Mipale Steve
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 384
- 43
Naomba kwenye dhifa ya chakula cha usiku iwe kitaifa na sio kichama wala kifamilia.Sitegemei kuona kinamama wa ccm wala kirizione kwenye hiyo dhifa.
Pia napendekeza kwenye vikao vya wake wa maraisi wa Africa na mama Anna mkapa naye awepo.Huyu mama anaakil vizur kulinganisha na huyu tuliyenaye
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
sasa wewe unafananisha mwanamke wa kichaga na mwanamke wa pwani kimaendeleo?