Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,926
- 6,029
BREAKING: Milipuko imeripotiwa kote Iran — angalau miji 7
Tehran, Bandar Abbas, Tabriz, Parand, Qeshm, Nowshahr, Ardabil
Kaskazini, kusini, mashariki, magharibi. Yote ndani ya saa chache.
Israeli wala Marekani hawajatoa maoni.
Kuna machawa wengi wa magaidi wa Iran walikuwa wanasema Marekani haina ubavu kuishambulia Iran lakini sasa Mikojo Ina Wataka ovyo tu Adiosamigo kahtaan Mlaleo Ritz YAJAYO YANAFURAHISHA!!!!
Tehran, Bandar Abbas, Tabriz, Parand, Qeshm, Nowshahr, Ardabil
Kaskazini, kusini, mashariki, magharibi. Yote ndani ya saa chache.
Israeli wala Marekani hawajatoa maoni.
Kuna machawa wengi wa magaidi wa Iran walikuwa wanasema Marekani haina ubavu kuishambulia Iran lakini sasa Mikojo Ina Wataka ovyo tu Adiosamigo kahtaan Mlaleo Ritz YAJAYO YANAFURAHISHA!!!!