min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 57,834
- 165,652
Walokole wana dopamine za ajabu wakisikia Israeli na USWamekuomba msaada?
Walokole wana dopamine za ajabu wakisikia Israeli na USWamekuomba msaada?
kauli na msimamo wa Iran wa "kuifuta" Israeli, ndio utaicost Iran.Wewe nae kiazi uvamiwe kwako na wahalifu halafu usarende ? Ukiranja wa kufanya ugaidi?
Taifa la kuitwa Israel, ni halali kabisa kufutwa ,hao nao ni wavamizi tu kwenye ardhi ya Palestine, kumbe Iran ina manati sio ?subiria siku mbili Iran inafutwa.kauli na msimamo wa Iran wa "kuifuta" Israeli, ndio utaicost Iran.
ukivamiwa nyumbani kwako na AK 47 wakati wewe una rungu, sarenda tu mkuu kwa maslahi mapana ya uhai wako na familia yako.
unafahamu B-2 Spirit shealth bomber?
Hawajaniomba ili wakiuliwa ww utakosa msaada wa majamvi ya kubong'olea msikiti na nyama za makafara za Eid El Adha..Wamekuomba msaada?
MkuuHaiwezi kutulia
Ova
Dunia haiwezi kutulia mzeeMkuu
Kufanyike Nini Amani Ipatikane
Sisi Wa Socialogy Tunapata Tabu Sana
Ndo ulivyoambiwa kanisani kwenu?Hawajaniomba ili wakiuliwa ww utakosa msaada wa majamvi ya kubong'olea msikiti na nyama za makafara za Eid El Adha..
😄😃🤪🤣😬😎😂😀😆Mkuu Kanisa GaniNdo ulivyoambiwa kanisani kwenu?
haiwezekani vitoto vivuruge nyumba na baba akaye kimya.Mchokozi yupi apo kwa akili yako !!! Marekani atoke uko kwao aje eneo lako kukupangia cha kufanya
kila mtu anaishi kwake tena kwa amani, wewe Baba kinachokuleta kwangu kitu ganihaiwezekani vitoto vivuruge nyumba na baba akaye kimya.
Sisi kama Iran tunasema,mabeberu yakisaidiana na mayahudi hatuwezi.Kwanza hata wakitutwanga ni kama tumewatwanga tu.Iran ni Mandonga wachangamfu.Tupige tujitangazie ushindi.
huruma siyo malezi, vitoto vikishavuruga kwao vitaamia kwa majirani maana vitaona ndo mfumo wa maisha, vifuatwe hukohuko kwaokila mtu anaishi kwake tena kwa amani, wewe Baba kinachokuleta kwangu kitu gani