GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,909
- 10,562
Wajuzi wa kukariri tu hao! Air viscosity!!! (huku amebana pua na lafudhi yake ya kisukuma) .Air Viscosity na Waves!
Wajuzi wa kukariri tu hao! Air viscosity!!! (huku amebana pua na lafudhi yake ya kisukuma) .Air Viscosity na Waves!
Hana silaha yoyote wala uwezo huyoThe worst thing is
Dunia haijui huyu muiran ana silaha za aina gani so endeleni kumchukulia poa atawashangaza
Hana silaha yoyote wala uwezo huyo
Wanamtekenya makusudi ili apaze sauti ainekane tishi wapate sababu ya kumng'okola ng'oko
Iran mtoto tu naheshimu mapanki basi ila hawa suruali fupi hakuna kitu hapo atapigwa tu maana yeye ni kujidefence
Tunakoelekea sasa siyo US Government imetoa kifaa kipya Drone homa ya Jiji Russia na China vichwa vinauma. Siajabu akaitumia kumpiga mirani.
Bofya hapa ujionee
unadhani nimekurupuka?ni kwamba tu tumetofautiana uelewa.Kwenye kukariri misamiati hamjambo!
naamAir Viscosity na Waves!
Hebu tengeneza ndege tuone hizo viscosity zako!unadhani nimekurupuka?ni kwamba tu tumetofautiana uelewa.
Acha ubishi kaka uliza ueleweshweHebu tengeneza ndege tuone hizo viscosity zako!
Sawa. Nieleweshe.Acha ubishi kaka uliza ueleweshwe
Ukijua air viscocity unatengeneza ndege😹😹😹😝😝😝Hebu tengeneza ndege tuone hizo viscosity zako!
ili kitu kisafiri hewani lazima kiwe na speed flani....drone kama hiyo ni ndogo..inahitaji speed kuwa hewani...kitu kinapopita hewani kwa speed kinatoa joto pia umeme kwa sababu ya msuguano wa hewa na kitu husika..umeme na joto zipo expoesed na heat seeking missiles(infrared homing) ndo maana nchi kama Russia hawana haraka kutengeneza Su 57 ..ila wanatumia zaidi Su 34/35 ..4+++ generation..kwa sababu tu ya kuwa na rada(PESA) za kuona mbali na kubeba missle(RS) za namna hii za kupigia umbali mrefu(F 35 in stealth mode are blind na zina short range missle)..ili ziwe active lazima ziwe karibu na adui ...naam kuna S 400..Sawa. Nieleweshe.
Nashukuru.ili kitu kisafiri hewani lazima kiwe na speed flani....drone kama hiyo ni ndogo..inahitaji speed kuwa hewani...kitu kinapopita hewani kwa speed kinatoa joto pia umeme kwa sababu ya msuguano wa hewa na kitu husika..umeme na joto zipo expoesed na heat seeking missiles(infrared homing) ndo maana nchi kama Russia hawana haraka kutengeneza Su 57 ..ila wanatumia zaidi Su 34/35 ..4+++ generation..kwa sababu tu ya kuwa na rada(PESA) za kuona mbali na kubeba missle(RS) za namna hii za kupigia umbali mrefu(F 35 in stealth mode are blind na zina short range missle)..ili ziwe active lazima ziwe karibu na adui ...naam kuna S 400..
Drone zinaendeshwa na radio electronics wave kama remote controlled flani hivi.. ..mashine kama krasukha~4 ndo mwake hapo.
Wairani wameliporomosha chini mkuu, so lolote so chochote kwa MuajemiTunakoelekea sasa siyo US Government imetoa kifaa kipya Drone homa ya Jiji Russia na China vichwa vinauma. Siajabu akaitumia kumpiga mirani.
Bofya hapa ujionee







heat seeking missiles(infrared homing)hazinaga utani na vitu kama hivyo