Mr. Purpose
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 1,476
- 2,796
- Thread starter
- #21
Upo sahihi mkuu. Ni sanaa inayokujengea nidhamu binafsi ya hali ya juu sana.
Mi najua movement mbili tu..za mabegani..na nyuma ya mgongo...Tena kupigana two times per one movementNi nzuri sana mkuu na ukiizoea ni rahisi sana kutumia katika mapigano halisi. Kusimama na mtu zaidi ya mmoja ukiwa na nunchaku huwa ni jambo la kawaida. Ishu ni wakati wa kujifunza ngumu kuiweza bila kukugonga
Kuna moja lipo Morocco mtaa wa Raskazone sema naona ni mbali na unapotaka wewMkuu upande huu wa Mwenge mpaka mapinga kwa uzoefu wako kuna dojo makini wapi?
Hongera sana mkuu. Kama hizo mbili zimezoeleka vizuri basi jitahidi uongeze na mzunguko wa kiunoni pia taratibu tu kisha unaanza kujifunza kuchanganya mizunguko yote kwa wakati mmoja. Practice makes perfect, ukiifanya sana utashangaa unapata mbinu mpya kila kukicha ambazo ukichanganya zote katika mzunguko mmoja ufanisi unaongezeka.Mi najua movement mbili tu..za mabegani..na nyuma ya mgongo...Tena kupigana two times per one movement
Judo, boxing, karate, kung fu. Njoo uwanja wa taifa utakutana na wadau wengi watakupa muongozo. Au viwanja vya UDSM pale huwa madarasa yapo na kuna wachina wanafundisha Wushu.Natafuta wapi wanafundisha Judo,Boxing,na jinsi ya kutumia Bunduki AK47,MI16,
Apite pale udsm pia. Mida ya jioni uwanjani pale huwa wadau wengi wanafanya hii michezo.Kuna moja lipo Morocco mtaa wa Raskazone sema naona ni mbali na unapotaka wew
Shukrani nyingi mkuuApite pale udsm pia. Mida ya jioni uwanjani pale huwa wadau wengi wanafanya hii michezo.
Shukrani nyingi mkuuKuna moja lipo Morocco mtaa wa Raskazone sema naona ni mbali na unapotaka wew
Asante kaka kwa maelezoMkuu sina uzoefu sana maeneo hayo boss. Labda kama kuna wazoefu wanaweza kusaidia. Binafsi sijawahi ingia dojo maalum, nimejifunza street kwa miaka yote zaidi ya sita na sparring ndio huwa kipimo cha uwezo wangu so hata ishu ya mkanda na level kiutaratibu sizijui sana kivile.