toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,838
- 10,261
Naona Clips zake nyingi yupo kwenye apartment,hivi Biriani inamuwezesha kupanga Apartment kama zile? Au kuna mtu kutoka Mombasa "Joho" kampangia ili awe anaungurumisha "gitaa la nyuzi" kila anapohitaji? Kuna clip anacheza basketi na MC flani hiv "SHOGA"
Mkuu wewe Daslama hii mambo ni mengi muda ni mchache, mimi ni mkazi wa tabata ukijitokeza tabata utayajua haya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 usione vyaelea vimeundwa man