay? Kupata uteuzi hivi punde tu!?
Hivi Shiggella aliwahi kuisaidia ccm wapi na kwenye Lipi ?Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Kisa ?Mkuu wa Wilaya ya kisarawe
Jokate Tanga
Hii itasaidia PAYE yangu (More than 34%) Kupunguzawa ?Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
ingekua enzi za jk sawa mambo yalikua predictableMkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
comredi mpogolo anakua confirmed hapoAliye kuwa right hand man/leutenant wa Bashiru apewe kazi hiyo.
SIXTUS MTOE ANA FAILI LAKE TAKUKURU ANAWEZA FIKISHWA MAHAKAMANI WAKATI WOWOTE NDIO MAANA HATA JINA LAKE LIKAKATWA PAMOJA NA KUONGOZA KWENYE KURA ZA MAONI UBUNGE MBINGAMajina 2 3 5 ni age ya mkiti sidhani sana atataka waliopita uvccm na chamani
1. Shigela + ex Km uvccm
2, sixtus mapunda- ex Km uvccm
3. Emanuel nchimbi+ ex Mkit uvccm Taifa
4 Amos makala- ex Km uvccm na mwekahazina
5 Roderick mpogolo naibu sasa
6 silima - ktb organizesheni
Huyo kazi ya ulinzi wa Katibu mkuu itamtosha!!Makonda unamuacha wapi!?
Ni wakati sasa kwa Pascal Mayalla kuangaliwa kwa jicho la huruma.Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca