Marlaw: Pii Pii

Marlaw: Pii Pii

Zurie

Platinum Member
Joined
Jul 6, 2014
Posts
2,083
Reaction score
5,934
Sijui na sisi tuanzishe [HASHTAG]#bringbackourmarlaw[/HASHTAG] kama Team Wema?

 
Sijaelewa unamaanisha nini ila napenda kuchangia unachomaanisha
Namaanisha tunamtaka Marlaw wetu. Yani sauti hii Besta ameihodhi tu mwenyewe!! Sio haki
 
Ni rahisi mkuu. Shepu ni shepu tu, ya kabati ya kochi ya kitanda
....acha maskhara aisee!..lile nyoro la Besta utafananisha na vitako ka vya Rose Muhando vilivyosinyaa kama anaogopa sindano!??
..seriously you can't be serious!
 
....acha maskhara aisee!..lile nyoro la Besta utafananisha na vitako ka vya Rose Muhando vilivyosinyaa kama anaogopa sindano!??
..seriously you can't be serious!
I am serious. Huo mzigo wa besta unakusumbua wewe tu sio mimi.. Nyama hata kwenye sambusa zipo. Una lingine?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom