Marekani yaitumia Islamic State Kuivamia Philippines

Marekani yaitumia Islamic State Kuivamia Philippines

Hawa isil hata siwaelewi.ukienda Syria wanasaidiwa na marekani kumuondoa Assad,ukija Iraq wanapigwa na marekani kuondoka raqqa na Mosul. Hapa kuna mchezo mchafu huenda ikawa isil na marekani ni kitu kile kile majukumu tofauti.
 
Kama mmarekani ndio anawatengeneza hao magaidi.

je ni kwanini magaidi wote wawe waislam?
 
Kama mmarekani ndio anawatengeneza hao magaidi.

je ni kwanini magaidi wote wawe waislam?
Uislamu ni dini ya kigaidi.

Ugaidi umeandikwa kwenye Quran.

Sasa wanataka kusema Mmarekani ndiye kaandika ugaidi kwenye Quran?
 
Hawa isil hata siwaelewi.ukienda Syria wanasaidiwa na marekani kumuondoa Assad,ukija Iraq wanapigwa na marekani kuondoka raqqa na Mosul. Hapa kuna mchezo mchafu huenda ikawa isil na marekani ni kitu kile kile majukumu tofauti.
huko iraq hawapigwi na marekani ila anawalinda,aliwadondoshea silaha kwa bahati mbaya siku za nyuma,angekua anawapiga wangeisha mbona,urusi ndo anawapiga hai
 
Kama mmarekani ndio anawatengeneza hao magaidi.

je ni kwanini magaidi wote wawe waislam?
ulikutana nao ukawauliza dini zao?!kama walikujibu uliwaamini?..au unaiamini bbc na cnn watu ambao wala hufahamiani nao!
 
huko iraq hawapigwi na marekani ila anawalinda,aliwadondoshea silaha kwa bahati mbaya siku za nyuma,angekua anawapiga wangeisha mbona,urusi ndo anawapiga hai
Sasa marekani anapigana na nani Iraq?
 
Uislamu ni dini ya kigaidi.

Ugaidi umeandikwa kwenye Quran.

Sasa wanataka kusema Mmarekani ndiye kaandika ugaidi kwenye Quran?
Think before putting silly comments
 
Think before putting silly comments
Before calling a comment a silly coment, show us why. With detailed analysis and vivid justification.

If you can't, your "silly comment" comment becomes a silly comment.

Because it becomes an empty accusation.
 
Back
Top Bottom