Marekani kupitia NATO anaweza kumshinda Vladimir Putin rais wa Urusi, lakini atakuwa hoi sana

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,869
Mshirika wa kukodi wa Putin kwenye vita yake na Ukraine anaelekea kumgeuka boss wake na hili likifanikiwa ni kwamba vita itakoma na ndio mwisho wa Putin!
Kuna kila dalili za hili kutokea haraka na muda pekee ndio utamuokoa putin kama akicheza karata zake vizuri dakika hizi za lala salama, Maana hapa si suala la cash tena bali ni timing tuu.. Mmarekani amesubiri Putin aanze kuishiwa ndio amlaghai Wagner group mshirika wa kukodi wa Putin
Putin ana wakati mgumu zaidi kwakuwa kwa purukushani za vita alijisahau na kumruhusu Wagner group afahamu mpaka asiyopaswa kufahamu.. Kinga za putin udhaifu na uimara wake vyote vimejulikana kwa Wagner group

Wagner group ushirika wake uko kwenye cash, pesa yako ndio itakufanya awe mshirika ama adui yako..! Pamoja na kwamba ataheshimu mikataba lakini mikataba huwa na kikomo! Na ukija mkataba mpya utakuja na masharti mapya! Hapa ndio Putin alipochemsha pengine
Kama Wagner group amekubali kuwa mshirika wa Marekani/NATO tuhesabu mwisho mbaya wa Putin pengine hata ule wa Saddam wa Iraq

Hii ni mbinu mbadala ya Mmarekani baada ya kupelekeshwa vilivyo na Putin.. Ni mziki kwenye medani za vita ambao Marekani hatakaa asahau! Na akimaliza hii vita kwa style hii atapumzika kidogo maana alichomfanya putin kimemdhoofisha na kumchosha mno..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshirika wa kukodi wa Putin kwenye vita yake na Ukraine anaelekea kumgeuka boss wake na hili likifanikiwa ni kwamba vita itakoma na ndio mwisho wa Putin!
Kuna kila dalili za hili kutokea haraka na muda pekee ndio utamuokoa putin kama akicheza karata zake vizuri dakika hizi za lala salama, Maana hapa si suala la cash tena bali ni timing tuu.. Mmarekani amesubiri Putin aanze kuishiwa ndio amlaghai Wagner group mshirika wa kukodi wa Putin
Putin ana wakati mgumu zaidi kwakuwa kwa purukushani za vita alijisahau na kumruhusu Wagner group afahamu mpaka asiyopaswa kufahamu.. Kinga za putin udhaifu na uimara wake vyote vimejulikana kwa Wagner group

Wagner group ushirika wake uko kwenye cash, pesa yako ndio itakufanya awe mshirika ama adui yako..! Pamoja na kwamba ataheshimu mikataba lakini mikataba huwa na kikomo! Na ukija mkataba mpya utakuja na masharti mapya! Hapa ndio Putin alipochemsha pengine
Kama Wagner group amekubali kuwa mshirika wa Marekani/NATO tuhesabu mwisho mbaya wa Putin pengine hata ule wa Saddam wa Iraq

Hii ni mbinu mbadala ya Mmarekani baada ya kupelekeshwa vilivyo na Putin.. Ni mziki kwenye medani za vita ambao Marekani hatakaa asahau! Na akimaliza hii vita kwa style hii atapumzika kidogo maana alichomfanya putin kimemdhoofisha na kumchosha mno..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wagner hawataweza chochote kwa urusi ilivyo jeshi la urusi bado tiifu kwa Putin hata wananchi bado wanamtii Putin Na tutawakabidhi wake
 
.
20230411_234817.jpg
 
Evgeny Prigozhin, mkuu wa ukandarasi wa kijeshi wa Urusi Wagner Group, amekanusha shutuma za "uhaini" za Rais Vladimir Putin baada ya wanajeshi wake kuvuka kutoka Ukraine hadi mji wa mpaka wa Urusi wa Rostov-on-Don, akiapa kupambana na yeyote atakayejaribu wazuie.

Siku ya Jumamosi, Prigozhin alituma ujumbe wa sauti kwenye programu ya mtandao wa kijamii ya Telegram, akidai kuwa vikosi vyake vimechukua udhibiti wa vituo vya kijeshi katika jiji hilo, pamoja na uwanja wa ndege.

Video na picha zilizochapishwa mtandaoni, zikiwemo na shirika la habari la TASS la Urusi, zilionyesha watu wenye silaha wakizunguka majengo ya utawala huko Rostov na vifaru vilivyowekwa katikati mwa jiji.
2023-05-25T163830Z_313882360_RC2J51AAN3SD_RTRMADP_3_UKRAINE-CRISIS-BAKHMUT-WAGNER-1687593292.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Evgeny Prigozhin, mkuu wa ukandarasi wa kijeshi wa Urusi Wagner Group, amekanusha shutuma za "uhaini" za Rais Vladimir Putin baada ya wanajeshi wake kuvuka kutoka Ukraine hadi mji wa mpaka wa Urusi wa Rostov-on-Don, akiapa kupambana na yeyote atakayejaribu wazuie.

Siku ya Jumamosi, Prigozhin alituma ujumbe wa sauti kwenye programu ya mtandao wa kijamii ya Telegram, akidai kuwa vikosi vyake vimechukua udhibiti wa vituo vya kijeshi katika jiji hilo, pamoja na uwanja wa ndege.

Video na picha zilizochapishwa mtandaoni, zikiwemo na shirika la habari la TASS la Urusi, zilionyesha watu wenye silaha wakizunguka majengo ya utawala huko Rostov na vifaru vilivyowekwa katikati mwa jiji.View attachment 2667409

Sent using Jamii Forums mobile app
Putin na Prigozhin ni wachekeshaji.Aina Yao ya vita imekaa kimzaha mzaha ila jichanganye.

Utakumbuka mwanzoni mwa hii SMO,wanavamia mji Kisha wanatelekeza vifaru na siraha,Kisha wanapora baiskeli na pkpk wanakimbia.

Wiki mbili kabla ya kuiteka Bakhmut, Prigozhin alilalama wameishiwa siraha,he,,,baada ya muda mfupi wakaiteka Bakhmut.

Palikuwa na shambulio la drone pale Kremlin,,wachambuzi wakaingalia Ile drone na uwezo wake wa kusafiri Toka Uikrane mpaka Moscow kwamba haiwezekani.

Baada ya hili tukio fuatilia,utacheka.

Ushajiuliza Kwa Nini NATO hawaingii kijeshi?
Screenshot_20230314-125829_100821.jpg
 
KINACHOMUUMA ZAIDI PUTIN ANAPIGANA VITA NA UKRAINE ILA ANAWAZA NI NAMNA GANI VITA HAIISHI, VITA IKO PUANI KWAKE, AFU HAO ANAOWAITA MAADUI ZAKE WANAKUNYWA KAHAWA KWA AMANI KABISA HUKU WAKITAZAMANA MPAMBANO.

AFU KAMA ANAPIGANA NA UKRAINE KWA SABABU ANATAKA KUJIUNGA NATO, MBONA FINLAND KAJIUNGA NA NI JIRANI YAKE ILA HAJAJARIBU HATA KUGUSIA KUMSHAMBULIA? 😂😂😂

MTU MZIMA HUWEZI RUKA TIKTAKA UMEVAA MSULI PEKEE, UTAUMBUKA. SIO AIBU KUTOA MAJESHI PUTIN, USHASHINDWA.
 
Vita ni plan ya kijanja yaani group ya Wagner iteke HQ bila ya mapigano😂

Naona hapo kuna mchezo wa Wagner wameachiwa wapush ile button ya red na kuanza vita vya nuclear kama alivyosema Putin mwanzoni.

Hivi ingekuwa kweli hao Wagner wamewageuka Russia hivi sasa si Ukraine ingekuwa inasherehekea kurudisha Bakhmut.
 
hivi wewe mshana huwa unafuatilia mgogoro huu au ndo umeuibukia leo? Sijawahi kukuona ukitoa maoni kuuhusu. Nadhani bado una mengi ya kufuatilia kama unataka kutoa maoni sahihi zaidi yasiyo na ushabiki. Ila kama unatoa maoni kwa sababu upo "side" fulani basi upo sawa.
Nilikuwa nafuatilia kimya kimya ila sina upande kwenye hii vita japo kama ungeniuliza maslahi yangu ningependa kwa dhati ya moyo NATO ashindwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshirika wa kukodi wa Putin kwenye vita yake na Ukraine anaelekea kumgeuka boss wake na hili likifanikiwa ni kwamba vita itakoma na ndio mwisho wa Putin!
Kuna kila dalili za hili kutokea haraka na muda pekee ndio utamuokoa putin kama akicheza karata zake vizuri dakika hizi za lala salama, Maana hapa si suala la cash tena bali ni timing tuu.. Mmarekani amesubiri Putin aanze kuishiwa ndio amlaghai Wagner group mshirika wa kukodi wa Putin
Putin ana wakati mgumu zaidi kwakuwa kwa purukushani za vita alijisahau na kumruhusu Wagner group afahamu mpaka asiyopaswa kufahamu.. Kinga za putin udhaifu na uimara wake vyote vimejulikana kwa Wagner group

Wagner group ushirika wake uko kwenye cash, pesa yako ndio itakufanya awe mshirika ama adui yako..! Pamoja na kwamba ataheshimu mikataba lakini mikataba huwa na kikomo! Na ukija mkataba mpya utakuja na masharti mapya! Hapa ndio Putin alipochemsha pengine
Kama Wagner group amekubali kuwa mshirika wa Marekani/NATO tuhesabu mwisho mbaya wa Putin pengine hata ule wa Saddam wa Iraq

Hii ni mbinu mbadala ya Mmarekani baada ya kupelekeshwa vilivyo na Putin.. Ni mziki kwenye medani za vita ambao Marekani hatakaa asahau! Na akimaliza hii vita kwa style hii atapumzika kidogo maana alichomfanya putin kimemdhoofisha na kumchosha mno..

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unaendelea kutabiri mkuu😀? Zama kutabili hili swala zilishapita kitambo sana, sasa hivi tunashuhudia matokeo tu.

Au unaliongelea kwa macho ya rohoni?😅
 
Mshirika wa kukodi wa Putin kwenye vita yake na Ukraine anaelekea kumgeuka boss wake na hili likifanikiwa ni kwamba vita itakoma na ndio mwisho wa Putin!
Kuna kila dalili za hili kutokea haraka na muda pekee ndio utamuokoa putin kama akicheza karata zake vizuri dakika hizi za lala salama, Maana hapa si suala la cash tena bali ni timing tuu.. Mmarekani amesubiri Putin aanze kuishiwa ndio amlaghai Wagner group mshirika wa kukodi wa Putin
Putin ana wakati mgumu zaidi kwakuwa kwa purukushani za vita alijisahau na kumruhusu Wagner group afahamu mpaka asiyopaswa kufahamu.. Kinga za putin udhaifu na uimara wake vyote vimejulikana kwa Wagner group

Wagner group ushirika wake uko kwenye cash, pesa yako ndio itakufanya awe mshirika ama adui yako..! Pamoja na kwamba ataheshimu mikataba lakini mikataba huwa na kikomo! Na ukija mkataba mpya utakuja na masharti mapya! Hapa ndio Putin alipochemsha pengine
Kama Wagner group amekubali kuwa mshirika wa Marekani/NATO tuhesabu mwisho mbaya wa Putin pengine hata ule wa Saddam wa Iraq

Hii ni mbinu mbadala ya Mmarekani baada ya kupelekeshwa vilivyo na Putin.. Ni mziki kwenye medani za vita ambao Marekani hatakaa asahau! Na akimaliza hii vita kwa style hii atapumzika kidogo maana alichomfanya putin kimemdhoofisha na kumchosha mno..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nnosense. Inaelekea hata hujui kitu abt how America plays this. How atakuwa hoi? Wakati he doesnt get involved directly? We ungeendelea tu kuwa unawashauri watu about ushirikina. Huko sisi wengine siyo wataalamu. Haya mambo ya kimataifa tu achie wenye uelewa nayo.
 
hivi wewe mshana huwa unafuatilia mgogoro huu au ndo umeuibukia leo? Sijawahi kukuona ukitoa maoni kuuhusu. Nadhani bado una mengi ya kufuatilia kama unataka kutoa maoni sahihi zaidi yasiyo na ushabiki. Ila kama unatoa maoni kwa sababu upo "side" fulani basi upo sawa.
Umempa ushauri mzuri. Nadhani ameona upepo upo huku naye kaona leo atoke nao. Anazungumzia mambo ambayo hayafaham kabisa. Angejikita tu kwenye uchawi na ushirikina.
 
Nilikuwa nafuatilia kimya kimya ila sina upande kwenye hii vita japo kama ungeniuliza maslahi yangu ningependa kwa dhati ya moyo NATO ashindwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama mtu yoyote ambae ameifatilia hii vita anaweza kusema mmarekani amechoshwa au kudhoofishwa na putin. Hii vita ambayo wakati inaanza putin alisema itaisha ndani ya siku tatu sasa imepita zaidi ya mwaka na hakuna dalili za russia kushinda ndo kwanza washirika wake wanamgeuka. Wewe unafkiri huko marekani viongozi wao wamechoshwa ? Yaani wewe umewahi kuona mtu anachoka kuona adui yake akipigwa?
 
Sidhani kama mtu yoyote ambae ameifatilia hii vita anaweza kusema mmarekani amechoshwa au kudhoofishwa na putin. Hii vita ambayo wakati inaanza putin alisema itaisha ndani ya siku tatu sasa imepita zaidi ya mwaka na hakuna dalili za russia kushinda ndo kwanza washirika wake wanamgeuka. Wewe unafkiri huko marekani viongozi wao wamechoshwa ? Yaani wewe umewahi kuona mtu anachoka kuona adui yake akipigwa?
Labda tuupe muda wakati utasema.. Wengi hatujui ya kwamba vita ni pesa kwa kila hatua kuanzia ujasusi, mipango, propaganda, vifaa, silaha, matibabu, fidia nknk
Kama huna pesa ni ngumu kuendesha vita na pande zinazopigana huhakikisha inaleta hasara kubwa iwezekanavyo kwa adui na kwa muda mfupi
Vita inachosha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna nabii alitabiri mazito kuhusu Putin yatatokea July moja nafikiri inaweza kuwa sasa.

Mshirika wa kukodi wa Putin kwenye vita yake na Ukraine anaelekea kumgeuka boss wake na hili likifanikiwa ni kwamba vita itakoma na ndio mwisho wa Putin!
Kuna kila dalili za hili kutokea haraka na muda pekee ndio utamuokoa putin kama akicheza karata zake vizuri dakika hizi za lala salama, Maana hapa si suala la cash tena bali ni timing tuu.. Mmarekani amesubiri Putin aanze kuishiwa ndio amlaghai Wagner group mshirika wa kukodi wa Putin
Putin ana wakati mgumu zaidi kwakuwa kwa purukushani za vita alijisahau na kumruhusu Wagner group afahamu mpaka asiyopaswa kufahamu.. Kinga za putin udhaifu na uimara wake vyote vimejulikana kwa Wagner group

Wagner group ushirika wake uko kwenye cash, pesa yako ndio itakufanya awe mshirika ama adui yako..! Pamoja na kwamba ataheshimu mikataba lakini mikataba huwa na kikomo! Na ukija mkataba mpya utakuja na masharti mapya! Hapa ndio Putin alipochemsha pengine
Kama Wagner group amekubali kuwa mshirika wa Marekani/NATO tuhesabu mwisho mbaya wa Putin pengine hata ule wa Saddam wa Iraq

Hii ni mbinu mbadala ya Mmarekani baada ya kupelekeshwa vilivyo na Putin.. Ni mziki kwenye medani za vita ambao Marekani hatakaa asahau! Na akimaliza hii vita kwa style hii atapumzika kidogo maana alichomfanya putin kimemdhoofisha na kumchosha mno..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshirika wa kukodi wa Putin kwenye vita yake na Ukraine anaelekea kumgeuka boss wake na hili likifanikiwa ni kwamba vita itakoma na ndio mwisho wa Putin!
Kuna kila dalili za hili kutokea haraka na muda pekee ndio utamuokoa putin kama akicheza karata zake vizuri dakika hizi za lala salama, Maana hapa si suala la cash tena bali ni timing tuu.. Mmarekani amesubiri Putin aanze kuishiwa ndio amlaghai Wagner group mshirika wa kukodi wa Putin
Putin ana wakati mgumu zaidi kwakuwa kwa purukushani za vita alijisahau na kumruhusu Wagner group afahamu mpaka asiyopaswa kufahamu.. Kinga za putin udhaifu na uimara wake vyote vimejulikana kwa Wagner group

Wagner group ushirika wake uko kwenye cash, pesa yako ndio itakufanya awe mshirika ama adui yako..! Pamoja na kwamba ataheshimu mikataba lakini mikataba huwa na kikomo! Na ukija mkataba mpya utakuja na masharti mapya! Hapa ndio Putin alipochemsha pengine
Kama Wagner group amekubali kuwa mshirika wa Marekani/NATO tuhesabu mwisho mbaya wa Putin pengine hata ule wa Saddam wa Iraq

Hii ni mbinu mbadala ya Mmarekani baada ya kupelekeshwa vilivyo na Putin.. Ni mziki kwenye medani za vita ambao Marekani hatakaa asahau! Na akimaliza hii vita kwa style hii atapumzika kidogo maana alichomfanya putin kimemdhoofisha na kumchosha mno..

Sent using Jamii Forums mobile app
My over view To this

Kama kweli Wegner amesalit Mazima ndani ya muda mfupi watazibitiwa (Kumbuka lile kundi ambalo lilijitokeza ndan ya URUSI kimyaah hamn kilichosikika tena

Msimamo wa kundi la chenicheni upoje !

KUShindw kwa urusi kuna weza kuw kwa namna mbili
Kutoendeleza vta ukrain
Vita ya Dunia


NB:- washirika wa mrusi kama mchina kama hatotoa sapot hayo juu yanawez tokeza ILA akitoa sapoti basi Wegner na NaTo kwishaaaaa


Russia
 
Kuna nabii alitabiri mazito kuhusu Putin yatatokea July moja nafikiri inaweza kuwa sasa.

Mshirika wa kukodi wa Putin kwenye vita yake na Ukraine anaelekea kumgeuka boss wake na hili likifanikiwa ni kwamba vita itakoma na ndio mwisho wa Putin!
IMG-20230625-WA0001.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom