kuna hii dhana inayojengeka hapa jf inayosema eti rwanda kuna maendeleo kuliko tz, imebidi niingie kwenye net ku check cia economy factbook ili ni compare rwanda na tz cha ajabu tz iko mbali sana ukilinganisha na rwd, kwa mfano mwaka 2012 per capital income tz ni usd 1700 wakati rwd ni 660, percent ya pop below povert line tz ni 32 wakati rwanda ni 55, na kwa common sense watu wa rwanda ndiyo wanaotoroka kwao kuja tz na siyo wa tz kwenda rwanda hii inamanisha nini!!!haya majivuni kwamba rwanda inamaendeleo kuliko tz yanatoka wapi!!!!!