AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
MJ1 Umegusa sehemu nyeti ya Mapenzi na muhimu saana… Ni kweli kabisa kuna watu hupenda kufanya hivo iwe kwa Mwanamke ama mwanaume…. Nimependa Boss alivosema… kua "A man anaweza Mark territory kuliko the lady" But huo ni mtazamo tu…. Ingawa woote wawili waweza weka/acha alama ya kutaka kuonesha kua huyu ni wangu – nafikiri it is most effective mkaka akifanya….
Mkaka ana njia na mbinu nyingi za kuonesha kua huyu ni wangu… Na mara nyingi akifanya hivo, hua yupo mbele ya marafiki ama ndugu na jamaa na hata mtaani kwake ama mtaani kwa the lady in question…. From my assumption ni kwamba sio tabia ya wanaume kufanya hivo kwa wanawake wooote; bali tu Yule ambae he has intense feelings/yupo nae serious (thou saa ingine ni tabia yake tu) Na believ e me you Mwanaume aki "Mark" kua this is my territory… Message is sent and delievered…. For wanaume wengi wana kama a "silent understanding" kwamba if Yule ni wa mshikaji – haitakiwi uguse… thou kuna wale huenda extremes na kutaka kutongoza bila kujali aidha kwa kukujaribu… ama tu sababu nae kakutamani, hapa akija atakuja kwa gear ya kukujali na kumponda mshikaji (your Man)….
Personally naona kama vile Mwanamke aki Mark territory haina nguvu… kwamba wanawake wenzio wakimuona wajue kua ni wako?? Kwamba wakatae wakitongozwa na jamaa hata kama ana mvuto kwa yeye personally?? (For mara nyingi wanawake hupenda kuona kua wee ulotongozwa sasa umeonekana bora kuliko Yule alonae… hivo unakuta haisaidii)… Na mara nyingi wanawake tunapenda Marking our territories with kitu Fulani.. kama Designers Mirror, Saa ya Ukutani, vifaa vya jikon, Frame ya picha… na the like thou nguvu yake kuonesha HE is YOURS… haina nguvu saaana zaidi ya kufurahi sha roho yako……
Take note kua as time goes on... haya mambo yanafanyika inevitably na involuntary... hasa kama mwakutana mara kwa mara... walala kwake mara kwa mara... Mnajikuta mwisho unaacha hiki ama kile (for the simple reason kua you will be back soon lakini sio kwa nia ya kua "mark")
Mkaka ana njia na mbinu nyingi za kuonesha kua huyu ni wangu… Na mara nyingi akifanya hivo, hua yupo mbele ya marafiki ama ndugu na jamaa na hata mtaani kwake ama mtaani kwa the lady in question…. From my assumption ni kwamba sio tabia ya wanaume kufanya hivo kwa wanawake wooote; bali tu Yule ambae he has intense feelings/yupo nae serious (thou saa ingine ni tabia yake tu) Na believ e me you Mwanaume aki "Mark" kua this is my territory… Message is sent and delievered…. For wanaume wengi wana kama a "silent understanding" kwamba if Yule ni wa mshikaji – haitakiwi uguse… thou kuna wale huenda extremes na kutaka kutongoza bila kujali aidha kwa kukujaribu… ama tu sababu nae kakutamani, hapa akija atakuja kwa gear ya kukujali na kumponda mshikaji (your Man)….
Personally naona kama vile Mwanamke aki Mark territory haina nguvu… kwamba wanawake wenzio wakimuona wajue kua ni wako?? Kwamba wakatae wakitongozwa na jamaa hata kama ana mvuto kwa yeye personally?? (For mara nyingi wanawake hupenda kuona kua wee ulotongozwa sasa umeonekana bora kuliko Yule alonae… hivo unakuta haisaidii)… Na mara nyingi wanawake tunapenda Marking our territories with kitu Fulani.. kama Designers Mirror, Saa ya Ukutani, vifaa vya jikon, Frame ya picha… na the like thou nguvu yake kuonesha HE is YOURS… haina nguvu saaana zaidi ya kufurahi sha roho yako……
Take note kua as time goes on... haya mambo yanafanyika inevitably na involuntary... hasa kama mwakutana mara kwa mara... walala kwake mara kwa mara... Mnajikuta mwisho unaacha hiki ama kile (for the simple reason kua you will be back soon lakini sio kwa nia ya kua "mark")