Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,656
Pole kiongozi ila tafiti zinaonesha jinsi mwanamke anavyokuwa na elimu zaidi ndivyo uwezo wa kukaa kwenye ndoa unavokuwa mdogo!
Btw kwanini uoe? unamiss nini usipooa?
Sasa hivi dunia ina aina ya wanawake waliowezeshwa kwa kila namna na sheria pia imeegemea upande wao.. bahati mbaya wanaume wa kuishi na kucope na aina hii ya wanawake hawajaandaliwa!
Usioe Mkuu.. Narudia usioe.. Either jiandae kuwa zezeta ili ndoa idumu!
Btw kwanini uoe? unamiss nini usipooa?
Sasa hivi dunia ina aina ya wanawake waliowezeshwa kwa kila namna na sheria pia imeegemea upande wao.. bahati mbaya wanaume wa kuishi na kucope na aina hii ya wanawake hawajaandaliwa!
Usioe Mkuu.. Narudia usioe.. Either jiandae kuwa zezeta ili ndoa idumu!