Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,997
Huwa nashangaa watu wanavyoichukulia poa Marekani. Hawa jamaa kama ni pesa wanayo tuache utani.
Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa Marekani.
Hawa Marekani pesa zote wanazitoa wapi? Yaani GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya India.
Swali Marekani pesa zote anazitoa wapi
Yaani uchukue uchumi wa Brazil+Canada+India+ufaransa+Uingereza+German bado hawafikii uchumi wa Marekani.
Hawa Marekani pesa zote wanazitoa wapi? Yaani GDP ya California ni kubwa kuliko GDP ya India.
Swali Marekani pesa zote anazitoa wapi
Iraq
Libya 
