dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,527
Mkuu maisha ya wanyaruanda yapo mikononi mwa Mungu!huyu PK aende kuzimu na Rwanda itabaki salama!
Mazingira atakayoicha iacha RWANDA yatakuwa maBAYA sana! 7bu walithi wake wataendeleza hiyo ya kubaguana na Huenda ikawa mbaya zaidi ya ilivyo sasa hao waHUTU watavumilia bt iko cku watakinukisha2! Humu DUNIANI hakuna mnyonge wa MILELE,,,!