Marekani yasalimu amri kwa Magufuli

Marekani yasalimu amri kwa Magufuli

Hii inchi ngumu kweli kuiongoza.

Kuna baadhi wamefurahi sanaa juu ya haka ka juhudi ka jpm kuna baadhi wanatamani ashindwe kabisaaa wapate cha kuongea,,

Swali akishindwa sijui wewe utaenda wapi???
Kuna wana ccm mpaka sasa hawataki kumsikia jpm kabisaaa na kuna wapinzani ndoo hawataki hata kuliona jina lake mahali,, kwani anafanya mambo ambayo walitamani kuyafanya kwa wana inchi,, ña kwa jinsi wanavyowajua wabongo wanajua tayari hili tufani litaondoka nao kama si wote basi weengi


Swali sasa huyu rais ni wa upande gani???
Upande wa Watanzania
 
Kati ya leo na 1960 imepita miaka zaidi ya 250? Kama kweli unachosema umekiamini then kama Malaysia iliwachukua hiyo miaka michache kufikia hapo leo iweje sisi tuchukue 250? Pengine ingekuwa vyema hata kwa uchache kuzipitia tu theory walizotunga wao za development kabla ya kuamini kila unachoambiwa.....Intimidation ni strategy pia ya kukuondolea wewe confidance ili usiweze kuthubutu na kuweza kuendelea pasipo vikwazo.

Ebu tujenge kujiamini kwanza kama nchi then yanatakayofuata ni matokeo.....hata kama itachukua bilions of years let us START now to walk our talks.

Tukumbuke kuwa poverty is nore of an attitude than anything else.....elimu kandamizi wanazotupatia zisizo zingatia context na culture zetu ni silaha pia ya kuendelea kututoa katika mstari wa maendeleo.

Tanzania njema ni lazima apende au asipende mtu....hapa kazi tu....hata tukiharibu ni sawa kama dhamira yetu ni njema!

Soma uelewe vizuri kilichoandikwa. Kwa mwendo (economic growth rate) ambao Tanzania imekuwa ikienda nao, itaichukua miaka 250 ilipofika Malaysia leo. Kwa namna nyingine ni kwamba muda huo unaweza kupungua au kuongezeka kutokana economic growth rate. Umeelewa kinachomaanishwa hapo?

Ninachokubaliana nawe ni kuwa tunatakiwa kuanza safari ya kuelekea kwenye maendeleo baada ya kupoteza miaka mingi kwa siasa zisizo na msingi. Na tunapofanya hivyo lazima tuongozwe na uhalisia kuliko kufikiria kuwa mwakani tutakuwa kama Marekani, nasi tuanze kutoa misaada.
 
chama na serikali pamoja na wananchi tulikubaliana kwa pamoja kuwa hatuhitaji tena msaada, tunahitaji kujitegemea ina maana wananchi tumesalitiwa?
 
Huyu ndio Magu bwana Mzaliwa wa Kagera ya zamani, jamaa ni kichwa balaa, hajui kubembeleza zaidi ya kufuata maelekezo.
 
Soma uelewe vizuri kilichoandikwa. Kwa mwendo (economic growth rate) ambao Tanzania imekuwa ikienda nao, itaichukua miaka 250 ilipofika Malaysia leo. Kwa namna nyingine ni kwamba muda huo unaweza kupungua au kuongezeka kutokana economic growth rate. Umeelewa kinachomaanishwa hapo?

Ninachokubaliana nawe ni kuwa tunatakiwa kuanza safari ya kuelekea kwenye maendeleo baada ya kupoteza miaka mingi kwa siasa zisizo na msingi. Na tunapofanya hivyo lazima tuongozwe na uhalisia kuliko kufikiria kuwa mwakani tutakuwa kama Marekani, nasi tuanze kutoa misaada.

Development theories haziamini katika linearity pekee katika growth path, zipo options kibao ni sisi tu kujipanga hiyo ya y= a+bx+c function imeshapitwa nyakati hizi na hiyo linear growth rate assumptions haziko justifiable/valid kwa mwendo wa dunia na advancement kwenye technology kama exogenous factors; lakini pia kuna latent factors kibao ambazo zinaondoa ukweli ya hiyo simplified model yako ya hesabu za kujumilisha na kutoa.

Kiufupi, Tanzania yaweza kufikia hiyo Malysia uliyo ifanyia reference ndani ya chini ya miaka kumi kwasababu ya hizo factors nilizokupa na wala haitakuwa ajabu.....
 
Back
Top Bottom