Marriage is a sacrifice

Pole kiongozi ila tafiti zinaonesha jinsi mwanamke anavyokuwa na elimu zaidi ndivyo uwezo wa kukaa kwenye ndoa unavokuwa mdogo!
Btw kwanini uoe? unamiss nini usipooa?
Sasa hivi dunia ina aina ya wanawake waliowezeshwa kwa kila namna na sheria pia imeegemea upande wao.. bahati mbaya wanaume wa kuishi na kucope na aina hii ya wanawake hawajaandaliwa!

Usioe Mkuu.. Narudia usioe.. Either jiandae kuwa zezeta ili ndoa idumu!
 
Kaka ndoa Hapana.....wakwangu nimekaa nae kwa miaka mitano tunasomana lakini nikajilipua kufunga ndoa.....lakini tulivofika nyumbani siku hiyohiyo tukae hoi binitaabani nikamuomba dr nitadikie kitanda nipumzike kidogo alinijibu wewe huna mikono au yeye ana mikono minne.....duh nilichoka hiyo siku nilijiona kwamba nimenaswa kwenye mtegoni
Huhuhuuu..poleee pole pole sana ...
 
Habari za weekend wanaMMU.

Kwenye andiko hili nitashare personal experience, experience ya watu wengine pamoja na yale ninayoyaona ama kuyasikia kwenye jamii zetu.

Ikiwa umefikiria labda kichwa cha habari kina maana ya kuingia kwenye Ndoa ni Kujitoa Sadaka. Hapana hilo si dhumuni la mada hii

Kabla ya mtu kuanza kuwa na mawazo ya kuwa na mwenza, utasikia ama kuambiwa mengi sana. Kwasisi wanaume utaambiwa mwanamke ni Tabia, tafuta mwanamke anayeweza kucover nafasi ya mama yako, tafuta mwanamke mtakayepanga mambo yakaenda, n.k n.k kuna thread nyingi pia hata humu ndani zimeweka wazi ni wanawake gani wa kuwaepuka na ni wa aina ipi wa kuoa. All in All, itakubidi ufanye chaguzi sahihi ili kumpata aliyebora. Hata kama ulitulia ukampata mtiifu, mnyenyekevu, sijui bikra, mzuri wa sura na tabia believe kila mtu ana kasoro yake na kila ndoa inachangamoto zake.

Kuna jamaa yangu mmoja alipokuwa akiendea kuoa alikuwa akijiona kama the luckiest man in the world. Alikuwa akimuoa binti bikra, mwenye elimu yake, mwenye kumjua Mungu, mwenye adabu na utii, mwenye kila aina ya sifa nzuri. Believe me in less than a year in marriage ndoa ilikuwa chungu. Mwanamke amekuwa na kibri na mwenye sauti zaidi. Watu wa jinsia zote hubadilika sana. Kuna wanaume wanachange kabisa character zao za awali mpaka mtu unajiuliza hapa ndipo kwenye niliingia. Ndugu wanakuhoji ulimpendea mini huyu, ila kumbe mwanzoni mtu alikuwa yuko poa tu.

What I believe, Maisha ya ndoa yanajumuisha watu kuanzia wawili. Hivyo lolote litakaloamuliwa na mmoja wetu lazima liwe na impact kwa mwingine pia. Naamini kwenye kuongea, kusikilizana na kufikia muafaka lakini si kelele, kujiona mjuaji ama una haki saaana ama upo sahihi kwa kile unachofikilia kuliko mwenza wako. Binafsi nilijiwekea kuoa mwenye elimu mwenzangu nikijua we shall be thinking kwenye direction moja na it will be easy kueleweshana, this has been one of the biggest mistakes in my life.

You can play very well kuchagua mtu wa kuwa naye kwenye mahusiano ila hii kitu NDOA its something else. I believe ili at least kidogo NDOA ikae vizuri cha muhimu ni sacrifice na kila mtu akae kwenye nafasi yake. Kuna wakati kila mtu anakuwa na mawazo Fulani kuhusu jambo Fulani na kila mmoja anajiona yuko sahihi na msingi wa changamoto nyingi kwenye ndoa unaanzia hapa. I believe kama BABA akikaa kwenye nafasi yake, hivyo hivyo kwa MAMA na kukawa na kitu kinaitwa SACRIFICE ndani yao I believe Ndoa zitaweza dumu. Hali ya kukubali usahihi wa mwenzio ilhali ndani yako unajua hayuko sahihi ndicho ninachojaribu kukimaanisha hapa. Tunashindwa kujenga familia madhubuti, kujenga uchumi wa familia na kufanikiwa mengi lakini asubuhi hii nimeng'amua yote haya yanatokana na wanandoa kutojua kuwa Marriage is a Sacrifice if we need it to workout well.
Nakuunga mkono kwa aslilimia 50,unaweza kusacrifice lakini ukumbuke shetani yuko hapa duniani kuhakikisha kuwa hakuna ndoa inayoweza kusimama imara,kwani iwapo lenu litakuwa moja kwake ni pigo,kwahiyo huwa anapambana kuona lazima inavurugika.Wewe una amua kusacrifice mwenzio anakuwa kinyume chake,hapo ndio chanzo cha shida,kwahiyo ili uweze kumalizia hiyo asilimia 50 ni lazima kuwe na ushirika wa Mungu wa kweli,kwa mmoja wenu aamue ili aweze kumkomboa mwenzake au ushirika wa wote wawili kuamua kuishi maisha ya kumtukuza Mungu,kinyume cha hapo tegemea maumivu...
 
Naunga mkono hoja ya mwandishi..lakini yote kwa yote tunatakiwa kumshirikisha Mungu maana ndoa za sasa hivi shetani amejua kuzisimamia kidete
 
If you know that someone is wrong and still considering him/ her to be right you are a typical hypocrite. Why don't you tell him/her about the mistake he/ she made? Are you afraid of him or her?

The truth must be told even if it has the negative effects. No need of hiding your feelings on stupid stuffs. If you hide it, you're condoning those stupid stuffs.

Don't be a slave in marriage.
 
If you know that someone is wrong and still considering him/ her to be right you are a typical hypocrite. Why don't you tell him/her about the mistake he/ she made? Are you afraid of him or her?

The truth must be told even if it has the negative effects. No need of hiding your feelings on stupid stuffs. If you hide it, you're condoning those stupid stuffs.

Don't be a slave in marriage.
Si kwamba hatujui kwamba hawako sahihi, kinachofanyika ni kuokoa ndoa.
 
Si kwamba hatujui kwamba hawako sahihi, kinachofanyika ni kuokoa ndoa.
Wanawake mna taabu sana.
Kwahiyo kumbe huwa mnajua udhaifu wetu but you choose to hide it, you continue boasting your man while he is not worth it.
 
Ndoa ni sacrifice,binafsi na kuunga mkono kwa asilimia 100.
Kizazi cha karne hii maadili ni mabovu sana afu swala la kuoa na kuolewa linachukuliwa simple sana.
Kumbuka This is a life time commitment.
Afu kuna kitu hua kinanishangazaga sana tuna invest sana kene harusi kuliko kene ndoa.
Ndoa si mchezo binafsi bado cjaoa ila nashuhudia mengi.
Ndoa zinawashinda wachungaji ambao neno lamungu limelala kichwani,
Watu kama akina emmanuel Mbasha na flora mbasha japo sio wachungaji lakini ni watu wa dini sana ndoa zimewashinda.
ndoa zinawashinda maprofesa.
Unakuta mtu ni psyologist kabisa ambae ame specialize kwenye psyology ya ninadamu nae ndoa imemshinda.
Billionaires pia wengine ndoa zimewashinda angalia mtu kama Reginald Mengi, mtu kama Jeff Bezos(mmiliki wa amazon) juzi tu amemwagana na mkewe.
Hii inatoa taswira kubwa kwamba ndoa sio mchezo.
Tena bora ndoa za zamani ndoa nyingi zinazofungwa sasahv ndo zinazo ongoza kwa kufungwa kwa garama nyingi na ndo zinazo ongoza kuvunjika.
Vijana cjui tunafeli wapi!!!
Mimi bado cjaamua kuoa lakini cjui itakuaje wakati ukifika, Time will tell.
 
Ndoa ni sacrifice,binafsi na kuunga mkono kwa asilimia 100.
Kizazi cha karne hii maadili ni mabovu sana afu swala la kuoa na kuolewa linachukuliwa simple sana.
Kumbuka This is a life time commitment.
Afu kuna kitu hua kinanishangazaga sana tuna invest sana kene harusi kuliko kene ndoa.
Ndoa si mchezo binafsi bado cjaoa ila nashuhudia mengi.
Ndoa zinawashinda wachungaji ambao neno lamungu limelala kichwani,
Watu kama akina emmanuel Mbasha na flora mbasha japo sio wachungaji lakini ni watu wa dini sana ndoa zimewashinda.
ndoa zinawashinda maprofesa.
Unakuta mtu ni psyologist kabisa ambae ame specialize kwenye psyology ya ninadamu nae ndoa imemshinda.
Billionaires pia wengine ndoa zimewashinda angalia mtu kama Reginald Mengi, mtu kama Jeff Bezos(mmiliki wa amazon) juzi tu amemwagana na mkewe.
Hii inatoa taswira kubwa kwamba ndoa sio mchezo.
Tena bora ndoa za zamani ndoa nyingi zinazofungwa sasahv ndo zinazo ongoza kwa kufungwa kwa garama nyingi na ndo zinazo ongoza kuvunjika.
Vijana cjui tunafeli wapi!!!
Mimi bado cjaamua kuoa lakini cjui itakuaje wakati ukifika, Time will tell.
Well said brother
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom