nyembela
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 412
- 523
Jamani siwaliisha Hawa au waliobaki hatuna uwezo wakuwatambua ? Isijekuwa tunachafuana kipindi chauchaguzi hichi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na siasa za East Africa. Gazeti hili huwa lina mtindo wa kushangilia kila ikisikika kuna tatizo TZ. Waliwahi kumchora Kikwete akiwa na warembo, jambo ambalo ni la mtaani, wakati huo sijawahi kuona wakimchora Uhuru na ulevi wake. Ni tabia ya baadhi ya wakenya kuona kama anyting anti-TZ kwao ni comfort.Drug lords on global spies radar set up East Africa's hub in Dar, US agency says
View attachment 1380210
======
Inaonekana kuna kundi la watu wanaooperate biashara hii tena "with full Impunity" ndani ya Dar es Salaam.
Wale tuliokuwa tunadhani biashara hii haina chake kwa awamu ya tano, tufikirie tena !!!
Uko right! Kuna watu wana shida zao za maisha kwa uzembe wao lakini yeyote anayezoza nchi hii kwao inawapa nafuu. Wasichojua ni kuzoza kwa wakenya kila wakiona TZ inafanikiwa. Sasa hivi wako kwenye matata makubwa ya kisiasa lakini bado kuna mijitu hapa TZ inasema bora wakenya.Post za kijinga kuwa na likes nyingi ni ishara kuwa kuna "nyumbu" wengi kwenye mitandao ambao hupata "pleasure" kwa content yoyote negative kwa taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunashabikia bure wamarekani. wanatafuta kingine, wanaandika kingine. Kwani US inaifahamu Manzese na buguruni vizuri kuliko mimi ninayeishi kwamtogole? Ni ujinga tu!Sirro atakwambia hatujashindwa kuwakamata
Huenda Marekani akawa sawa kuwa "unga" unapita, japo takwimu ni kiasi gani kwa sasa ukilinganisha na huko nyuma, sidhani kama kuna utafiti mbadala ulio huru unaweza kuthibitisha hayo, mbali ya Wizara ya mambo ya nje ya Marekani.Drug lords on global spies radar set up East Africa's hub in Dar, US agency says
View attachment 1380210
======
Inaonekana kuna kundi la watu wanaooperate biashara hii tena "with full Impunity" ndani ya Dar es Salaam.
Wale tuliokuwa tunadhani biashara hii haina chake kwa awamu ya tano, tufikirie tena !!!
Ila hapa wanaongelea 'trans-shipment.'Drug lords on global spies radar set up East Africa's hub in Dar, US agency says
View attachment 1380210
======
Inaonekana kuna kundi la watu wanaooperate biashara hii tena "with full Impunity" ndani ya Dar es Salaam.
Wale tuliokuwa tunadhani biashara hii haina chake kwa awamu ya tano, tufikirie tena !!!
Mimi naishi Dar , hao Drug lords mbona hawaonekani?? Sihitaji marekani waniambie kuhusiana na hali ya mahali ninapoishi.
US nao tusiwaone kama ndo thought makers pekee duniani. Taarifa yoyote wanayoitoa kwenye media huwa ni ya kutafutia sifa tu. Taarifa serious zinapelekwa kwa watendaji wa serikali husika. Kwa kutaka sifa waonekane juu kuliko wengine wanatangaza kama walivyojidai kutoa terror warning kwa wa-TZ badala ya kuvieleza vyombo tunavyovitambua sisi.Dude sio lazima uamini wanachosema. wenzetu wana run joint opps na pia wana world wide intelligence.. hiv vitu wanakutana navyo ndio maana wanatoa warning..
Unaweza ukawa huko kwako na ukapigwa tukio na hujui. Lakin jiran akajua. So si kila kitu unachukulia simple
Sent using Jamii Forums mobile app
Point.Hiyo habari inatengenezwa tu kutuchafua
Wauza unga wote wapo ndani,wengine wamekimbilia kuishi bondeni
Kama kuna biashara ngumu kuifanya kwa sasa hapa Tz ni unga,hao wamarekani wanatuchokonoa tu,wanatamani waseme Makonda anauza unga