Marekani wamewashambulia "magaidi" wa Nigeria

Marekani wamewashambulia "magaidi" wa Nigeria

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
10,915
Reaction score
18,892
Marekani kwa kushirikiana na Serikali ya Nigeria, imewashambulia magaidi huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Trump anadai anapambana na magaidi wanaowashambulia wakristo wa Nigeria. Serikali ya US imedai kuwa mashambulizi hayo ni endelevu iwapo magaidi hawataacha njia zao ovu.
 
Kuna mada hapa JF walifuta ila nitapitia kwako.

Waislamu wakubari wakatae ila wasicho elewa wasiseme hawana madhehebu wanayo.

Na hayo madhehebu utumia uislamu kufanya mambo yao kwa kujifichia uislamu.

Hata leo tumeona ukisema wakristo lazima kutofautisha mkristo wa kilokole, mkristo washakaola kule kenya alichofanya,mkristo wa mwamposa,mkristo wa kibwetero.

Kama wanabisha waje
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
Unadhani Marekani alipeleka jeshi Afghanistan Ili asipate kitu. Mwenzako alikuwa anatafuta imperial influence mashariki ya kati.

Hapo somalia sio kwamba alishindwa. Lengo ilikuwa kustabilize nchi Ambayo Hadi Sasa wanauana kama kuku.

Hapo Nigeria kinachotafutwa ni mafuta na rasilimali za Nigeria. Tinubu ameshakubali jeshi la US wamsaidie kwasababu Marekani alitumika njia ya kusema magaidi yanapata support kutoka serikalini.


In a nutshell, wenzako wanapigana vita vya mikakati. Sio vile vita vya Nyerere Uganda kwenda kichwa kichwa.
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
Wapumbavu alafu unatumia vyao,mpaka dawa ya ukimwi, internet,teknolojia zao.Haya wewe mwenye akili umeweza kipi zaidi ya uchawa kusifia samia
 
Unadhani Marekani alipeleka jeshi Afghanistan Ili asipate kitu. Mwenzako alikuwa anatafuta imperial influence mashariki ya kati.

Hapo somalia sio kwamba alishindwa. Lengo ilikuwa kustabilize nchi Ambayo Hadi Sasa wanauana kama kuku.

Hapo Nigeria kinachotafutwa ni mafuta na rasilimali za Nigeria. Tinubu ameshakubali jeshi la US wamsaidie kwasababu Marekani alitumika njia ya kusema magaidi yanapata support kutoka serikalini.


In a nutshell, wenzako wanapigana vita vya mikakati. Sio vile vita vya Nyerere Uganda kwenda kichwa kichwa.
Afghanistan ulifahamu kilichokuwa kinaendelea ,mbona mnashida nyie.

Ni kukumbushe wakati anasakwa Gaidi osoma na kundi lake lilipata ifadhi Afghanistan na USA liomba kumkamata ila Afghanistan ilikataa ndio wakavamiwa kwa nguvu
 
Wapumbavu alafu unatumia vyao,mpaka dawa ya ukimwi, internet,teknolojia zao.Haya wewe mwenye akili umeweza kipi zaidi ya uchawa kusifia samia
Logic yako imeparaganyika mkuu. Wewe ni mpumbavu ina maana huna faida hata kwa wazazi wako? Unaweza kuwa mpumbavu kwenye eneo moja na ukawa na faida kwenye eneo jingine. Na umeona wapi nikimsifia Samia?
 
Marekani kwa kushirikiana na Serikali ya Nigeria, imewashambulia magaidi huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Trump anadai anapambana na magaidi wanaowashambulia wakristo wa Nigeria. Serikali ya US imedai kuwa mashambulizi hayo ni endelevu iwapo magaidi hawataacha njia zao ovu.
Safi! Piga tumia hata sumu
 
Unadhani Marekani alipeleka jeshi Afghanistan Ili asipate kitu. Mwenzako alikuwa anatafuta imperial influence mashariki ya kati.
Afghanistan ulikuwa ni upumbavu! It was a terrible miscalculation. Too much money spent. Too much blood...na walipata nini? Waliondoka na kuacha kila kitu. Mataliban wako ngangari. Na uzalishaji wa ile malighafi ya heroin ndo unashamiri. Walipata imperial influence gani pale? Wakati mwingine ni vizuri kukiri tu kosa kuliko kutetea kila kitu.

Mafuta ya Nigeria? Labda. Mbona tu wasikomae na Maduro hapo karibu Venezuela ambayo ina deposit kubwa zaidi? Trump si ajabu anajaribu tu kuwafurahisha Evangelicals wake ambao ndiyo hasa uti wa mgongo wa MAGA movement kwa kudondosha mabomu ili kutetea Wakristo. Sometimes he behaves like a child!
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
Sawa gaidi
 
Afghanistan ulikuwa ni upumbavu! It was a terrible miscalculation. Too much money spent. Too much blood...na walipata nini? Waliondoka na kuacha kila kitu. Mataliban wako ngangari. Na uzalishaji wa ile malighafi ya heroin ndo unashamiri. Walipata imperial influence gani pale? Wakati mwingine ni vizuri kukiri tu kosa kuliko kutetea kila kitu.

Mafuta ya Nigeria? Labda. Mbona tu wasikomae na Maduro hapo karibu Venezuela ambayo ina deposit kubwa zaidi? Trump si ajabu anajaribu tu kuwafurahisha Evangelicals wake ambao ndiyo hasa uti wa mgongo wa MAGA movement kwa kudondosha mabomu ili kutetea Wakristo. Sometimes he behaves like a child!
Kiwanda cha Dangote kitafanya wanigeria milioni 230 wasihitaji tena dola kununua mafuta. Na Dangote mwenyewe atanunua mafuta ghafi toka serikalini kwa Naira. US hawezi vumilia mambo kama haya yahatarishe Petrodollar.
 
Wamarekani ni wapumbavu and they never learn.

Hakuna silaha inayoweza kumshinda mtu asiyeogopa kufa. Miaka 20+ Afghanistan wakidondosha mabomu lakini mwishowe waliishia kukimbia na kuacha kila kitu baada ya kuteketeza dola sijui trilioni ngapi na maelfu ya wanajeshi wao.

Kurusha mabomu na drones hakutasaidia cho chote. Kama wana ubavu wapeleke wanajeshi wao kama walivyofanya Mogadishu dhidi ya mwamba Mohammed Farrah Aidid. Sanasana wataishia tu kuua raia hasa wanawake na watoto🚮
Upumbavu wa USA ni upi hapo? Kupambana na wauaji!? Tumia akili angalau mara moja moja (kama unazo lakini)
Alafu kule Afghanistan ulitaka wakae milele? Wewe ni wakupuuzwa.
 
Afghanistan ulikuwa ni upumbavu! It was a terrible miscalculation. Too much money spent. Too much blood...na walipata nini? Waliondoka na kuacha kila kitu. Mataliban wako ngangari. Na uzalishaji wa ile malighafi ya heroin ndo unashamiri. Walipata imperial influence gani pale? Wakati mwingine ni vizuri kukiri tu kosa kuliko kutetea kila kitu.

Mafuta ya Nigeria? Labda. Mbona tu wasikomae na Maduro hapo karibu Venezuela ambayo ina deposit kubwa zaidi? Trump si ajabu anajaribu tu kuwafurahisha Evangelicals wake ambao ndiyo hasa uti wa mgongo wa MAGA movement kwa kudondosha mabomu ili kutetea Wakristo. Sometimes he behaves like a child!
Udini utakuua mpumbavu wewe
 
Upumbavu wa USA ni upi hapo? Kupambana na wauaji!? Tumia akili angalau mara moja moja (kama unazo lakini)
Alafu kule Afghanistan ulitaka wakae milele? Wewe ni wakupuuzwa.
Huwa nafurahi sana jitu likikurupuka tu kutoka huko lilikotoka bila kuelewa hoja ya msingi. Sasa ni nini kilichokupanikisha kwenye hoja yangu mpaka umekuja na matusi yasiyo na sababu. Sasa ukinipuuza wewe mi inaniathiri vipi?

Do you know the total cost of Afghanistan war? What did America gain from that war? Do you think just dropping bombs will damp Boko Haram's resolve?
 
Udini utakuua mpumbavu wewe
Mbali na kutukana huna uwezo wa kujadili cho chote. Hoja yangu hii hapa chini nimekuwekea tena. Kama unaweza kuchangia cho chote mbali na matusi basi unakaribishwa 😂😂😂

➡️➡️ Afghanistan ulikuwa ni upumbavu! It was a terrible miscalculation. Too much money spent. Too much blood...na walipata nini? Waliondoka na kuacha kila kitu. Mataliban wako ngangari. Na uzalishaji wa ile malighafi ya heroin ndo unashamiri. Walipata imperial influence gani pale? Wakati mwingine ni vizuri kukiri tu kosa kuliko kutetea kila kitu.

Mafuta ya Nigeria? Labda. Mbona tu wasikomae na Maduro hapo karibu Venezuela ambayo ina deposit kubwa zaidi? Trump si ajabu anajaribu tu kuwafurahisha Evangelicals wake ambao ndiyo hasa uti wa mgongo wa MAGA movement kwa kudondosha mabomu ili kutetea Wakristo. Sometimes he behaves like a child!
 
Maduro
Afghanistan ulikuwa ni upumbavu! It was a terrible miscalculation. Too much money spent. Too much blood...na walipata nini? Waliondoka na kuacha kila kitu. Mataliban wako ngangari. Na uzalishaji wa ile malighafi ya heroin ndo unashamiri. Walipata imperial influence gani pale? Wakati mwingine ni vizuri kukiri tu kosa kuliko kutetea kila kitu.

Mafuta ya Nigeria? Labda. Mbona tu wasikomae na Maduro hapo karibu Venezuela ambayo ina deposit kubwa zaidi? Trump si ajabu anajaribu tu kuwafurahisha Evangelicals wake ambao ndiyo hasa uti wa mgongo wa MAGA movement kwa kudondosha mabomu ili kutetea Wakristo. Sometimes he behaves like a child!
Maduro Hana lake nchi imeshazungukwa ile. Tunza hii comment. Mimi nimefika Latin America hakuna raia wasiompenda Maduro kama raia wa Venezuela. Acha kusoma story google. Usione Us Military unapata chance ya kuingia Venezuela udhani hakuna support.


Kuhusu Afghanistan, tembea walau kidogo uone Kwa macho yako. Afghanistan imeshakuwa ni failed state kitambo. Same to Iraq ni nchi ziko paralysed kikanda. Zina migogoro ya ndani.
 
Back
Top Bottom