gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 13,025
- 16,035
Kwani si umewekewa hapo maelezo ya kiingereza na bado huyataki,waliotoa taarifa ni houthi wenyewe,link ni mpaka marekani aseme tumepigwa ndiyo CNN, BBC,sky news watakutaarifu wewe,nenda threads habari ipoKwa ulichosema kwamba imepigwa Jana basi ni dhahiri hii ni taarifa ya uongo. Weka hata screenshot ya ulipotoka habari, maana kwa kwa hakika link hautaweza kuleta, Lete hata screenshot