Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,247
Waliowekewa vikwazo hivyo ni pamoja na Rais wa Nchi hiyo, Makamu wa Rais , Waziri wa Ulinzi na Katibu Mkuu wa chama cha ZANU PF .
Viongozi hao wanakabiliwa na tuhuma za ufisadi , kukomba mali ya umma , ukiukwaji mkubwa wa Haki za binadamu, unyanyasaji uliopitiliza , utekaji na Mauaji .
Hawataruhusiwa kukanyaga Marekani na nchi washirika , huku mali zao zilizo katika nchi hizo zikiwemo nyumba zikikamatwa .
Viongozi hao wanakabiliwa na tuhuma za ufisadi , kukomba mali ya umma , ukiukwaji mkubwa wa Haki za binadamu, unyanyasaji uliopitiliza , utekaji na Mauaji .
Hawataruhusiwa kukanyaga Marekani na nchi washirika , huku mali zao zilizo katika nchi hizo zikiwemo nyumba zikikamatwa .