Marekani yaanza tena kuishambulia Iran

Marekani yaanza tena kuishambulia Iran

huruma siyo malezi, vitoto vikishavuruga kwao vitaamia kwa majirani maana vitaona ndo mfumo wa maisha, vifuatwe hukohuko kwao
vitoto kwao viliishi kwa Amani tatizo ni huyu mhuni wa zamani akiona hesabu zake zimekaa vibaya anatafuta mnyonge wa kumuibia kwa kisingizio cha democracy
 
Mchokozi yupi apo kwa akili yako !!! Marekani atoke uko kwao aje eneo lako kukupangia cha kufanya✍️
Iran kwa nini wanatafuta kutengeneza bomu la nyuklia wakati walisaini mkataba wa (Nuclear Non-Proliferation Treaty) unaokataza nchi yoyote kuwa ya kumi kutengeneza silaha hizo.
 
Back
Top Bottom