Marekani yapoteza ndege ya kuongozea mapigano huko Red Sea (E2 Command and Control)

Marekani yapoteza ndege ya kuongozea mapigano huko Red Sea (E2 Command and Control)

Ni juzi tu Marekani na NATO wamekimbizwa chupi mkononi na Taliban huko Afghanistan na wakaacha zana zote za kivita
vifaru,ndege, magari ya deraya,
Tumia vizuri akili yako!! Marekani huko Afghanstan walikuwa kama watawala mpaka wameweza kubadirishana marais wameisimamia nchi hiyo mpaka imekuwa stable na waliondoka huko si kwa kushindwa kwenye Medani ya vita la hasha kulikuwa na makubaliano ambayo yalifikiwa na ndiyo maana hata hizo zana za kivita waliachiwa kwa makubaliano wala si kwamba waliviteka kwenye mapigano. Magari,ndege viliachwa huko kwa sababu kwanza havina madhara hata wao hawawezi kuvitumia maana hakuna anayejua kuvitumia ukiondoa magari ambayo watayatumia kwa muda mfupi tu kisha yatakosa spares ambao hawawezi kuzipata popote isipokuwa marekani tu. Una pia ndege nyingi tu waliachiwa lakini hawawezi kuzitumia ipasavyo maana hakuna rubani atakayeweza kuzirusha na wakikurupuka zinaweza kuwaingiza matatani wao wenyewe kwa hiyo usifurahie sana hizo ndege zimeachwa kwa maksudi maalum. Kumbuka pia marekani wakati wanaondoka huko waliondoka na maelfu ya raia ambao sasa hivi wanaishi Marekani sasa hiyo kauli yako ya kuwa Wamekimbizwa chupi mkononi haina uhalisia!!!
 

Attachments

  • IMG_2267.png
    IMG_2267.png
    2.5 MB · Views: 9
Wewe umeolewa na waarabu? Maana inaonekana wazi umeolewa!!
Ushaidi umewekwa wa ndege iliochapwa mlokole ww Unadhani watu waongo kama ww umu jukwaani wewe ndio muongo namba 1 Habari zako nyingi azina chanzo.!!!! Uwongo kwenu ni ibada tunajua.. tunaona tunasikia!!!
 

Ndugu hayo ni MADAI ya Wahouth tu na hayajadhibitishwa na upande wa pili. Houth wenyewe hawajatoa ushahidi wowote kuhusu kuiangusha ndege hiyo hakuna picha wala video kudhibitisha madai yao. Tunajua kabisa madai mengi ya magaidi ni uongo ili tu waonekane wana nguvu kumbe hawana.. ukitaka kupata ukweli lazima upate na upande wa pili au picha ya tukio au video. Na wewe usiwe mjinga wa ku copy kila kitu hata ambavyo ha Ina ukweli wowote.
 
IRAN ndio kiboko yenu mlikimbia Jukwaa nyote kwenye ile promis no 2 Shubamit !!!

sasa mmerudi kwa kunyata tena mnadai Iran awana kitu!!!

mnawadunisha Wairan ohhh awana kitu sawa Anga lilikuwa la RED pale Telaviv shwain atujasikia tena mwanasayansi kauwawa Kigaid kumbe dawa yao ni kipondo tu !!!!!
Endelea kujidanganya!! Hata kwa magaidi wa Hezbollah mlikuwa kauli zenu kama hizi lakini sasa hivi mmeufyata mkia!!
 
Kama ni hivyo basi makamanda watakuwa na kazi gani.? Umeambiwa hiyo ni rada Ina yorka sasa inaongozaje mapigano? Najua huna uzoefu wowote wa vita basi tupe hiyo link kudhibitisha kuwa Pentagon wamesema ndege yao imepigwa!!!
Tatizo unashindana na raia 😀😀😀😀
 
Tumia vizuri akili yako!! Marekani huko Afghanstan walikuwa kama watawala mpaka wameweza kubadirishana marais wameisimamia nchi hiyo mpaka imekuwa stable na waliondoka huko si kwa kushindwa kwenye Medani ya vita la hasha kulikuwa na makubaliano ambayo yalifikiwa na ndiyo maana hata hizo zana za kivita waliachiwa kwa makubaliano wala si kwamba waliviteka kwenye mapigano. Magari,ndege viliachwa huko kwa sababu kwanza havina madhara hata wao hawawezi kuvitumia maana hakuna anayejua kuvitumia ukiondoa magari ambayo watayatumia kwa muda mfupi tu kisha yatakosa spares ambao hawawezi kuzipata popote isipokuwa marekani tu. Una pia ndege nyingi tu waliachiwa lakini hawawezi kuzitumia ipasavyo maana hakuna rubani atakayeweza kuzirusha na wakikurupuka zinaweza kuwaingiza matatani wao wenyewe kwa hiyo usifurahie sana hizo ndege zimeachwa kwa maksudi maalum. Kumbuka pia marekani wakati wanaondoka huko waliondoka na maelfu ya raia ambao sasa hivi wanaishi Marekani sasa hiyo kauli yako ya kuwa Wamekimbizwa chupi mkononi haina uhalisia!!!
Walikimbia Afghanstan sio kukabidhi nchi macho atuna sisi!!!!

Telabani awajawai kushindwa Vita walichofanya ili kuepusha miji kuaribiwa na vifo Walijitoa mijini kisha MOTO ukaanzia apo !!!!

miaka yote 20 walikuwa wanapigana na Telaban au walikuwa wanapigana na m23 Sasa ukisema sio mambo ya Medan tukuelewe vip ewe mlokole!!!

miaka yote iyo bado Telaban ndio alikuwa mdhibiti mkubwa wa Ardhi ya Afghanstan Marekani na Vibalaka wake walibaki mijin tu... !!!!

na kila kilochoachwa apo Telebani wanakitumia Spare part Mchina yupo jilan yao kule kama Sido yetu chukua chuma chako peleka kama ujatengenezewa kipya lkn Pia wenyewe ao wa Afghanstan ni watundu sana !!!!

upande wa Ndege pia yupo Muiran ana karakana kibao za Ndege nae yupo jilan yao.. mwamba mkuu ata kuzinunua anaweza !!!!

Marekani kapata Asala kubwa pale Juzi tu Tramp kamlalamikia Biden jinsi Wameacha Silaha uko Afghanstan !!!!

afu mlokole ww unataka kudanganya watu kuwa kulikuwa na Mkataba wakuachiwa silaha au Mkataka wa jinsi ya kukimbia na chup mkononi????
 
Hii taarifa ni ya uongo kabisa hivyo ni wazi kwamba inatokea masjid ubwabwa maanake ndiko zinakotokeaga hizi taarifa za kupikwa.

Nimeangalia vyanzo vyote vya habari vinavyo eleweka na hamna taarifa kama hiyo ila imetolewa kwa wale wanaodai kwamba jua waga linazama kwenye tope..😛😛🤣🤣
 
Ni juzi tu Marekani na NATO wamekimbizwa chupi mkononi na Taliban huko Afghanistan na wakaacha zana zote za kivita
vifaru,ndege, magari ya deraya,

😂😂😂😂😂😂. Kwenye nchi inayoongoza kuuza unga.
Nchi ambayo mwanamke sio mtu. Nchi ambayo watoto wa miaka 9 wanaolewa😂😂

Hii nchi inawafaa kuhamia 😂😂😂

Ustaarabu wake ni zero
 
Back
Top Bottom