Marioo: Sina mpenzi na sijawahi

Msanii wa kizazi kipya Omary Ally maarufu kama Marioo, alisema hana mahusiano na wala hajawahi kuwa na mahusiano na mwanamke yoyote yule katika maisha yake.

Marioo alibainisha hayo Agosti 28, 2019 wakati akizungumza katika Kikaangoni cha EATV wakati akijibu swali aliloulizwa kuhusu mwenendo wake wa mahusiano.

“Sina mpenzi na sijawahi kuwa na mahusiano na mtu yoyote, sipigi nyeto na sio bikra, Ila nina njia zangu ninazozijua mwenyewe” alisema Marioo.

Aidha Marioo alizungumzia kiwango chake cha elimu ambapo alisema kuwa, hakufika Sekondari ameishia darasa la Saba lakini hadi sasa alipofikia, anajiona anayo elimu ya kidato cha nne.

Katika video iliyorekodiwa hivi karibuni imezua taaruki mitandaoni huku mashabiki wengine wakidai pengine hana mpenzi wa kike ila anae wa kiume sio kwa mahaba haya ya kushikana shikana hadharani
View attachment 2008005
Oyaaaa wanaa huyu Mwamba ndo hivii kweli...

Mbona Asenge sanaaa ama Pungaa nini...???
Maana picha kama ameamua kukaa uchi vilee.Afu yuko na mwamba mweupeeeee maninengaa kweli anii dah.

A see usije mjinii
 
Msanii wa kizazi kipya Omary Ally maarufu kama Marioo, alisema hana mahusiano na wala hajawahi kuwa na mahusiano na mwanamke yoyote yule katika maisha yake.

Marioo alibainisha hayo Agosti 28, 2019 wakati akizungumza katika Kikaangoni cha EATV wakati akijibu swali aliloulizwa kuhusu mwenendo wake wa mahusiano.

“Sina mpenzi na sijawahi kuwa na mahusiano na mtu yoyote, sipigi nyeto na sio bikra, Ila nina njia zangu ninazozijua mwenyewe” alisema Marioo.

Aidha Marioo alizungumzia kiwango chake cha elimu ambapo alisema kuwa, hakufika Sekondari ameishia darasa la Saba lakini hadi sasa alipofikia, anajiona anayo elimu ya kidato cha nne.

Katika video iliyorekodiwa hivi karibuni imezua taaruki mitandaoni huku mashabiki wengine wakidai pengine hana mpenzi wa kike ila anae wa kiume sio kwa mahaba haya ya kushikana shikana hadharani
View attachment 2008005
Clip inatia kichefuchefu, huyo dogo mwingine anaonekana bwabwa kabisa plus kushikana styles zile kwa wanaume inafikirisha sana.
 
Back
Top Bottom