Marriage is scam

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Mar 25, 2020
4,425
9,818
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.

Linapokuja suala la mahusiano na ndoa kiujumla kwa sasa wanawake wamekua matapeli na mbaya zaidi utapeli wao umehalalishwa na unalindwa kisheria. Mwanamke atakutapeli kupitia ndoa na hakuna utakachofanya.

Ukioa jua kwamba umebeba bomu litakalokulipukia muda wowote. Mwanamke atakuletea jeuri, atakuonesha makucha yake aliyoyaficha kipindi cha uchumba, atafanya umalaya wake na ukishindwa kuvumulia hayo yote ukaamua muachane basi kubali kumuachia nyumba uliyojenga wewe mwenyewe na kugawana mali zako zingine zote.

Achana na wababa na mabroo wanaosifia ndoa hao tayari wameyatimba wanataka kuwaingiza mkenge na nyie muingie kwenye mateso, waswahili wanasema msiba wa wengi ni sherehe. Achana na wanawake wanaosifia ndoa hao wanaisifia sababu wanajua inawanufaisha. Kijana mwenzangu kamwe usioe. Cheza kwenye cycle ya friends with benefits, one night stand, kula kimasihara na hit and run lakini kamwe usioe.

Kizazi cha wanawake wenye maadili, mapenzi ya kweli na wanaostahili kula jasho la mwanaume kimeshaisha, these whores of current generation they are not worth such privileges.
 
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.

Linapokuja suala la mahusiano na ndoa kiujumla kwa sasa wanawake wamekua matapeli na mbaya zaidi utapeli wao umehalalishwa na unalindwa kisheria. Mwanamke atakutapeli kupitia ndoa na hakuna utakachofanya.

Ukioa jua kwamba umebeba bomu litakalokulipukia muda wowote. Mwanamke atakuletea jeuri, atakuonesha makucha yake aliyoyaficha kipindi cha uchumba, atafanya umalaya wake na ukishindwa kuvumulia hayo yote ukaamua muachane basi kubali kumuachia nyumba uliyojenga wewe mwenyewe na kugawana mali zako zingine zote.

Achana na wababa na mabroo wanaosifia ndoa hao tayari wameyatimba wanataka kuwaingiza mkenge na nyie muingie kwenye mateso, waswahili wanasema msiba wa wengi ni sherehe. Achana na wanawake wanaosifia ndoa hao wanaisifia sababu wanajua inawanufaisha. Kijana mwenzangu kamwe usioe. Cheza kwenye cycle ya friends with benefits, one night stand, kula kimasihara na hit and run lakini kamwe usioe.

Kizazi cha wanawake wenye maadili, mapenzi ya kweli na wanaostahili kula jasho la mwanaume kimeshaisha, these whores of current generation they are not worth such privileges.
Pole kwa yaliyokukuta
 
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.

Linapokuja suala la mahusiano na ndoa kiujumla kwa sasa wanawake wamekua matapeli na mbaya zaidi utapeli wao umehalalishwa na unalindwa kisheria. Mwanamke atakutapeli kupitia ndoa na hakuna utakachofanya.

Ukioa jua kwamba umebeba bomu litakalokulipukia muda wowote. Mwanamke atakuletea jeuri, atakuonesha makucha yake aliyoyaficha kipindi cha uchumba, atafanya umalaya wake na ukishindwa kuvumulia hayo yote ukaamua muachane basi kubali kumuachia nyumba uliyojenga wewe mwenyewe na kugawana mali zako zingine zote.

Achana na wababa na mabroo wanaosifia ndoa hao tayari wameyatimba wanataka kuwaingiza mkenge na nyie muingie kwenye mateso, waswahili wanasema msiba wa wengi ni sherehe. Achana na wanawake wanaosifia ndoa hao wanaisifia sababu wanajua inawanufaisha. Kijana mwenzangu kamwe usioe. Cheza kwenye cycle ya friends with benefits, one night stand, kula kimasihara na hit and run lakini kamwe usioe.

Kizazi cha wanawake wenye maadili, mapenzi ya kweli na wanaostahili kula jasho la mwanaume kimeshaisha, these whores of current generation they are not worth such privileges.
We misomisondo Umepigaje hapo?
 
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.

Linapokuja suala la mahusiano na ndoa kiujumla kwa sasa wanawake wamekua matapeli na mbaya zaidi utapeli wao umehalalishwa na unalindwa kisheria. Mwanamke atakutapeli kupitia ndoa na hakuna utakachofanya.

Ukioa jua kwamba umebeba bomu litakalokulipukia muda wowote. Mwanamke atakuletea jeuri, atakuonesha makucha yake aliyoyaficha kipindi cha uchumba, atafanya umalaya wake na ukishindwa kuvumulia hayo yote ukaamua muachane basi kubali kumuachia nyumba uliyojenga wewe mwenyewe na kugawana mali zako zingine zote.

Achana na wababa na mabroo wanaosifia ndoa hao tayari wameyatimba wanataka kuwaingiza mkenge na nyie muingie kwenye mateso, waswahili wanasema msiba wa wengi ni sherehe. Achana na wanawake wanaosifia ndoa hao wanaisifia sababu wanajua inawanufaisha. Kijana mwenzangu kamwe usioe. Cheza kwenye cycle ya friends with benefits, one night stand, kula kimasihara na hit and run lakini kamwe usioe.

Kizazi cha wanawake wenye maadili, mapenzi ya kweli na wanaostahili kula jasho la mwanaume kimeshaisha, these whores of current generation they are not worth such privileges.
2024

Na kila kiumbe kiangukie mikono salama
 
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.

Linapokuja suala la mahusiano na ndoa kiujumla kwa sasa wanawake wamekua matapeli na mbaya zaidi utapeli wao umehalalishwa na unalindwa kisheria. Mwanamke atakutapeli kupitia ndoa na hakuna utakachofanya.

Ukioa jua kwamba umebeba bomu litakalokulipukia muda wowote. Mwanamke atakuletea jeuri, atakuonesha makucha yake aliyoyaficha kipindi cha uchumba, atafanya umalaya wake na ukishindwa kuvumulia hayo yote ukaamua muachane basi kubali kumuachia nyumba uliyojenga wewe mwenyewe na kugawana mali zako zingine zote.

Achana na wababa na mabroo wanaosifia ndoa hao tayari wameyatimba wanataka kuwaingiza mkenge na nyie muingie kwenye mateso, waswahili wanasema msiba wa wengi ni sherehe. Achana na wanawake wanaosifia ndoa hao wanaisifia sababu wanajua inawanufaisha. Kijana mwenzangu kamwe usioe. Cheza kwenye cycle ya friends with benefits, one night stand, kula kimasihara na hit and run lakini kamwe usioe.

Kizazi cha wanawake wenye maadili, mapenzi ya kweli na wanaostahili kula jasho la mwanaume kimeshaisha, these whores of current generation they are not worth such privileges.
umepotea
 
Ndoa sio tatizo....... tatizo ni wanawake
Ndoa ina tatizo kubwa sana. Kwa kawaida sheria inambana mtu kufanya uhalifu ila sheria ya ndoa inamtengenezea mwanamke mazingira ya kufanya uhalifu, mwanamke akipata cheti cha ndoa tayari amepata leseni ya kutapeli mali za mwanaume kwaiyo ni uhamuzi wake tu akupige au akuonee huruma.
 
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.

Linapokuja suala la mahusiano na ndoa kiujumla kwa sasa wanawake wamekua matapeli na mbaya zaidi utapeli wao umehalalishwa na unalindwa kisheria. Mwanamke atakutapeli kupitia ndoa na hakuna utakachofanya.

Ukioa jua kwamba umebeba bomu litakalokulipukia muda wowote. Mwanamke atakuletea jeuri, atakuonesha makucha yake aliyoyaficha kipindi cha uchumba, atafanya umalaya wake na ukishindwa kuvumulia hayo yote ukaamua muachane basi kubali kumuachia nyumba uliyojenga wewe mwenyewe na kugawana mali zako zingine zote.

Achana na wababa na mabroo wanaosifia ndoa hao tayari wameyatimba wanataka kuwaingiza mkenge na nyie muingie kwenye mateso, waswahili wanasema msiba wa wengi ni sherehe. Achana na wanawake wanaosifia ndoa hao wanaisifia sababu wanajua inawanufaisha. Kijana mwenzangu kamwe usioe. Cheza kwenye cycle ya friends with benefits, one night stand, kula kimasihara na hit and run lakini kamwe usioe.

Kizazi cha wanawake wenye maadili, mapenzi ya kweli na wanaostahili kula jasho la mwanaume kimeshaisha, these whores of current generation they are not worth such privileges.
Wanaume wamejizima data na kujishusha chini ya wanawake! Naonaga wengine wakati wanawavalisha Pete ya uchumba eti mwanaume unampigia magoti mwanamke! Kwanza wanawake kwa wingi wao ni washirikina! Wanaanzia kwa wachawi kuwanasa mnategemea nini?
 
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.

Linapokuja suala la mahusiano na ndoa kiujumla kwa sasa wanawake wamekua matapeli na mbaya zaidi utapeli wao umehalalishwa na unalindwa kisheria. Mwanamke atakutapeli kupitia ndoa na hakuna utakachofanya.

Ukioa jua kwamba umebeba bomu litakalokulipukia muda wowote. Mwanamke atakuletea jeuri, atakuonesha makucha yake aliyoyaficha kipindi cha uchumba, atafanya umalaya wake na ukishindwa kuvumulia hayo yote ukaamua muachane basi kubali kumuachia nyumba uliyojenga wewe mwenyewe na kugawana mali zako zingine zote.

Achana na wababa na mabroo wanaosifia ndoa hao tayari wameyatimba wanataka kuwaingiza mkenge na nyie muingie kwenye mateso, waswahili wanasema msiba wa wengi ni sherehe. Achana na wanawake wanaosifia ndoa hao wanaisifia sababu wanajua inawanufaisha. Kijana mwenzangu kamwe usioe. Cheza kwenye cycle ya friends with benefits, one night stand, kula kimasihara na hit and run lakini kamwe usioe.

Kizazi cha wanawake wenye maadili, mapenzi ya kweli na wanaostahili kula jasho la mwanaume kimeshaisha, these whores of current generation they are not worth such privileges.
Daah ndugu yangu inatosha

Huyo demu aliyekutesa ameshasikia.

Sema piga kwenye mshono mpaka wanyooke
 
Nimeona nichukue jukumu la kuwasanua vijana. Nasikitika sana kuona mambo ya kikatili ambayo dunia inawatendea wanaume na inaonekana sawa tu.
Huo ndio ukweli dunia ya sasa na asili tulivyo ndoa inambana mwanaume kwa mfano mke anafanya kazi ila pesa inayotumika ni ya mume. Hii sheria ni applicable kwa zamani katika mitazamo ya kimila na dini ambapo mke alikuwa anakaa nyumbani ila kwa sasa ni tatizo.
 
Nashangaa sana mwanaume kulalamika swala la ndoa mamlaka tulipewa sisi wanaume kushindwa kuyatumia ni udhaifu binafsi na ni ajabu sana mwanaume kuwa muoga kwenye mambo ambayo Mungu mwenyewe katupa mamlaka ya kuyaongoza
 
Ndoa ni mkataba wa kitapeli kwa mwanaume. Hakuna ambacho mwanaume ananufaika nacho katika ndoa wakati huo mwanamke akiitumia ndoa kimkakati inamtoa kimaisha. Ndoa ni gereza la mateso kwa mwanaume.

Si kweli kwa haya uliyoandika. Tuache kuiga na kufata mikumbo ya watu waliojikatia tamaa juu ya mahusiano(ndoa)zao. Upepo mbaya wa kataa ndoa umewajaza ujinga vijana wengi vichwani mwenu.

Mwanzo 2:24 “Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja”.
 
Huo ndio ukweli dunia ya sasa na asili tulivyo ndoa inambana mwanaume kwa mfano mke anafanya kazi ila pesa inayotumika ni ya mume ...Hii sheria ni applicable kwa zamani katika mitazamo ya kimila na dini ambapo mke alikuwa anakaa nyumbani ila kwa sasa ni tatizo.
Tulikosea kuyapokea haya mambo ya 50/50 kabla hatujaziandaa akili za wanawake kukubali kuwajibika kutokana na huo usawa. Mtu ukishapewa ajira maana yake umetoka kwenye kundi la watu tegemezi unawajibika kujihudumia mwenyewe sasa mwanamke anataka ajira kwa hoja ya 50/50 hapo hapo anataka aendelee kupata privileges zote kutoka kwa mwanaume kama kipindi ambacho alikua anawekwa kando kwenye suala la ajira.
 
Back
Top Bottom