nawapongeza sana ZITTO , Kafulila na Ukawa kwa hatua waliyofikia katika kulimaliza sakata la escrow japo binafsi sijaridhika na maazimio kwakuwa bado naona yamewaacha huru mafisadi wote bila kujali ushahidi wa wazi wa wizi wao wa karne. kwangu mimi binafsi bongo imeandika historia ya kuwaacha huru majangili ya taifa hili na kubariki wizi uliokubuhu wa kodi za walalahoi. na nawaza kuwa sasa hakuna chombo kinachoweza kuwajibisha wezi hata wakamatwe red handed.na labda wanaowaza na wanaoendelea kuiba pesa ya umma sasa wataona kumbe poa tu kuiba mabilioni na hufanywi chochote! ni mtazamo tu!
Mbona unajipinga mwenyewe? Unawapongeza na huku unasema mafisadi wameachwa huru, yaonyesha ni jinsi gani hujui kuandika thread
Ukweli ni kuwa hakuna maazimio yeyote ya maana yalioafikiwa zaidi ya 'ujing*a na upumba*u' mtupu tu. Bunge zima ni kama limepoteza dira na mtazamo. Wabunge hawawezi kujenga umoja wala maafikiano na maazimio juu ya masuala ya 'wizi' ulio wazi namna ile. Wabunge wanachagua eti nani ni mwizi wa kumwajibisha na yupi ni mwizi wa kumwachia...that's not fair!
Cha kujiuliza ni kuwa hayo yote ile iweje au kwa faida ya nani?
Ukweli ni kuwa hakuna maazimio yeyote ya maana yalioafikiwa zaidi ya 'ujing*a na upumba*u' mtupu tu. Bunge zima ni kama limepoteza dira na mtazamo. Wabunge hawawezi kujenga umoja wala maafikiano na maazimio juu ya masuala ya 'wizi' ulio wazi namna ile. Wabunge wanachagua eti nani ni mwizi wa kumwajibisha na yupi ni mwizi wa kumwachia...that's not fair! Cha kujiuliza ni kuwa hayo yote ile iweje au kwa faida ya nani?
Pole sana! Bila shaka inauma. Ungekuwa china nadhani wangehukumiwa kunyongwa kwa wizi ingependeza
Na hata sisi WaTanzania yatupasa sasa tufike mahali tukubali kubadilisha mfumo wetu kwa kuijenga 'China' yetu wenyewe. Kwani hata Wachina walifika mahali wakajitengeneza mfumo uliweza kuwatumikia vema kwa kuziba mianya ya kufanya ufisadi.
Utumbo gani huu mbona huelewekiNi kufikia muafaka pande mbili kila moja kukubali kupoteza haki yake. UKAWA have agreed mafisad papa endelea ibia watz?