Titans
JF-Expert Member
- Dec 31, 2010
- 1,459
- 3,366
Jeshi la wana maji la Marekani limeonyesha silaha ya kushambulia adui kwa kutumia Laser beam. Ina maana hii ni invisible killer, inakuja bila kuonekana unasikia tu paaa. Naona wenzetu wame-advance sana kwenye uvumbuzi. Inasemekana hii silaha inaweza tungua hata drone inayokaribia hizi meli. Source CNN.
US Navy drone-killing laser weapon USS Ponce - CNNPolitics.com
US Navy drone-killing laser weapon USS Ponce - CNNPolitics.com