Marekani wamewashambulia "magaidi" wa Nigeria

Marekani wamewashambulia "magaidi" wa Nigeria

Maduro

Maduro Hana lake nchi imeshazungukwa ile. Tunza hii comment. Mimi nimefika Latin America hakuna raia wasiompenda Maduro kama raia wa Venezuela. Acha kusoma story google. Usione Us Military unapata chance ya kuingia Venezuela udhani hakuna support.
Hapa siwezi kubisha maana sina habari sahihi.
Kuhusu Afghanistan, tembea walau kidogo uone Kwa macho yako. Afghanistan imeshakuwa ni failed state kitambo. Same to Iraq ni nchi ziko paralysed kikanda. Zina migogoro ya ndani.
Kwa hiyo unataka kusema kwamba Wamarekani waliwekeza matrilioni yote yale katika vita vile huku wakijua kuwa hizo nchi ni failed state na kwamba hawatashinda wala kupata cho chote? Kama ni hivyo, was that smart? Au unataka kusema nini?
 
Unadhani Marekani alipeleka jeshi Afghanistan Ili asipate kitu. Mwenzako alikuwa anatafuta imperial influence mashariki ya kati.

Hapo somalia sio kwamba alishindwa. Lengo ilikuwa kustabilize nchi Ambayo Hadi Sasa wanauana kama kuku.

Hapo Nigeria kinachotafutwa ni mafuta na rasilimali za Nigeria. Tinubu ameshakubali jeshi la US wamsaidie kwasababu Marekani alitumika njia ya kusema magaidi yanapata support kutoka serikalini.


In a nutshell, wenzako wanapigana vita vya mikakati. Sio vile vita vya Nyerere Uganda kwenda kichwa kichwa.
Afghanistan walifuata mafuta, baada ya Taliban kuipa tenda kampuni ya Argentina na kuinyima marekani wakawatishia,hiyo ni kabla ya 2000, around 98-99
Mafuta pia ndicho kilichompeleka USSR Afghanistan
Hapo Nigeria wasitegemee tena kutulia,refinery za dangote zimeweka bench kampuni za kizungu
 
Kuna mada hapa JF walifuta ila nitapitia kwako.

Waislamu wakubari wakatae ila wasicho elewa wasiseme hawana madhehebu wanayo.

Na hayo madhehebu utumia uislamu kufanya mambo yao kwa kujifichia uislamu.

Hata leo tumeona ukisema wakristo lazima kutofautisha mkristo wa kilokole, mkristo washakaola kule kenya alichofanya,mkristo wa mwamposa,mkristo wa kibwetero.

Kama wanabisha waje
Akili huna wewe,lini waislam walisema hawana madhehebu
 
Huwa nafurahi sana jitu likikurupuka tu kutoka huko lilikotoka bila kuelewa hoja ya msingi. Sasa ni nini kilichokupanikisha kwenye hoja yangu mpaka umekuja na matusi yasiyo na sababu. Sasa ukinipuuza wewe mi inaniathiri vipi?

Do you know the total cost of Afghanistan war? What did America gain from that war? Do you think just dropping bombs will damp Boko Haram's resolve?
What does the money spent in Afghanistan have to do with u? Are you saying u feel more pain about it than U.S. taxpayers do? If I were to call you a fool i would actually be showing u too much respect. U’re not even worth arguing with. STPD
 
What does the money spent in Afghanistan have to do with u? Are you saying u feel more pain about it than U.S. taxpayers do? If I were to call you a fool i would actually be showing u too much respect. U’re not even worth arguing with. STPD
100% certified fag who can't put up a coherent argument without resorting to profanities. This is pure faggotry. Good riddance! 🚮

20251226_012838.jpg
 
Marekani kwa kushirikiana na Serikali ya Nigeria, imewashambulia magaidi huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Trump anadai anapambana na magaidi wanaowashambulia wakristo wa Nigeria. Serikali ya US imedai kuwa mashambulizi hayo ni endelevu iwapo magaidi hawataacha njia zao ovu.
HATA HAPA TANZANIA KUNA KIKUNDI CHA KIGAIDI KINACHO ONGOZWA NA SAMIA NA FAMILIA YAKE NA ROSTAM AZIZI NA WAARABU WENYE VITUO VYA MAFUTA
 
Afghanistan ulifahamu kilichokuwa kinaendelea ,mbona mnashida nyie.

Ni kukumbushe wakati anasakwa Gaidi osoma na kundi lake lilipata ifadhi Afghanistan na USA liomba kumkamata ila Afghanistan ilikataa ndio wakavamiwa kwa nguvu
Anasakwa? Kivipi wakati USA ndio ilimpa silaha na mafunzo ili Osama/Taliban apigane na USSR!!
 
Anasakwa? Kivipi wakati USA ndio ilimpa silaha na mafunzo ili Osama/Taliban apigane na USSR!!
Vijiwe vya kahawa punguza basi.Umepewa internet nayo umeshindwa kutoa tongotongo.
 
Vijiwe vya kahawa punguza basi.Umepewa internet nayo umeshindwa kutoa tongotongo.

Internet ndio hiyo ona declassified documents za NSA.

Hata hujui urusi ilivamia Afghanistan? Na ili kupunguza influence yake ikabidi USA kufadhili taliban ili kupambana na urusi?

Tatizo jf ya siku hizi vitoto vingi hamjui historia ya 1970s
 
Marekani kwa kushirikiana na Serikali ya Nigeria, imewashambulia magaidi huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Trump anadai anapambana na magaidi wanaowashambulia wakristo wa Nigeria. Serikali ya US imedai kuwa mashambulizi hayo ni endelevu iwapo magaidi hawataacha njia zao ovu.
Hao wanaoitwa magaidi mara nyingu huwa ni vyombo vya serikali zao ili kuhadaa wananchi wakose haki zao.

Sasa Trump ameona awatwange hao wala rushwa wa nigeria wanasababisha Nchi inakuwa maskini wakati wana rasilimali nyingi
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
UMetumia hisia zaidi kuliko akili,hichi ndicho kinachowasumbua kobazi.

Watalebani na USA walikua kitu kimoja toka mwanzo,walikuja tofautiana baada ya kuungana na Osama.

Na USA hakukimbia ila aliona hana maslahi tena na kuendelea kuikalia Afgan baada ya kumalizana na Al Qaida.

Vita ya Sudani mmarekan anauza silaha wakishirikiana na UAE.

Jifunze soma acha kutumia mihemko,kila kete inayosukumwa USA anamaslah nayo hasa katika vita za maeneo mengi.
 
Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa!

Take that to your grave!
Mnasemaga hivyo hivyo hata gaza ilivyoanza kupelekewa moto na Nyau mlikuja na kauli hizo baada ya muda mkaanza reli za Pray for Gaza.

Shida yenu mi hemuko watu wanakaa wanaweka mikakati na matokeo yanaonekana.

Sahivi gaza yamebaki magofu tu na tayari oshaenda kwa myahudi.
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
Marekani waliifutilia mbali Al queda..ile yenyewe yakina Osama, Zawahir etc..vigogo wote wale walitekezwa.Somalia hapo unapopaongelea pametulizwa, sio wale pirates tena ....
Tofautisha Taliban na Al quida...Wataliban wale walikua madarakani Afghanistan kabla hata ya uvamizi....wale ni religoius extremists....na sio lazima terrorists..kama Al queda.Afghastan kuna makundi mengi sana ya Warloads..wanatawala maeneo yao kabisa....Osama na Al Queda walitorokea huko Afghanistan kwenye mikapa na Pakistan - remote areas zile zenye milima na mahandaki ili kujificha..n.k.
Thus Taliban waliondolewa kwa sababu walikuwa wanawapa hifadhi na kusaidia movement za Al queda...sababu waislamu wenzao n.k
But kama terrorists wamekua eliminated Taliban nao misimamo yao imekuwa moderate...waendelee tu na mambo yao...MILITARY CAMPAIG ni very effective kudeal na hao watu..ingawa sio kwa 80%
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
Kwa hiyo wewe kwa mawazo yako unawasaidiaje Wakristo wanaouawa na waislam hapo Nigeria?

Toa mawazo yako na wewe tukusikie.
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
Njia hiyo hiyo ilichangia kumaliza vita na Japan; vilevile, magaidi hao ni kundi dogo sana ndani ya Nigeria, so ni swala la muda tu. Iko wapi Al Qaeda?
 
Back
Top Bottom