Marekani na Drone Mpya

Marekani na Drone Mpya

Muda si mrefu utasikia waziri wa mambo ya nje wa US yupo ufaransa na kuomba kolabo kwenda kijeshi kule Iran na wairan nao kama kawa Urusi mtetezi na mwokozi wa wanyonge na hapo WWIII inavutiwa kasi
 
ili kitu kisafiri hewani lazima kiwe na speed flani....drone kama hiyo ni ndogo..inahitaji speed kuwa hewani...kitu kinapopita hewani kwa speed kinatoa joto pia umeme kwa sababu ya msuguano wa hewa na kitu husika..umeme na joto zipo expoesed na heat seeking missiles(infrared homing) ndo maana nchi kama Russia hawana haraka kutengeneza Su 57 ..ila wanatumia zaidi Su 34/35 ..4+++ generation..kwa sababu tu ya kuwa na rada(PESA) za kuona mbali na kubeba missle(RS) za namna hii za kupigia umbali mrefu(F 35 in stealth mode are blind na zina short range missle)..ili ziwe active lazima ziwe karibu na adui ...naam kuna S 400..
Drone zinaendeshwa na radio electronics wave kama remote controlled flani hivi.. ..mashine kama krasukha~4 ndo mwake hapo.
Elimu nzuri ila sehemu ya ku apply ndo shida.shukran
 
Hana silaha yoyote wala uwezo huyo
Wanamtekenya makusudi ili apaze sauti ainekane tishi wapate sababu ya kumng'okola ng'oko
Angeshinda ile battle ya 1980.
Imperialists hawamwezi muhajemi ukatae ukubali.
 
Sisi tunatafuta "Ushindi wa Kishindo" kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa kwani ndipo akili yetu ilipofikia. We shall forever die with a slave mentality. Very saddening indeed.

Na wengine sisi tunashinda mitandaoni kubeza kila kitu cha serikali yetu....
 
Na wengine sisi tunashinda mitandaoni kubeza kila kitu cha serikali yetu....
Watu wanakwazika sana ndio maana yake ila wengine "Beneficiaries" hawawezi kuona.
 
Back
Top Bottom