Marekani na Drone Mpya

Marekani na Drone Mpya

Tunakoelekea sasa siyo US Government imetoa kifaa kipya Drone homa ya Jiji Russia na China vichwa vinauma. Siajabu akaitumia kumpiga mirani.

Bofya hapa ujionee
Naomba utafute hii kifaa "Akhotnik",afu tusaidiane kupeana elimu.
 
Ndo maana nawaambia waendelee tu kudanganywa na propaganda za magharibi muiran sio mwepesi ka wanavyoaminishwa
Vita ya mwaka 1980 Iraq chini ya Sadam Hussen ilipewa na Marekani silaha za kemikali, ndege za kisasa pamoja na intelligence information zote lakini walishindwa kumuangusha Muirani.

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
Vita ya mwaka 1980 Iraq chini ya Sadam Hussen ilipewa na Marekani silaha za kemikali, ndege za kisasa pamoja na intelligence information zote lakini walishindwa kumuangusha Muirani.
Muajemi ni shida aisee
 
Drones watazitumia labda kwa waasi masikini na ambao hawana Silaha

Nina uhakika Drone inashushwa na Manpads tu tusiende mbali wala!
 
Tunakoelekea sasa siyo US Government imetoa kifaa kipya Drone homa ya Jiji Russia na China vichwa vinauma. Siajabu akaitumia kumpiga mirani.

Bofya hapa ujionee
Sasa ona dunia iliko halafu linganisha na huyu jamaa anaesema kupaumbele cha mwenyekiti wa serikali ya mtaa ni kuwa mwana ccm.
Screenshot_20190619-194815.jpeg
 
Back
Top Bottom