PreGE2025 Maria Sarungi adai kuna mpango wa siri wa kuipa CHAUMMA asilimia 7 ya kura za Urais na viti maalum 20 ili wapate ruzuku

PreGE2025 Maria Sarungi adai kuna mpango wa siri wa kuipa CHAUMMA asilimia 7 ya kura za Urais na viti maalum 20 ili wapate ruzuku

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Inadaiwa kuwa kuna mpango wa siri unaohusisha baadhi ya taasisi muhimu za kisiasa nchini, zikiwemo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dawati la Siasa Ikulu na baadhi ya wanasiasa maarufu G-55, unaolenga kukipa chama cha CHAUMMA upendeleo maalum kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi zinadai kuwa Chaumma kinapangiwa kupewa asilimia 7 ya kura za urais kwa njia isiyo ya kawaida ili kukidhi masharti ya kupata ruzuku ya serikali kwa vyama vya siasa. Inadaiwa kuwa ruzuku hiyo itatumika kuwalipa baadhi ya waliowahi kuhudumu ndani ya sekretarieti ya Chadema kupitia kundi la G 55, kwa viwango sawa vya mishahara waliyoizoea.

5.PNG

GrDJMaWWYAAgEFe.jpg
 
udaku udaku mixture kachumbar za umbea umbea ndo kitu watz tunapenda. Ushenzi ushenzi fulan hivi na viujingajinga mara G55 mara G200 binafsi nmewachoka. Ngoja nikatangaze no reforms no election
 
Inadaiwa kuwa kuna mpango wa siri unaohusisha baadhi ya taasisi muhimu za kisiasa nchini, zikiwemo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dawati la Siasa Ikulu na baadhi ya wanasiasa maarufu G-55, unaolenga kukipa chama cha CHAUMMA upendeleo maalum kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi zinadai kuwa Chaumma kinapangiwa kupewa asilimia 7 ya kura za urais kwa njia isiyo ya kawaida ili kukidhi masharti ya kupata ruzuku ya serikali kwa vyama vya siasa. Inadaiwa kuwa ruzuku hiyo itatumika kuwalipa baadhi ya waliowahi kuhudumu ndani ya sekretarieti ya Chadema kupitia kundi la G 55, kwa viwango sawa vya mishahara waliyoizoea.

Na yeye Ana mpango gani
 
Mi naona itakuwa sawa tu, heri wapate na wao kuliko hela zote ziende CCM
 
ACT watelekezwa, zitto alikua na matumaini makubwa sana baada ya Chadema kukataa kuingia kwenye uchaguzi bila reform, alitegemea atapewa viti kadhaa vya ubunge na kufanywa chama kikuu cha upinzani, G-55 kumtosa na kwenda Chauma litakua linamuuma sana
 
Inadaiwa kuwa kuna mpango wa siri unaohusisha baadhi ya taasisi muhimu za kisiasa nchini, zikiwemo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dawati la Siasa Ikulu na baadhi ya wanasiasa maarufu G-55, unaolenga kukipa chama cha CHAUMMA upendeleo maalum kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi zinadai kuwa Chaumma kinapangiwa kupewa asilimia 7 ya kura za urais kwa njia isiyo ya kawaida ili kukidhi masharti ya kupata ruzuku ya serikali kwa vyama vya siasa. Inadaiwa kuwa ruzuku hiyo itatumika kuwalipa baadhi ya waliowahi kuhudumu ndani ya sekretarieti ya Chadema kupitia kundi la G 55, kwa viwango sawa vya mishahara waliyoizoea.

Wao wenyewe hawana uhakika wa kura, wataanza kufikiria kugawa kura kwa watu baki? How possible?
 
Inadaiwa kuwa kuna mpango wa siri unaohusisha baadhi ya taasisi muhimu za kisiasa nchini, zikiwemo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dawati la Siasa Ikulu na baadhi ya wanasiasa maarufu G-55, unaolenga kukipa chama cha CHAUMMA upendeleo maalum kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi zinadai kuwa Chaumma kinapangiwa kupewa asilimia 7 ya kura za urais kwa njia isiyo ya kawaida ili kukidhi masharti ya kupata ruzuku ya serikali kwa vyama vya siasa. Inadaiwa kuwa ruzuku hiyo itatumika kuwalipa baadhi ya waliowahi kuhudumu ndani ya sekretarieti ya Chadema kupitia kundi la G 55, kwa viwango sawa vya mishahara waliyoizoea.

Na yeye Maria anaumia!?.. chadema walifanyiwa hivyohivyo Ili CUF ipotee,watulie
 
Inadaiwa kuwa kuna mpango wa siri unaohusisha baadhi ya taasisi muhimu za kisiasa nchini, zikiwemo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dawati la Siasa Ikulu na baadhi ya wanasiasa maarufu G-55, unaolenga kukipa chama cha CHAUMMA upendeleo maalum kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi zinadai kuwa Chaumma kinapangiwa kupewa asilimia 7 ya kura za urais kwa njia isiyo ya kawaida ili kukidhi masharti ya kupata ruzuku ya serikali kwa vyama vya siasa. Inadaiwa kuwa ruzuku hiyo itatumika kuwalipa baadhi ya waliowahi kuhudumu ndani ya sekretarieti ya Chadema kupitia kundi la G 55, kwa viwango sawa vya mishahara waliyoizoea.

..ni mambo ya kusikitisha kuona nchi kubwa km hii inaachiwa wapumbavu pumbavu, hawana mbele wala nyuma kuamua nchi iende wapi hata ikienda machakani wao ni sawa, nchi ina zaidi ya miaka 60 umri wa mstaafu mtu mzima lkn bado tunatenda km watoto wa sekondari..uchaguzi ni tukio kuonyesha heshima ya nchi halafu hawa wajinga wanaleta uchaguzi wa maigizo..na walaaniwe wao na uzao wao wote!
 
Inadaiwa kuwa kuna mpango wa siri unaohusisha baadhi ya taasisi muhimu za kisiasa nchini, zikiwemo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dawati la Siasa Ikulu na baadhi ya wanasiasa maarufu G-55, unaolenga kukipa chama cha CHAUMMA upendeleo maalum kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi zinadai kuwa Chaumma kinapangiwa kupewa asilimia 7 ya kura za urais kwa njia isiyo ya kawaida ili kukidhi masharti ya kupata ruzuku ya serikali kwa vyama vya siasa. Inadaiwa kuwa ruzuku hiyo itatumika kuwalipa baadhi ya waliowahi kuhudumu ndani ya sekretarieti ya Chadema kupitia kundi la G 55, kwa viwango sawa vya mishahara waliyoizoea.

Kwa hiyo Maria Sarungi anaona wivu? Yaani nawashangaa sana akina Heche na Lissu, wamekubali huyu kahaba aliyeshindwa kumzika baba yake aharibu CHADEMA
 
Upuuzi tu. Hivi anadhani CHAUMMA kikipata candidates Wazuri na hoja za mashiko watashindwa kupata hiyo 7% hata zaidi?

Au anadhani chama Cha upinzani ni CHADEMA tu?
 
Upuuzi tu. Hivi anadhani CHAUMMA kikipata candidates Wazuri na hoja za mashiko watashindwa kupata hiyo 7% hata zaidi?
Siyo rahisi namna hiyo. Unadhani Zitto na kina kitila Mkumbo walikuwa hawana hoja hadi wakahangaika kuijenga ACT?

Unajua kuwa mwaka 2015 ni ACT peke yao kati ya vyama vya upinzani ndiyo iliweka wagombea wengi wa ubunge kwenye angalau Kila Jimbo?

Yaani nani kwa mfano anaweza kuwapa CHAUMA hiyo 7% ya kura za Urais. Hebu mtaje?
 
..ni mambo ya kusikitisha kuona nchi kubwa km hii inaachiwa wapumbavu pumbavu, hawana mbele wala nyuma kuamua nchi iende wapi hata ikienda machakani wao ni sawa, nchi ina zaidi ya miaka 60 umri wa mstaafu mtu mzima lkn bado tunatenda km watoto wa sekondari..uchaguzi ni tukio kuonyesha heshima ya nchi halafu hawa wajinga wanaleta uchaguzi wa maigizo..na walaaniwe wao na uzao wao wote!
UNAUMIA UKIWA WAPI? HEBU ANGALIA MACHAFUKO YANAYOENDELEA CHADEMA HALAFU ULINGANISHE NA UTULIVU ULOKO CCM CHADEMA NI WAHUNI TU
 
Inadaiwa kuwa kuna mpango wa siri unaohusisha baadhi ya taasisi muhimu za kisiasa nchini, zikiwemo Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dawati la Siasa Ikulu na baadhi ya wanasiasa maarufu G-55, unaolenga kukipa chama cha CHAUMMA upendeleo maalum kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.

Taarifa hizo ambazo bado hazijathibitishwa rasmi zinadai kuwa Chaumma kinapangiwa kupewa asilimia 7 ya kura za urais kwa njia isiyo ya kawaida ili kukidhi masharti ya kupata ruzuku ya serikali kwa vyama vya siasa. Inadaiwa kuwa ruzuku hiyo itatumika kuwalipa baadhi ya waliowahi kuhudumu ndani ya sekretarieti ya Chadema kupitia kundi la G 55, kwa viwango sawa vya mishahara waliyoizoea.

Ccm ni mchwa hawashibi
 
Back
Top Bottom