Marekani yaitumia Islamic State Kuivamia Philippines

Marekani yaitumia Islamic State Kuivamia Philippines

Rais wa Philippines Duertete amesema serikali ya Marekani kupitia magaidi wa Islamic State wamevamia jimbo la mindanao na kuuteka mji Mkuu wake Marawi. Vita katika mji huo mkuu umechukua wiki 3 na mpaka sasa majeshi ya Philippines yameshindwa kuwaondoa wapiganaji ISIS. Raia na wanajeshi wengi wamepoteza maisha yao.
Toka Rais Duertete aingie madarakani ameonyesha chuki kubwa kwa nchi za magharibi mpaka ilifikia hatua kumwita aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama mwanaharamu, uhusiano wa nchi hiyo na marekani umezorota sana kiasi ambacho Rais Duertete aliamuru majeshi ya Marekani kuondoka nchini humo. Hawa magaidi wa ISIS wanapigana huko Syria na Iraq kwa msaada wa serikali ya Marekani kupitia shirika lake la ujasusi CIA
Imebidi kwa Rais Duertete kuipigia magoti Marekani ili imsaidie vita hivyo. Kwa miaka mingi nchi ya Philippines ilikuwa na vita na kikundi cha kigaidi Abusayaf lakini haikuwa kutokea vita vikubwa kama zilizotokea wiki 3 zilizopita.

Huyu Raisi naye aache upumbavue. Athibitiehs namna gani America ametuma ISIS ufilipoini.

Ugaidi Filipino haujaanza leo. Miaka yote kule nyuma, Father Franco alitekwa na magaidi kule MIndanao na Magaidi hao walikuwa wakiingie kutokea Iran. Walikuwa wanaingie kisrisiri kutokea Iran kwa jina la kueneza dini ya kiislam hatimaye wakaanza vita. Mindanao ni sehemu haijawah kuwa na aman miaka yote.

Hoja kwamba eti vita hivi vimekuwa vikali kuliko zamani ndiyo sababu kuwa America atakuwa ametuma ISIS ni upumbavue. Mikaa yote hiyo kuan ugaidi na umekuw ukipanuka wanaona leo magaidi yamejiimarisha wanasema ni America??

Fundisho liko hinvi. Tanzania, mnayaona yanaofanyika Kibiti, ndivyo hata Mindanao ilianza. Mkizubaa na kuyaahca ama kukubali kwamba ni wapinzani wa ccm tu na siasa siasa, mtashangaa Al Sahab nzime inaingia kule na kuteka jiji la Dar ar Salaalm.

ACHINI SIASA KWENYE MASUALA YA MAUAJI YA KIDINI!.
 
Rais wa Philippines Duertete amesema serikali ya Marekani kupitia magaidi wa Islamic State wamevamia jimbo la mindanao na kuuteka mji Mkuu wake Marawi. Vita katika mji huo mkuu umechukua wiki 3 na mpaka sasa majeshi ya Philippines yameshindwa kuwaondoa wapiganaji ISIS. Raia na wanajeshi wengi wamepoteza maisha yao.
Toka Rais Duertete aingie madarakani ameonyesha chuki kubwa kwa nchi za magharibi mpaka ilifikia hatua kumwita aliyekuwa Rais wa Marekani Barrack Obama mwanaharamu, uhusiano wa nchi hiyo na marekani umezorota sana kiasi ambacho Rais Duertete aliamuru majeshi ya Marekani kuondoka nchini humo. Hawa magaidi wa ISIS wanapigana huko Syria na Iraq kwa msaada wa serikali ya Marekani kupitia shirika lake la ujasusi CIA
Imebidi kwa Rais Duertete kuipigia magoti Marekani ili imsaidie vita hivyo. Kwa miaka mingi nchi ya Philippines ilikuwa na vita na kikundi cha kigaidi Abusayaf lakini haikuwa kutokea vita vikubwa kama zilizotokea wiki 3 zilizopita.
Kwani Philipines the so called ugaid ulianza leo?..Acheni kulishwa matango pori nd nyie mnaamini tu bila kutumia akili.
 
Ukitaka kuwa famous duniani siku hizi,wewe iseme marekani vibaya tu.Lazima uwe famous.Hii strategy ameitumia sana Putin,naona na Durtete nae anaanza kuitumia.
 
rais wa phillipine kaitukana we marekan lakin mwsho wa siku imebidi tu awaombe wayasasaidie majeshi yake huko marawi..........huwez rais kiburi dunia hii kama nchi yako haina nguvu aisee lasivyo utakua tu msemaji wa maneno matupu..c kazi rahisi kuwa kama putin au kiduku
 
ISIS ni kikundi cha kigaidi kinachotumiwa na Marekani na kikundi hiki huwa hakuna ugomvi na Marekani.
Urusi ndio waliweza kukipiga kikundi hiki huko Syria mpaka nguvu ya kikundi hiki kikapungua.

Well said, ISIS na Marekani lao moja - jamaa hawa walivyo wanafiki - juzi au jana Jeshi la anga la Urusi limetangaza kwamba limefanikiwa kumu-eliminate kiongozi wa ISIS one Bhagadadi na wapiganaji zaidi ya 300 kwa mpigo ndani ya dakika kumi, mtu ungetegemea Serikali ya Trump ingewapongeza jitihanda za Urusi badala yake response ya Uncle SAM ni luke warm kabisa ni as if hawakutaka kiongozi huyo auwawe!!
 
Kwasasa magaidi wamekuwa tools za nchi za magharibi katika kutetea maslahi yao. Nitakupa mfano Seif Islam aliyekuwa mtoto wa Ghadaffy aliachiwa na magaidi huko Libya baada ya kukaa jela miaka sita leo ICC badala ya kuwakamata walioanzisha vita vya Libya sasa wametangaza seif islam akamatwe apelekwee the Hague kushitakiwa. Rais Sisi wa Misri aliyepindua serikali ya kidemokrasia na kuua maelfu ya watu yuko huru.
Hiyo ndio sura 2 za nchi za magharibi.
Salute kwako mkuu
 
Whoever wishes to see the devil, just look carefully in USA.

Hicho Ndicho naweza Sema. Huwa nashangaa sana kuona makanisani watu wanakemea shetani na wengine kusema kuwa shetani yupo kuzimu mara motoni ila , ukweli ni kwamba viongozi na serikali na sera za USA ndiyo shetani na kuzimu ni USA.

Haya, ona sasa Philippines kinachowatokea, walitaka kuangusha NK, wameangusha libya, wameharibu Iraq, wamechanganya Tunisia na Egypt the list goes on.

Yaani, if real God do exist why don't he eliminate USA from the surface of the Earth!?
 
Kwasasa magaidi wamekuwa tools za nchi za magharibi katika kutetea maslahi yao. Nitakupa mfano Seif Islam aliyekuwa mtoto wa Ghadaffy aliachiwa na magaidi huko Libya baada ya kukaa jela miaka sita leo ICC badala ya kuwakamata walioanzisha vita vya Libya sasa wametangaza seif islam akamatwe apelekwee the Hague kushitakiwa. Rais Sisi wa Misri aliyepindua serikali ya kidemokrasia na kuua maelfu ya watu yuko huru.
Hiyo ndio sura 2 za nchi za magharibi.

Wazungu koko ni wanafiki, wezi na they are devil's sons and daughters.
 
ISIS ni kikundi cha kigaidi kinachotumiwa na Marekani na kikundi hiki huwa hakuna ugomvi na Marekani.
Urusi ndio waliweza kukipiga kikundi hiki huko Syria mpaka nguvu ya kikundi hiki kikapungua.
Leo urusi imesema imemuua kiongozi wa IS , Al baghdad
 
Huyu Raisi naye aache upumbavue. Athibitiehs namna gani America ametuma ISIS ufilipoini.

Ugaidi Filipino haujaanza leo. Miaka yote kule nyuma, Father Franco alitekwa na magaidi kule MIndanao na Magaidi hao walikuwa wakiingie kutokea Iran. Walikuwa wanaingie kisrisiri kutokea Iran kwa jina la kueneza dini ya kiislam hatimaye wakaanza vita. Mindanao ni sehemu haijawah kuwa na aman miaka yote.

Hoja kwamba eti vita hivi vimekuwa vikali kuliko zamani ndiyo sababu kuwa America atakuwa ametuma ISIS ni upumbavue. Mikaa yote hiyo kuan ugaidi na umekuw ukipanuka wanaona leo magaidi yamejiimarisha wanasema ni America??

Fundisho liko hinvi. Tanzania, mnayaona yanaofanyika Kibiti, ndivyo hata Mindanao ilianza. Mkizubaa na kuyaahca ama kukubali kwamba ni wapinzani wa ccm tu na siasa siasa, mtashangaa Al Sahab nzime inaingia kule na kuteka jiji la Dar ar Salaalm.

ACHINI SIASA KWENYE MASUALA YA MAUAJI YA KIDINI!.
Yaani ww unaijua vizuri Philippines kuliko duterte ? Acha porojo mkuu , kwani duterte ajui kwamba Philippines kuna abusayaf , lakini kwann kasema hao Ni IS (US)
 
Huyo raisi analaana kaua watu ovyo kisa madawa na wengine watuhumiwa tu wasio thibitishwa
 
Back
Top Bottom