Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Ma DOBI ni noma...
Ma hr siku hizi wamekatwa kilimi limi, baada ya kuja hizi recruitment agencies!
Proffeshion gani ndo sio malaya?
"No research no right to speak" usituzalilishe marketers bwana, umalaya ni huruka ya mtu sasa wale machangudoa na wanafunzi vyuoni wanaouza papuchi zao ni drivers au marketers?
Madobi wao Sina data zao sanaMa DOBI ni noma...
Madaktari ni hatari zaidi, walimu wa primary+ sekondari na vyuo, ndio usisema! wanafanya ngono hadi maofisini..pia walimu wa vyuo vilivyo chini ya VETA, kama DATA STAR, A3 Institute, vyuo vya utalii, eagle wings, sijui nini..ni hatari ya dunia////.... wanafanyana na wanafunzi balaaaa
Hahhaaaa! TUTAKE RADHI KIJANA! Sales na marketing wana ujira mdogo? Labda kamahufiki targets! Kuse kweli kama ni kuwa exposed unakuwa exposed! UMALAYA TABIA YA MTU TU! Ila kiwa a natural akapata na chance matokeo yake yanakuwa EPIC!
Nimekuwa nikipata Fununu kutoka Kwa madereva malori Nliyowahi kufanya nao mahojiano na walikiri kuwa kila walipoenda safari iliwalazimu kuchukua Wke kila Kituo walipopiga kambi
Marketers,sales na loan officers nao ni hatari sana,huwa kazi zao zinawapelekea kufanya umalaya kutokana na malipo madogo ya ujira wao,they vulnerable coz they mingle with a lot of people in their daily activities
Most of them hawajaoa na kuolewa na they are against marriage beliefs and it's institutions
Vipi unasemaje kuhusu wasio na profesion lakini malaya mbwa...?
Vipi unasemaje kuhusu wasio na profesion lakini malaya mbwa...?
Ma hr siku hizi wamekatwa kilimi limi, baada ya kuja hizi recruitment agencies!
The thing is I said they re vulnerable coz wanakuwa seduced much with clients
Na wao ili wapate deals kujirahisi muhimu na ukizingatia they have measured targets usipofikia wengine hata kulipwa hamlipwi salaries zenu
For instance una kwenda Kwa corporate client anatak kukupa deal ndefu ambapo ukisign inakuwa bonus Kwa kampuni na kwako pia ukiambiwa shush a pichu hapo utaremba Lara 1
"No research no right to speak" usituzalilishe marketers bwana, umalaya ni huruka ya mtu sasa wale machangudoa na wanafunzi vyuoni wanaouza papuchi zao ni drivers au marketers?
Nafikiri bankers na accountants