Marekani yajitoa rasmi WHO

Marekani yajitoa rasmi WHO

wowote tu uliotolewa nataasisi huru...
Sio kila jambo linahitaji ushahidi.

Uzembe wa WHO ni ushahidi tosha. Kila mtu mwenye akili anakiri kua WHO ilichemka na iliharibu.

WHO ilikataa ushahidi wa wazi kutoka kwa wataalamu wa Taiwan kua corona inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, wakakataa kwa sababu kwa kusema ushahidi uliotolewa na China hauonyeshi hivyo, baada ya wiki moja mbele wakakubaliana na Taiwan kua Corona inaambukizwa kutoka kwa binadamu mmoja kwenda mwingine.

WHO ilikua inafanya kazi kama wanasiasa, leo wanasema hivi kesho wanasema vile kama wanasiasa badala ya kua wataalamu wanasayansi.
 
Sio kila jambo linahitaji ushahidi.

Uzembe wa WHO ni ushahidi tosha. Kila mtu mwenye akili anakiri kua WHO ilichemka na iliharibu.

WHO ilikataa ushahidi wa wazi kutoka kwa wataalamu wa Taiwan kua corona inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, wakakataa kwa sababu kwa kusema ushahidi uliotolewa na China hauonyeshi hivyo, baada ya wiki moja mbele wakakubaliana na Taiwan kua Corona inaambukizwa kutoka kwa binadamu mmoja kwenda mwingine.

WHO ilikua inafanya kazi kama wanasiasa, leo wanasema hivi kesho wanasema vile kama wanasiasa badala ya kua wataalamu wanasayansi.
Ushahidi wawazi waliotoa TAIWAN uliujuaje ?!

WHO nitaasisi yakisayansi ambayo inaendesha mambo yake kisayansi lazma mambo yathibitike/shwe kisayansi ndio yafanyiwe kazi

TAIWAN walileta ushahidi gani wakisayansi kuhusiana na kuambukizwa kwa KORONA !?



US waache kulia lia washajitoa wapige kimya

Ukiachana na US taifa gani jengine ambalo limeilalamikia UCHINA mpaka kujitoa WHO kwasababu ya UCHINA kuhusiana na CORONA zaidi ya US


US waache kulia lia wakatafte kazi yakufanya Sio tena wanachama wa WHO wapigekimya huko wendako.....


Halaf hilo jambo ambalo halihitajii ushahidi utaliamini vipi ?!
Unataka WHO iendeshwe kama mtu anaiendesha familia yake MKUU pole sana kwahilo huu nitaasisi tena sio taasisi tu nitaasisi yakimataifa(KIDUNIA)ambayo kila jambo lake linaenda kwamichakato maalum kama ulitaka wakiambiwa jambo tu wakubali pole sana kwahilo MKUU
Kwamujibu wakanuni sheria nataratibu za WHO nilazima itifaki zizingatiwe ndio maamuzi yafanyike
Mbna baada yakufanya UTAALAM wakaja mahitimisho kwamba kweli korona inaambukiza.....
 
Rais ndiye ana uwezo wa kiveto.
Chochote kikitoka Congress kinaensa Senate ambayo mhusika ni Republican

Sio kweli, acha upotoshaji, labda unaiongea Russia, China, Tanzania au nchi zingine sampuli hiyo.

Marekani uamuzi wa Congress unaweza ku-overule uamuzi wowote wa rais. Marekani uamuzi wa mtu mmoja hauwezi ukaamua hatima ya nchi. Marekani sio Banana Republic.
 
Yaani China itoe 500mil kila mwaka.... thubutuuu

China itoe pesa kuziba nafasi ya Marekani?? Wewe huijui China na hata huo uwezo hawana.

Umesikia wenyewe China wamekiri wazi kuwa kuondoka kwa Marekani WHO itakuwa ni pigo kubwa kwa nchi maskini duniani. Unafikiri ni kwa nini wamekiri hivyo.
 
Ila wamekuzidi kila kitu hata wakifa leo wewe na ukoo wako hamuwezi fikia hata asilimia 1 ya mapato yao
Trump ni tahira kama yule jamaa wa Tanzania.Jamaa wa dona kantri,jamaa wa nchi ya asali na maziwa!
 
Ndio maana Trump anawakomalia WTO China iwekwe kwenye Developed countries
China ikifika kwenye kuchangia inajiweka third world ila kwenye masuala ya biashara inajiweka first world..

Kwenye hili suala la Corona WHO walikosea kupanga namna ya kupambana na Virusi matokeo vikasambaa dunia nzima.Acha Marekani akae pembeni tuone ukubwa wa China.
 
Sio kila jambo linahitaji ushahidi.

Uzembe wa WHO ni ushahidi tosha. Kila mtu mwenye akili anakiri kua WHO ilichemka na iliharibu.

WHO ilikataa ushahidi wa wazi kutoka kwa wataalamu wa Taiwan kua corona inaambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine, wakakataa kwa sababu kwa kusema ushahidi uliotolewa na China hauonyeshi hivyo, baada ya wiki moja mbele wakakubaliana na Taiwan kua Corona inaambukizwa kutoka kwa binadamu mmoja kwenda mwingine.

WHO ilikua inafanya kazi kama wanasiasa, leo wanasema hivi kesho wanasema vile kama wanasiasa badala ya kua wataalamu wanasayansi.
Katika siasa au sheria hauwezi kumshutumu mtu bila ya ushahidi utaonekana punguwani

Cause hata Mimi naweza kuamka zangu asubuhi nikadai kuwa wewe nikikojozi ". Ili watu wanaojielewa waweze kuniamini napaswa kuwa na evidence

Kama evidence huna utaonekana kuwa nimpiga porojo tu
 
Katika siasa au sheria hauwezi kumshutumu mtu bila ya ushahidi utaonekana punguwani

Cause hata Mimi naweza kuamka zangu asubuhi nikadai kuwa wewe nikikojozi ". Ili watu wanaojielewa waweze kuniamini napaswa kuwa na evidence

Kama evidence huna utaonekana kuwa nimpiga porojo tu
hakikaaaa.....
 
Sio kweli, acha upotoshaji, labda unaiongea Russia, China, Tanzania au nchi zingine sampuli hiyo.

Marekani uamuzi wa Congress unaweza ku-overule uamuzi wowote wa rais. Marekani uamuzi wa mtu mmoja hauwezi ukaamua hatima ya nchi. Marekani sio Banana Republic.
Wee jamaa unapenda sana kukurupuka ujue kaah
Rais ndiye ana uwezo wa kiveto.
Chochote kikitoka Congress kinaensa Senate ambayo mhusika ni Republican
Uwe unampiga msasa huyo jamaa yako kabla hujamwambia aje achangie hapa anakaa anakurupuka kurupuka tu kwakila jambo bila kujua
 
China badala kujazia gap linaloachwa na US, yeye analialia tu eti Hali itakuwa mbaya kwa nchi zinazoendelea, Sasa si atoe mpunga kuepusha hiyo hali mbaya! Kulialia haisaidii.
 
Marekani imetangaza rasmi kujitenga na Shirika la Afya Duniani, WHO. Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akililaumu shirika hilo kwa kushindwa kudhibiti CoronaVirus

Mei 29, Rais Trump alitangaza nia yake ya kujitenga na shirika hilo, lakini WHO walikuwa wanatumaini kuwa hatua hiyo ingeweza kuepukwa

Lawama za Rais Trump dhidi ya WHO ni kuhusu kupuuza taarifa za awali za COVID19 ulipoanza kuibuka nchini China Decemba 2019

Wataalamu wengine wa Afya wamesema wataendelea kuongea na viongozi wa WHO kuhusu namna mbali mbali z kukabiliana na janga hilo

====

The United States has officially withdrawn from the World Health Organization, lawmakers announced on Tuesday, more than a month after President Donald Trump announced his intention to do so for WHO’s alleged failure in responding to coronavirus.

“Congress received notification that POTUS officially withdrew the U.S. from the WHO in the midst of a pandemic,” U.S. Senator Bob Menendez, a Democrat from New Jersey, said on Twitter. “To call Trump’s response to COVID chaotic and incoherent doesn’t do it justice.”

Trump announced his intention to terminate the U.S. relationship with WHO on May 29, but the agency expressed hope that such a move could be avoided. “The [U.S.] has been a longstanding and generous friend to WHO and we hope it will continue to be so,” WHO chief Tedros Adhanom said earlier this year.

Trump has long criticized the international health organization for its response to the coronavirus outbreak, which began in the Chinese city of Wuhan in late 2019. It has since spread around the world, killing nearly 540,000 people.

“Chinese officials ignored their reporting obligations to the World Health Organization and pressured the World Health Organization to mislead the world when the virus was first discovered by Chinese authorities,” Trump said on May 29. China and WHO have denied those allegations.

“Countless lives have been taken, and profound economic hardship has been inflicted all around the globe. They strongly recommended against me doing the early ban from China, but I did it anyway and was proven to be 100 percent correct,” Trump said at the time.

“We have detailed the reforms that it must make and engage with them directly, but they have refused to act,” he said, adding that U.S. funds for the World Health Organization will be redirected to other worldwide and urgent public health needs.
Ningeshangaa Kama wasingejitoa! WHO ya Sasa ni wasanii na wahuni tu hakuna la maana! Ni madalali wa wafanyabiashara tu! Livunjwevunjwe kabisa kizaliwe kitu tofauti kabisa!
 
Sasa huoni kuwa kujitoa kwa USA ndio wanazidi kujiweka katika wakati mbaya zaidi

Maana WHO ni shirika ambalo linachangia kuzisaidia nchi nyingi kiafya ulimwengu ..endapo china ataweza kumudu kulipa shirika hilo pesa nyingi za kujiendesha halafu shirika hilo likawa linaendelea kutoa misaada katika nchi wanachama bila ya kutetereka ..bila shaka china itafanikiwa kuongeza ushawishi wa kisiasa katika mataifa mengi duniani hivyo basi itaifanya china kuzidi kupaa kiuchumi na kuogopeka zaidi kauli ya china itakuwa ni amri kwa hayo mataifa wanachama kama ilivyo kuwa USA kwa mataifa mengi miaka kadhaa iliyopita
China hawana moyo wa kutoa alafu kingine USA kujitoa WHO kutaipa nguvu zaidi USAID

so USA kachanga karata zake vizuri
 
Marekani imetangaza rasmi kujitenga na Shirika la Afya Duniani, WHO. Rais wa Marekani Donald Trump amekuwa akililaumu shirika hilo kwa kushindwa kudhibiti CoronaVirus

Mei 29, Rais Trump alitangaza nia yake ya kujitenga na shirika hilo, lakini WHO walikuwa wanatumaini kuwa hatua hiyo ingeweza kuepukwa

Lawama za Rais Trump dhidi ya WHO ni kuhusu kupuuza taarifa za awali za COVID19 ulipoanza kuibuka nchini China Decemba 2019

Wataalamu wengine wa Afya wamesema wataendelea kuongea na viongozi wa WHO kuhusu namna mbali mbali z kukabiliana na janga hilo

====

The United States has officially withdrawn from the World Health Organization, lawmakers announced on Tuesday, more than a month after President Donald Trump announced his intention to do so for WHO’s alleged failure in responding to coronavirus.

“Congress received notification that POTUS officially withdrew the U.S. from the WHO in the midst of a pandemic,” U.S. Senator Bob Menendez, a Democrat from New Jersey, said on Twitter. “To call Trump’s response to COVID chaotic and incoherent doesn’t do it justice.”

Trump announced his intention to terminate the U.S. relationship with WHO on May 29, but the agency expressed hope that such a move could be avoided. “The [U.S.] has been a longstanding and generous friend to WHO and we hope it will continue to be so,” WHO chief Tedros Adhanom said earlier this year.

Trump has long criticized the international health organization for its response to the coronavirus outbreak, which began in the Chinese city of Wuhan in late 2019. It has since spread around the world, killing nearly 540,000 people.

“Chinese officials ignored their reporting obligations to the World Health Organization and pressured the World Health Organization to mislead the world when the virus was first discovered by Chinese authorities,” Trump said on May 29. China and WHO have denied those allegations.

“Countless lives have been taken, and profound economic hardship has been inflicted all around the globe. They strongly recommended against me doing the early ban from China, but I did it anyway and was proven to be 100 percent correct,” Trump said at the time.

“We have detailed the reforms that it must make and engage with them directly, but they have refused to act,” he said, adding that U.S. funds for the World Health Organization will be redirected to other worldwide and urgent public health needs.
Biden atatengua huu uchizi wa Trump.
 
China badala kujazia gap linaloachwa na US, yeye analialia tu eti Hali itakuwa mbaya kwa nchi zinazoendelea, Sasa si atoe mpunga kuepusha hiyo hali mbaya! Kulialia haisaidii.
Baada yakuona MUHABESHI kagoma kutoka wakaona watoke wao [emoji4][emoji23][emoji16]
 
China hawana moyo wa kutoa alafu kingine USA kujitoa WHO kutaipa nguvu zaidi USAID

so USA kachanga karata zake vizuri
US Hajachanga karatazake vyema kwasababu

Kupitia WHO taifa la US lilikua linaweza kufanya mambo yasio yakawaida kupitia WHO kwamataifa ambayo sio rahisi kuingia kwao kwamfano wangewaingiza MAJASUSI wao KOREA RUSSIA UCHIBA IRAN VENEZUELA n.k

Pia US AID haitakua kama WHO sababu halitakua shirika lakimataifa litakua shirika la US.....
 
Baada yakuona MUHABESHI kagoma kutoka wakaona watoke wao [emoji4][emoji23][emoji16]
Hoja ya US kujitoa iko wazi hata kwenye habari hii imeelezwa na wala sababu sio boss wa WHO kutong'atuka kama unavyotaka kupotosha hapa. Na hoja yangu mie ni mchina ajazie gap ili hiyo hatari anayosema itatokea kwa nchi maskini baada ya US kujitoa isitokee, Ila sasa nashangaa umeniQuote tofauti kabisa na hoja yangu niliyoandika hapa na pia tofauti kabisa na sababu za kujitoa alizoeleza Marekani. Sasa sijui lengo lako nini? Tufanye mjadala wa hoja ama tufanye mjadala katuni!!
 
Hoja ya US kujitoa iko wazi hata kwenye habari hii imeelezwa na wala sababu sio boss wa WHO kutong'atuka kama unavyotaka kupotosha hapa. Na hoja yangu mie ni mchina ajazie gap ili hiyo hatari anayosema itatokea kwa nchi maskini baada ya US kujitoa isitokee, Ila sasa nashangaa umeniQuote tofauti kabisa na hoja yangu niliyoandika hapa na pia tofauti kabisa na sababu za kujitoa alizoeleza Marekani. Sasa sijui lengo lako nini? Tufanye mjadala wa hoja ama tufanye mjadala katuni!!
twende kwahoja US alijitoa WHO kwasababu zipi ambazo zakitaalam lkn sio blaa blaaa...
 
Back
Top Bottom