gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 13,025
- 16,036
Haijalishi,mbona USA huisaidia israelWatakuwa wamesaidiwa na Iran
Haijalishi,mbona USA huisaidia israelWatakuwa wamesaidiwa na Iran
Ziko nyingi hizo AWACS italetwa nyingine walikuwa wamejisahau tu kuiwekea fighters mbili.Haijalishi,mbona USA huisaidia israel
Mtomo ndiyo Manyama gani?Chizi wakiisrael lazima utie mtomo.😃
Ziko nyingi hizo AWACS italetwa nyingine walikuwa wamejisahau tu kuiwekea fighters mbili.
Mimi bado nawakatalia Houth hawana lolote sema tu wanamtegemea sana bwana wao Iran tu lakini ikikatwa supply-Chain yao na Iran hawatakuwa na la kufanya. Hata Magaidi wa Hezbollah nao watu walikuwa wanawasifia sana lakini baada ya kudhibitiwa Supply-Chain yao walipigwa kama Ngoma mpaka baraza lote la Hezbollah liliangamizwa mpaka kiongozi wake Hassa Nasrallah. Watu kama hawa huwezi kuwasema kuwa wako Capable hakuna kitu hapo wala miru hi tu hao.Houthis are typically Iran's Proxy and it's one of the very capable military group
Basi ulikuwa mashambani huku ukutumikishwa kwenye taifa la mungu /shetan usijue loloteNi uongo kwanza hakuna tamko la Pentagon kama alivyosema nimeomba link nawekewa mapichapicha tu pili kazi ya ndege hiyo si kuongoza mapigano.
Hakuna report kama hiyo kwenye Al mayedeen TV.Maelezo si yamesema kiongozi wa houthi kaiambia tv ya al mayadeen,tafuta hiyo al mayadeen tv,akili zenu huwa zikoje,au ndiyo mlisoma kwa tuition kila kitu kutafuniwa?
Wewe Mwarabu-Koko ndiyo utateseka maisha yako yote na unaowatesekea wala hawakuhesabu kuwa kitu kwao wala hawajui kuwa wewe huku unateseka nao!!Damu ya ndugu zetu wapalestina hiyo inawatesa makafiri hao, na badoo
Naww mbona kutwa kuwasifia Wazungu kias upo Tayali kusema Uwongo ili tu kuwafuraisha Wazungu na kuwakuza aya Mzungu naww ulio uko kimbiji wapinawapi !!!!!Wewe Mwarabu-Koko ndiyo utateseka maisha yako yote na unaowatesekea wala hawakuhesabu kuwa kitu kwao wala hawajui kuwa wewe huku unateseka nao!!
Ni juzi tu Marekani na NATO wamekimbizwa chupi mkononi na Taliban huko Afghanistan na wakaacha zana zote za kivitaWameangusha ndege ngapi? Wamarekani wana ndege ngapi?
Vitani chochote kinaweza kutokea. Ila hii vita ya sasa, mataifa ya uarabuni yanazidi kuharibiwa.
US alikomeshwa na wavietnam tu. Mpaka akaita maji mma. Akaomba poo. Hawa wengine hawana lolote. Wamevimbiwa uji wanatoa mashuzi tu😂😂😂😂
Ila we upo tayari kuolewa na JewsWewe Mwarabu-Koko ndiyo utateseka maisha yako yote na unaowatesekea wala hawakuhesabu kuwa kitu kwao wala hawajui kuwa wewe huku unateseka nao!!
Safari hii mpaka Mnyooke tu!!!Naww mbona kutwa kuwasifia Wazungu kias upo Tayali kusema Uwongo ili tu kuwafuraisha Wazungu na kuwakuza aya Mzungu naww ulio uko kimbiji wapinawapi !!!!!
Weusi wenzio Uko Ulaya Wanaitwa yule mnyama wa mwituni.. ww uko kutwa kuwapigia promo!!!!!
Wewe umeolewa na waarabu? Maana inaonekana wazi umeolewa!!Ila we upo tayari kuolewa na Jews
Habari hii inaonyesha wazi ni uongo kabisa maana Kijeshi ndege E-2 au EWACS haziongozi mapigano. Ndege ya AWACS (Airborne Warning and Control System), kama vile Boeing E-3 Sentry, ni ndege iliyorekebishwa iliyo na mfumo mkubwa wa rada ambao hutoa ufuatiliaji wa hali ya hewa yote, amri, udhibiti na mawasiliano kwa shughuli za kijeshi, kimsingi inafanya kazi kama "rada inayo duka". Kingine mtoa mada umesema msemaji wa Pentagon wamesema wamesemea wapi hebu tupe link walikosemea na sisi tuone!! Najua huna maana ni uongo. Nawashangaa sana ndugu zangu katika imani ni waongo kumpita hata Shetani mwenyewe. Mtoa mada wadanye wajinga na wapumbavu kama wewe tu!!!!
Kwani fighter hazipopolewi?Ziko nyingi hizo AWACS italetwa nyingine walikuwa wamejisahau tu kuiwekea fighters mbili.
IRAN ndio kiboko yenu mlikimbia Jukwaa nyote kwenye ile promis no 2 Shubamit !!!Safari hii mpaka Mnyooke tu!!!