Martin M. Masese amkosoa Tulia Ackson baada ya kusema "I Hate Death"

Martin M. Masese amkosoa Tulia Ackson baada ya kusema "I Hate Death"

Common Folk

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
878
Reaction score
3,920
20250807_152635.jpg


RANGO!

You hate death wapi weweeee.. watu wengi wanatekwa na kupotezwa kila uchwao, huumizwi. Mzee Kibao alitekwa na kuuwawa, hukusikitika. Uliishia kukejeli.

You hate death wakati ulizuia hoja ya utekaji kujadiliwa? Mdude ambaye alitekwa jimbo kwako, hujawahi hata kutoa pole. Unaumizwa na vifo vya watawala.

27.08.2024 ulipiga marufuku mjadala wa utekaji - hoja ambayo iliwasilishwa kwa dharura. Ulisema utekaji haiwezi kuwa hoja ya dharura kujadiliwa. Loh!

You hate death wakati huo unasema hakuna utekaji isipokuwa kuna matukio ya watu kutoonekana? Watu hawaonekani kwamba wanakwenda wapi?

Nduguyo anaamka anakwenda katika mapambano ya maisha, unaambiwa alipotea. Unangoja siku, wiki, miezi na hata miaka... Ni bora angekufa ukamzika.

Mamlaka zinajibu kwa kiburi. Spika anayeongoza baraza la uwakilishi wananchi anazuia wabunge wa mbogamboga wasijadili hoja muhimu ya utekaji.

19.09.2019 ukiwa na mbogamboga wenzako mlishiriki igizo la kuizika CHADEMA. Ulibeba jeneza lenye bendera ya CHADEMA na msalaba ukiwakejeli.

Hilo lilikuwa tusi kwa wakristo wanaotumia msalaba katika imani zao. Kwa kiburi tu, hukuwahi kuomba radhi popote pamoja na kwamba wakristo walilalamika.

Unachukia kifo? Unachukia vifo vya viongozi na watawala. Au ndiyo ndiyo tafsiri ya “maiti inatisha ikiwa inatoka ndani ya mlango wa nyumbani kwenu”.

RANGO, you don't hate death. You probably fear death. A fear of death is a sign that you fear your existence will be meaningless. Death absolutely terrifying.

20250807_152640.jpg
 
Spika Tulia Ackson ilikuwa ni haki yake kutoa hisia kama hizo.

Alikuwa naibu spika wakati Job Ndugai alikuwa Spika kamili.

Tulia Ackson huenda,nasema huenda anakumbuka mengi kutoka Kwa mtangulizi wake ambayo hatoyasema wala kuandika popote.ushauri,kiongozi,maamuzi na kuzingatia itifaki Kwa kiongozi mkubwa kama naibu spika au spika kamili

Tulia Ackson pamoja na madhaifu yake (kama yapo) ni binadamu kama binadamu wengine,anaguswa na hafurahii mengi yanayoendelea,lakini bahati mbaya yupo katika nafasi ya juu tena kwenye muhimili mkuu kama bunge.

Sehemu ambapo hupaswi kutoa matamko Kihisia bali lazima ushirikishe timu, cabinet na watu mbalimbali ili kuchuja nini kizungumzwe kwenye umma.

Martin Maranja Masese ni wa kupuuzwa pamoja na kuwa anafahamika Kwa uwazi lakini ni kijana mropokaji,hafai hata kuwa kiongozi,asiwaige kina Lema ambao ni kama wamekata tamaa na hatima Yao ya kisiasa.

Martin hafai kuwa kiongozi mahali popote ni mtu asiyezingatia miiko,Siri na hata kutoa taarifa ambazo hana uhakika nazo na watu kama Martin wapo wengi hata hapa Jamii Africa,wao mtu yeyote akiwa CCM ni adui kwao.haijalishi atasema vibaya au vizuri .

Martin najua hata uliyoahidiwa na Mbowe hatatatimia kwakuwa hampo tena chadema,hamia chauma basi, James, Yeriko wapo huko

Na hata hapa Jamii Africa wapo wengi tu Ni watu wasiojua kuchambua mambo wao kila mtu ambaye ni trash pale CCM kwao ni Shujaa.

Kuna hawa ambao wameonekana ni mashujaa Kwa wiki za hivi karibuni

Josephat Gwajima,..

Huyu baada ya kuona atakosa nafasi na hayupo kwenye chain akaamua kuja na press kuisimanga serikali huku watu wakimuita ni Shujaa

Luhaga Mpina

Mbunge wa kisesa na kipenzi cha Rais Magufuli, hakuwahi kumkubali Rais wa sasa Samia Suluhu na chuki yake ilikuwa ya wazi baada ya kukosa mianya aliyokuwa kaikusudia.

Humphrey Polepole.

Huyu naye ni kipenzi cha Magufuli,
Namuita mshamba kwakuwa kuna mengi amekuwa akiyaropoka huku wengi wakimuonabl Shujaa kumbe ni mtu alijiona hayupo kwenye ile chain ya CCM

Pumzika mahali pema Job Yustino Ndugai.
Kila nafsi itaonja mauti.

Pole Tulia Ackson,
Pole wanafamilia,.
Pole wana CCM
Pole watanzania

Kwa kuondokewa na moja ya watumishi muhimu kwenye nchi hii.
 
Watalaniwa na kusemwa na kila mtu mpaka siku wanaingia kaburini.
 
View attachment 3434985

RANGO!

You hate death wapi weweeee.. watu wengi wanatekwa na kupotezwa kila uchwao, huumizwi. Mzee Kibao alitekwa na kuuwawa, hukusikitika. Uliishia kukejeli.

You hate death wakati ulizuia hoja ya utekaji kujadiliwa? Mdude ambaye alitekwa jimbo kwako, hujawahi hata kutoa pole. Unaumizwa na vifo vya watawala.

27.08.2024 ulipiga marufuku mjadala wa utekaji - hoja ambayo iliwasilishwa kwa dharura. Ulisema utekaji haiwezi kuwa hoja ya dharura kujadiliwa. Loh!

You hate death wakati huo unasema hakuna utekaji isipokuwa kuna matukio ya watu kutoonekana? Watu hawaonekani kwamba wanakwenda wapi?

Nduguyo anaamka anakwenda katika mapambano ya maisha, unaambiwa alipotea. Unangoja siku, wiki, miezi na hata miaka... Ni bora angekufa ukamzika.

Mamlaka zinajibu kwa kiburi. Spika anayeongoza baraza la uwakilishi wananchi anazuia wabunge wa mbogamboga wasijadili hoja muhimu ya utekaji.

19.09.2019 ukiwa na mbogamboga wenzako mlishiriki igizo la kuizika CHADEMA. Ulibeba jeneza lenye bendera ya CHADEMA na msalaba ukiwakejeli.

Hilo lilikuwa tusi kwa wakristo wanaotumia msalaba katika imani zao. Kwa kiburi tu, hukuwahi kuomba radhi popote pamoja na kwamba wakristo walilalamika.

Unachukia kifo? Unachukia vifo vya viongozi na watawala. Au ndiyo ndiyo tafsiri ya “maiti inatisha ikiwa inatoka ndani ya mlango wa nyumbani kwenu”.

RANGO, you don't hate death. You probably fear death. A fear of death is a sign that you fear your existence will be meaningless. Death absolutely terrifying.

View attachment 3434986
nadhani huyu betina ndiye spika wa hovyo kuwahi kutokea Tanganyika
 
Yani ubora wa uspika umepotea In ascending order Kwa dhati;
Rango ni wa hovyo mno
Akafwata ndugai
Akaja mama makinda
Then Mzee wa viwango na Kasi
Pius msekwa
Adam sapi mkwawa.

Kiufupi nataka kusema kutoka chini kwenda juu ndio ubora unaongezeka wa maspika au shortly uhovyo unapungua na kutoka juu kuja chini uhovyo unaongezeka inashangaza sana.
 
Polepole alisikika akisema Job Ndugai alimkataza asifanye hivyo la sivyo watamuua

RIP Job Ndugai


Wale wote wanaotajwa na Polepole wote wanaotamkwa na kinywa cha Polepole, Vito Corleone atapita nao mmoja baada ya mwingine
 
Spika Tulia Ackson ilikuwa ni haki yake kutoa hisia kama hizo.

Alikuwa naibu spika wakati Job Ndugai alikuwa Spika kamili.

Tulia Ackson huenda,nasema huenda anakumbuka mengi kutoka Kwa mtangulizi wake ambayo hatoyasema wala kuandika popote.ushauri,kiongozi,maamuzi na kuzingatia itifaki Kwa kiongozi mkubwa kama naibu spika au spika kamili

Tulia Ackson pamoja na madhaifu yake (kama yapo) ni binadamu kama binadamu wengine,anaguswa na hafurahii mengi yanayoendelea,lakini bahati mbaya yupo katika nafasi ya juu tena kwenye muhimili mkuu kama bunge.

Sehemu ambapo hupaswi kutoa matamko Kihisia bali lazima ushirikishe timu, cabinet na watu mbalimbali ili kuchuja nini kizungumzwe kwenye umma.

Martin Maranja Masese ni wa kupuuzwa pamoja na kuwa anafahamika Kwa uwazi lakini ni kijana mropokaji,hafai hata kuwa kiongozi,asiwaige kina Lema ambao ni kama wamekata tamaa na hatima Yao ya kisiasa.

Martin hafai kuwa kiongozi mahali popote ni mtu asiyezingatia miiko,Siri na hata kutoa taarifa ambazo hana uhakika nazo na watu kama Martin wapo wengi hata hapa Jamii Africa,wao mtu yeyote akiwa CCM ni adui kwao.haijalishi atasema vibaya au vizuri .

Martin najua hata uliyoahidiwa na Mbowe hatatatimia kwakuwa hampo tena chadema,hamia chauma basi, James, Yeriko wapo huko

Na hata hapa Jamii Africa wapo wengi tu Ni watu wasiojua kuchambua mambo wao kila mtu ambaye ni trash pale CCM kwao ni Shujaa.

Kuna hawa ambao wameonekana ni mashujaa Kwa wiki za hivi karibuni

Josephat Gwajima,..

Huyu baada ya kuona atakosa nafasi na hayupo kwenye chain akaamua kuja na press kuisimanga serikali huku watu wakimuita ni Shujaa

Luhaga Mpina

Mbunge wa kisesa na kipenzi cha Rais Magufuli, hakuwahi kumkubali Rais wa sasa Samia Suluhu na chuki yake ilikuwa ya wazi baada ya kukosa mianya aliyokuwa kaikusudia.

Humphrey Polepole.

Huyu naye ni kipenzi cha Magufuli,
Namuita mshamba kwakuwa kuna mengi amekuwa akiyaropoka huku wengi wakimuonabl Shujaa kumbe ni mtu alijiona hayupo kwenye ile chain ya CCM

Pumzika mahali pema Job Yustino Ndugai.
Kila nafsi itaonja mauti.

Pole Tulia Ackson,
Pole wanafamilia,.
Pole wana CCM
Pole watanzania

Kwa kuondokewa na moja ya watumishi muhimu kwenye nchi hii.
Umeandika au umeandikiwa?
 
Spika Tulia Ackson ilikuwa ni haki yake kutoa hisia kama hizo.

Alikuwa naibu spika wakati Job Ndugai alikuwa Spika kamili.

Tulia Ackson huenda,nasema huenda anakumbuka mengi kutoka Kwa mtangulizi wake ambayo hatoyasema wala kuandika popote.ushauri,kiongozi,maamuzi na kuzingatia itifaki Kwa kiongozi mkubwa kama naibu spika au spika kamili

Tulia Ackson pamoja na madhaifu yake (kama yapo) ni binadamu kama binadamu wengine,anaguswa na hafurahii mengi yanayoendelea,lakini bahati mbaya yupo katika nafasi ya juu tena kwenye muhimili mkuu kama bunge.

Sehemu ambapo hupaswi kutoa matamko Kihisia bali lazima ushirikishe timu, cabinet na watu mbalimbali ili kuchuja nini kizungumzwe kwenye umma.

Martin Maranja Masese ni wa kupuuzwa pamoja na kuwa anafahamika Kwa uwazi lakini ni kijana mropokaji,hafai hata kuwa kiongozi,asiwaige kina Lema ambao ni kama wamekata tamaa na hatima Yao ya kisiasa.

Martin hafai kuwa kiongozi mahali popote ni mtu asiyezingatia miiko,Siri na hata kutoa taarifa ambazo hana uhakika nazo na watu kama Martin wapo wengi hata hapa Jamii Africa,wao mtu yeyote akiwa CCM ni adui kwao.haijalishi atasema vibaya au vizuri .

Martin najua hata uliyoahidiwa na Mbowe hatatatimia kwakuwa hampo tena chadema,hamia chauma basi, James, Yeriko wapo huko

Na hata hapa Jamii Africa wapo wengi tu Ni watu wasiojua kuchambua mambo wao kila mtu ambaye ni trash pale CCM kwao ni Shujaa.

Kuna hawa ambao wameonekana ni mashujaa Kwa wiki za hivi karibuni

Josephat Gwajima,..

Huyu baada ya kuona atakosa nafasi na hayupo kwenye chain akaamua kuja na press kuisimanga serikali huku watu wakimuita ni Shujaa

Luhaga Mpina

Mbunge wa kisesa na kipenzi cha Rais Magufuli, hakuwahi kumkubali Rais wa sasa Samia Suluhu na chuki yake ilikuwa ya wazi baada ya kukosa mianya aliyokuwa kaikusudia.

Humphrey Polepole.

Huyu naye ni kipenzi cha Magufuli,
Namuita mshamba kwakuwa kuna mengi amekuwa akiyaropoka huku wengi wakimuonabl Shujaa kumbe ni mtu alijiona hayupo kwenye ile chain ya CCM

Pumzika mahali pema Job Yustino Ndugai.
Kila nafsi itaonja mauti.

Pole Tulia Ackson,
Pole wanafamilia,.
Pole wana CCM
Pole watanzania

Kwa kuondokewa na moja ya watumishi muhimu kwenye nchi hii.
Hapa ndio unaona umetupoteza maboya vibaya. Ni hivi, Ndugai awahi motoni akaishi na dhalimu magu, maana wana mchango mkubwa katika kuharibu demokrasia ndani ta nchi hii, na kusimika mizizi ya siasa za kishenzi.
 
Hapa ndio unaona umetupoteza maboya vibaya. Ni hivi, Ndugai awahi motoni akaishi na dhalimu magu, maana wana mchango mkubwa katika kuharibu demokrasia ndani ta nchi hii, na kusimika mizizi ya siasa za kishenzi.
Vito Corleone kakunja Nne muda huu anakuchora tu unavyoropoka ujinga wako usiejua kitu
 
Spika Tulia Ackson ilikuwa ni haki yake kutoa hisia kama hizo.

Alikuwa naibu spika wakati Job Ndugai alikuwa Spika kamili.

Tulia Ackson huenda,nasema huenda anakumbuka mengi kutoka Kwa mtangulizi wake ambayo hatoyasema wala kuandika popote.ushauri,kiongozi,maamuzi na kuzingatia itifaki Kwa kiongozi mkubwa kama naibu spika au spika kamili

Tulia Ackson pamoja na madhaifu yake (kama yapo) ni binadamu kama binadamu wengine,anaguswa na hafurahii mengi yanayoendelea,lakini bahati mbaya yupo katika nafasi ya juu tena kwenye muhimili mkuu kama bunge.

Sehemu ambapo hupaswi kutoa matamko Kihisia bali lazima ushirikishe timu, cabinet na watu mbalimbali ili kuchuja nini kizungumzwe kwenye umma.

Martin Maranja Masese ni wa kupuuzwa pamoja na kuwa anafahamika Kwa uwazi lakini ni kijana mropokaji,hafai hata kuwa kiongozi,asiwaige kina Lema ambao ni kama wamekata tamaa na hatima Yao ya kisiasa.

Martin hafai kuwa kiongozi mahali popote ni mtu asiyezingatia miiko,Siri na hata kutoa taarifa ambazo hana uhakika nazo na watu kama Martin wapo wengi hata hapa Jamii Africa,wao mtu yeyote akiwa CCM ni adui kwao.haijalishi atasema vibaya au vizuri .

Martin najua hata uliyoahidiwa na Mbowe hatatatimia kwakuwa hampo tena chadema,hamia chauma basi, James, Yeriko wapo huko

Na hata hapa Jamii Africa wapo wengi tu Ni watu wasiojua kuchambua mambo wao kila mtu ambaye ni trash pale CCM kwao ni Shujaa.

Kuna hawa ambao wameonekana ni mashujaa Kwa wiki za hivi karibuni

Josephat Gwajima,..

Huyu baada ya kuona atakosa nafasi na hayupo kwenye chain akaamua kuja na press kuisimanga serikali huku watu wakimuita ni Shujaa

Luhaga Mpina

Mbunge wa kisesa na kipenzi cha Rais Magufuli, hakuwahi kumkubali Rais wa sasa Samia Suluhu na chuki yake ilikuwa ya wazi baada ya kukosa mianya aliyokuwa kaikusudia.

Humphrey Polepole.

Huyu naye ni kipenzi cha Magufuli,
Namuita mshamba kwakuwa kuna mengi amekuwa akiyaropoka huku wengi wakimuonabl Shujaa kumbe ni mtu alijiona hayupo kwenye ile chain ya CCM

Pumzika mahali pema Job Yustino Ndugai.
Kila nafsi itaonja mauti.

Pole Tulia Ackson,
Pole wanafamilia,.
Pole wana CCM
Pole watanzania

Kwa kuondokewa na moja ya watumishi muhimu kwenye nchi hii.
Trash, 🗑️ takataka
 
View attachment 3434985

RANGO!

You hate death wapi weweeee.. watu wengi wanatekwa na kupotezwa kila uchwao, huumizwi. Mzee Kibao alitekwa na kuuwawa, hukusikitika. Uliishia kukejeli.

You hate death wakati ulizuia hoja ya utekaji kujadiliwa? Mdude ambaye alitekwa jimbo kwako, hujawahi hata kutoa pole. Unaumizwa na vifo vya watawala.

27.08.2024 ulipiga marufuku mjadala wa utekaji - hoja ambayo iliwasilishwa kwa dharura. Ulisema utekaji haiwezi kuwa hoja ya dharura kujadiliwa. Loh!

You hate death wakati huo unasema hakuna utekaji isipokuwa kuna matukio ya watu kutoonekana? Watu hawaonekani kwamba wanakwenda wapi?

Nduguyo anaamka anakwenda katika mapambano ya maisha, unaambiwa alipotea. Unangoja siku, wiki, miezi na hata miaka... Ni bora angekufa ukamzika.

Mamlaka zinajibu kwa kiburi. Spika anayeongoza baraza la uwakilishi wananchi anazuia wabunge wa mbogamboga wasijadili hoja muhimu ya utekaji.

19.09.2019 ukiwa na mbogamboga wenzako mlishiriki igizo la kuizika CHADEMA. Ulibeba jeneza lenye bendera ya CHADEMA na msalaba ukiwakejeli.

Hilo lilikuwa tusi kwa wakristo wanaotumia msalaba katika imani zao. Kwa kiburi tu, hukuwahi kuomba radhi popote pamoja na kwamba wakristo walilalamika.

Unachukia kifo? Unachukia vifo vya viongozi na watawala. Au ndiyo ndiyo tafsiri ya “maiti inatisha ikiwa inatoka ndani ya mlango wa nyumbani kwenu”.

RANGO, you don't hate death. You probably fear death. A fear of death is a sign that you fear your existence will be meaningless. Death absolutely terrifying.

View attachment 3434986
We ni bwege tu, anahusikaje na huo upuuzi unaouzungumzia
 
Back
Top Bottom