Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,355
Hako kajani hapo juu kamenifanya nitamani kukatafuna kama miwa nimeze juisi.
Am high just looking at it.
Alafu ni kazuri hata kwa mwonekano.
Kuna rafiki yangu aliwahi kukapanda kwenye bustani kwa mjomba wake, mjomba akawa ananyeshea maji kila siku akidhani ni 'ua' ila akawa anashangaa kila siku anakuta ua limechumwa!!@