Two third majority in Congress can overturn the decision of the president. So, please take note of that.Wee jamaa unapenda sana kukurupuka ujue kaahUwe unampiga msasa huyo jamaa yako kabla hujamwambia aje achangie hapa anakaa anakurupuka kurupuka tu kwakila jambo bila kujua
Lkn maamuzi yake yanaweza kubatilishwa na thuluthi mbili ya wabunge wa Congress..Rais ndiye ana uwezo wa kiveto.
Chochote kikitoka Congress kinaensa Senate ambayo mhusika ni Republican
jamaa ni wanyonyaji kweli kweliChina ikifika kwenye kuchangia inajiweka third world ila kwenye masuala ya biashara inajiweka first world..
Kwenye hili suala la Corona WHO walikosea kupanga namna ya kupambana na Virusi matokeo vikasambaa dunia nzima.Acha Marekani akae pembeni tuone ukubwa wa China.