Tukielekea kilele cha miaka miwili ya Rais Samia Suluhu Madarakani amefanikiwa kufungua mikutano ya hadhara kwa vyama vya upinzani maana walikua wakitamani kwa muda mrefu sana na watanzania tulijiandaa kusikia ajenda nyingi walizokua wameanda kwa zaidi ya miaka 5 lakini mambo yamekua tofauti kabisa
Sasa wapinzani hawana ajenda tena maana Rais Samia Suluhu amefanya maendeleo katika sekta zote hajaacha gepu la kuwapa wapinzani ajenda maana. Amefanisha kuboresha sekta ya elimu kupitia ujenzi wa madarasa na shule mpya pamoja na samani zake, Ameboresha miundombinu hadi vijijini ameanza kufanyia kazi katiba mpya, huduma za afya zimeboreshwa hadi vijijini, pia amefanikisha upatikanaji wa maji hadi vijijini.
Ndani ya miaka miwili ya Mama ameupiga mwingi kila sekta hadi wapinzani wanakosa ajenda wanabaki kulaumu bodaboda.
Sasa wapinzani hawana ajenda tena maana Rais Samia Suluhu amefanya maendeleo katika sekta zote hajaacha gepu la kuwapa wapinzani ajenda maana. Amefanisha kuboresha sekta ya elimu kupitia ujenzi wa madarasa na shule mpya pamoja na samani zake, Ameboresha miundombinu hadi vijijini ameanza kufanyia kazi katiba mpya, huduma za afya zimeboreshwa hadi vijijini, pia amefanikisha upatikanaji wa maji hadi vijijini.
Ndani ya miaka miwili ya Mama ameupiga mwingi kila sekta hadi wapinzani wanakosa ajenda wanabaki kulaumu bodaboda.