Marekani ina kibarua kigumu Syria

Marekani ina kibarua kigumu Syria

Status
Not open for further replies.
Kwamaana hiyo kumbe hata gaza huijui,wakimbilie maeneo salama yapi?
in case kama hujui gaza ina ukubwa kama eneo la mnazi mmoja,na mashambulizi yalikua yanatokea kila upande,na incase kama hujui gaza imefungwa,

Dont copy to HAMAS kulikuwa na safe heaven ambazo walipewa maelekezo HAMAS wakawazuia ili wapate sifa ni kweli waliwafanya Human shield.
 
Kusema ukweli kwa dunia yetu ya leo misimamo mikali ya kidini haiwezi kuendana wala kukubalika kwenye dunia ya kistaarabu ya leo

Mgogoro huu unajengwa sana ionekane ni isis vs us lakini si sahihi sana
Wamechinjwa wamarekani wawili tu hadi hivi sasa na kuwa gumzo lakini tunasahahu maelfu kwa maelfu wanaochinjwa kama kuku na isis

Bila kujali isis ilianzaje lakini hakuna namna dunia inaweza kukaa kimya kwa unyama unaofanya na isis dhidi ya wakurd, wakristo na dini zingine baada ya kutamgwaza dola la kiislam

Nawapenda waislam lakini siipendi vitabu vyao sababu nje ya muislam vitabu vyao havitambui dini zingine kama wanahaki na kuwaona takataka

Ukiona jinsi isis wanavyohukumu na adhabu wanazotoa huwezi kuamini kama hii ni dini ama nini
Kuchinja watu hadharani na kuninginiza vichwa vyao mjini, kuuwa watu hovyo hovyo......no way bana haikubaliki kabisa
Na kumbuka hapo wanauwana wao kwa wao. Kufundisha chuki watoto dhidi ya dini zingine nk
Hawa jamaa kusema ukweli walitakiwa wakakae kwenye sayari yao peke yao labda wangeelewana
 
Dont copy to HAMAS kulikuwa na safe heaven ambazo walipewa maelekezo HAMAS wakawazuia ili wapate sifa ni kweli waliwafanya Human shield.
Ukweli ni kuwa hapakuwa na sehemu salama,israel walikua wanasema ondokeni huku hamieni huku kisha wanakoambiwa kuhamiwa ndo panashambuliwa.
mashirika ya umoja wa mataifa yaliyoko gaza yalikua yakitoa hadi GPS coordinate kwa israel ili wasishambulie eneo fulani kuna watoto lakini israel walipiga hapohapo na kuua watoto.
UNSchool1.jpg
.
 
No Safe Place": After Deadly Attack on Gaza School, U.N. Warns 150,000 Seeking Shelter are at Risk
Watch
Listen
14m 10s
At least 16 people were killed and more than 200 injured Thursday when a school used as a United Nations shelter came under fire in Gaza. Palestinian families displaced by the assault had reportedly gathered to move to a safer area when the school was hit. Palestinian officials have blamed Israeli tank shelling, while Israel has suggested militant rockets were at fault. The United Nations Relief and Works Agency for Palestine Refugees (UNRWA) has declined to directly accuse Israel, but says it gave the school’s coordinates to the Israeli army numerous times. "Within Gaza, there is no safe place," says Christopher Gunness,UNRWAspokesperson. "If the parties to this conflict have shown themselves callous enough to be able to hit a clearly designated, clearly marked U.N. compound where hundreds of people have come to take sanctuary, we cannot guarantee anymore the safety of our installations." Gunness says the number of people now seeking shelter amidst the violence has swelled to 150,000.
AMYGOODMAN:On Thursday, at least 16 people were killed, more than 200 injured, when a U.N.-run school used as a shelter came under fire in Gaza. Palestinian families were in the school in Beit Hanoun fleeing Israel’s offensive against Hamas militants. The director ofUNRWAoperations in Gaza, Robert Turner, said the coordinates of the school had been given to the Israeli army numerous times.
ROBERTTURNER:This school was a designated emergency shelter, which meant that we had given the Israeli authorities, theIDF, the coordinates of this school on 12 separate occasions, most recently 10:56 this morning. They were fully aware that this was a shelter. We knew that the situation in Beit Hanoun was deteriorating from a security standpoint. So over the course of the day, we had been trying to coordinate a window, a period during which we could withdraw our staff, and any displaced people who choose to go to a safer location would be able to leave. We were never conferred that window, that time period.
AMYGOODMAN:That was the director ofUNRWAoperations in Gaza, Robert Turner. U.N. Secretary-General Ban Ki-moon strongly condemned the shelling of the school in Gaza Thursday.
SECRETARY-GENERALBANKI-MOON:I was shocked and appalled by what has happened in the Beit HanounUNRWAschool. It’s totally unacceptable. I have condemned it strongly. We are now at the 16th day, and tomorrow will be 17th day. During those days, Secretary Kerry and I and many world leaders have been working tirelessly to bring this unacceptable, intolerable situation to an end as soon as possible. We have not yet reached there.
AMYGOODMAN:That was U.N. Secretary-General Ban Ki-moon. To talk more about this attack, we’re joined by Christopher Gunness, the spokesperson for the United Nations Relief and Works Agency,UNRWA, for Palestine Refugees.
Welcome back toDemocracy Now!
CHRISTOPHERGUNNESS:Thank you very much.
AMYGOODMAN😀escribe what you understand happened.
CHRISTOPHERGUNNESS:Well, we made the—we gave theGPScoordinates, the preciseGPScoordinates of a U.N.-designated school—it had a blue U.N. flag on the top of it—to the Israeli army over a period of hours. We appealed to them, we begged them, we pleaded with them to allow a humanitarian pause, a window of opportunity, so that women, children, men, civilians, the sick, the elderly, babies, the dying could be let out of the conflict zone. We appealed desperately. We explained the situation at the school. But no answer came back that was positive. In the end, we could not do that civilian evacuation, and the consequences of that were absolutely tragic. The carnage, the pitiless carnage that you saw on your screens yesterday, was the result.
AMYGOODMAN:Explain what it is—who was in there? How many refugees had taken shelter in this school?
CHRISTOPHERGUNNESS:Well, let me break some news here. The number of people sheltering with the United Nations Relief and Works Agency in Gaza has now gone over 150,000. That’s fast approaching 10 percent of the population in Gaza. These are desperate, traumatized people who had fled from their homes in response to the dramatically escalating Israeli ground offensive. They are in areas in schools where buildings were meant to accommodate a thousand students or so a day coming in in the morning, leaving in the afternoon. They’re now overrun with people who are staying there 24/7, some for the 17th day
 
Na nyie askari wa Allah kwanini msiwaze mbali? Inaonekana wafuasi wa Mtume Paulo wamewazidi akili. Huu ni msiba. Hivi nyie, mtaendeshwa na kutawalia na wafuasi wa Mtume Paulo mpaka lini?

Hakika Paulo ni kiboko ya Uislam wote mpaka karne zijazo.
udini hafai na hausaidii,marekani hawako kidini zaidi wako ki interest zaidi
 
Kusema ukweli kwa dunia yetu ya leo misimamo mikali ya kidini haiwezi kuendana wala kukubalika kwenye dunia ya kistaarabu ya leo

Mgogoro huu unajengwa sana ionekane ni isis vs us lakini si sahihi sana
Wamechinjwa wamarekani wawili tu hadi hivi sasa na kuwa gumzo lakini tunasahahu maelfu kwa maelfu wanaochinjwa kama kuku na isis

Bila kujali isis ilianzaje lakini hakuna namna dunia inaweza kukaa kimya kwa unyama unaofanya na isis dhidi ya wakurd, wakristo na dini zingine baada ya kutamgwaza dola la kiislam

Nawapenda waislam lakini siipendi vitabu vyao sababu nje ya muislam vitabu vyao havitambui dini zingine kama wanahaki na kuwaona takataka

Ukiona jinsi isis wanavyohukumu na adhabu wanazotoa huwezi kuamini kama hii ni dini ama nini
Kuchinja watu hadharani na kuninginiza vichwa vyao mjini, kuuwa watu hovyo hovyo......no way bana haikubaliki kabisa
Na kumbuka hapo wanauwana wao kwa wao. Kufundisha chuki watoto dhidi ya dini zingine nk
Hawa jamaa kusema ukweli walitakiwa wakakae kwenye sayari yao peke yao labda wangeelewana
Ila hii inakubalika?.
 
Eyewitnesses Testify: Pope Francis Raped and Killed Children; Sealed Vatican Documents Expose Their Satanic Rituals
27 Recent Articles, Satanism, Satanist Pedophiles 12:52 PM A + A - Share on print Print Share on email Email
Last month I was reporting that Pope Francis, the Jesuits and the Church of England will be prosecuted for child trafficking and genocide. The Queen of England was already found guilty by a previous trial.
Here is how the trial is unfolding:
This article was based on today's exclusive interview with Kevin Annett of the International Tribunal into Crimes of Church and State on this week's litigation in the Brussels Common Law Court of Justice.
Five judges and 27 jury members from six countries including the USA, considered evidence on over 50,000 missing Canadian, US, Argentine and European children who were suspected victims of an international child sacrificialcult referred to as the Ninth Circle.
Two adolescent women claimed that Pope Francis raped them while participating in child sacrifices. Eight eyewitnesses confirmed the allegations according to evidence presented this week at a Brussels Common Law Court of Justice.
The Ninth Circle Satanicchild sacrifice rituals were said to take place during the Springs of 2009 and 2010 in rural Holland and Belgium.
Pope Francis was also a perpetrator in satanic child sacrifice rites while acting as an Argentine priest and Bishop according to records obtained from the Vatican archives.
A prominent Vatican official and former Vatican Curia employee obtained the sealed documents for use by the court. This was not the first time satanic activities were suspected to be at the Vatican according to this ABC news story.
Another witness was set to testify that they were present during Pope Francis' meetings with the military Junta during Argentine's 1970's Dirty War. According to the witness, Pope Francis helped traffic children of missing political prisoners into an international child exploitation ring run by an office at the Vatican.
Evidence of a Catholic Jesuit Order document called the “Magisterial Privilege" was presented in court by the Chief Prosecutor. The record dated Dec. 25 1967 was said to show that every new Pope was required to participate in Ninth Circle Satanic ritual sacrifices of newborn children, including drinking their blood.
“Documents from Vatican secret archives presented to court clearly indicate that for centuries the Jesuits had a premeditated plan to ritually murder kidnapped newborn babies and then consume their blood," the Chief Prosecutor told the five international judges and 27 jury members.
"The plan was born of a twisted notion to derive spiritual power from the lifeblood of the innocent, thereby assuring political stability of the Papacy in Rome. These acts are not only genocidal but systemic and institutionalized in nature. Since at least 1773, they appear to have been performed by the Roman Catholic Church, Jesuits and every Pope.”Two witnesses claimed that as children they were at child sacrifices with the former Pope Joseph Ratzinger. Since at least 1962 Ratzinger participated in child sacrifices as a member of the Knights of Darkness according to the Vatican records presented at court. Ratzinger was an S.S. Chaplain's assistant at the German Ravensbruck Concentration Camp during World War II.
The children to be killed were supplied from prisoners at the death camp. The Nazi Waffen S.S. Division Knights of Darkness was established by Hitler in 1933 and embraced ancient pagan occult beliefs in human sacrifice.
Dutch Therapist-ritual abuse survivor Toos Nijenhuis testified of her witness to child sacrifice in this video:
“Survivors of these rituals describe newborn babies being chopped to pieces on stone altars and their remains consumed by participants” the Chief Prosecutor said."During the 1960's the survivor-witnesses were forced to rape and mutilate other children and then cut their throats with ceremonial daggers."According to witnesses Pope Francis, former Pope Joseph Ratzinger, Jesuit Superior General Adolfo Pachon and Anglican Archbishop of Canterbury Justin Welby were participants in the Ninth Circle Satanic child sacrifice cult rape and killing of children.
Evidence also could link to cult ceremonies UK High Court Justice Judge Fulford, members of the British Royal Family including Prince Phillip, Dutch Cardinal Alfrink, Dutch Queen Wilhemina, her family and consort King Hendrick, Belgian Royals and Bilderberger founder Crown Prince Bernhard.
 
Kusema ukweli kwa dunia yetu ya leo misimamo mikali ya kidini haiwezi kuendana wala kukubalika kwenye dunia ya kistaarabu ya leo

Mgogoro huu unajengwa sana ionekane ni isis vs us lakini si sahihi sana
Wamechinjwa wamarekani wawili tu hadi hivi sasa na kuwa gumzo lakini tunasahahu maelfu kwa maelfu wanaochinjwa kama kuku na isis

Bila kujali isis ilianzaje lakini hakuna namna dunia inaweza kukaa kimya kwa unyama unaofanya na isis dhidi ya wakurd, wakristo na dini zingine baada ya kutamgwaza dola la kiislam

Nawapenda waislam lakini siipendi vitabu vyao sababu nje ya muislam vitabu vyao havitambui dini zingine kama wanahaki na kuwaona takataka

Ukiona jinsi isis wanavyohukumu na adhabu wanazotoa huwezi kuamini kama hii ni dini ama nini
Kuchinja watu hadharani na kuninginiza vichwa vyao mjini, kuuwa watu hovyo hovyo......no way bana haikubaliki kabisa
Na kumbuka hapo wanauwana wao kwa wao. Kufundisha chuki watoto dhidi ya dini zingine nk
Hawa jamaa kusema ukweli walitakiwa wakakae kwenye sayari yao peke yao labda wangeelewana
Mkuu unasemea vitabu kama hiki cha samweli?.
I Samuel 15:32-35 Samuel commanded to bring King Agag to him andSamuel murderedthe King before God. Samuel grieved over Saul, for God regretted having made Saul King of Israel.
Samuel,God’s prophet, performs murderfor this God.
I Samuel 15:3 God ordered Saul: Do not spare them. Go murder men, women, children and infants…
Can God’s orders be any clearer? What about: Thou shalt not kill?.
II Samuel 4 When Ishbaal heard of Abner’s death, he gave up. Two of his own Benjamite company commanders stole into his house while he slept, cut his head off and took it to King David.
David had them murdered, cut off their hands and feet and hung them up near the pool.
II Samuel 5:4-5 David was 30 years old when he became King and reigned for 40 years; 33 years in Jerusalem over all Israel.
 
141009021300_kobane_turkish_soldiers_512x288_ap_nocredit.jpg

Wanajeshi wa muungano kutoka mataifa washirika wanakabiliana na wapiganaji wa IS Syria

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema inafanya kila iwezalo kuzuia wapiganaji wa ISIL kuudhibiti mji wa Syria Kobane.

Lakini mwenyekiti wa wakuu wa jeshi la pamoja, Jenerali Martin Dempsey, amesema wanamgambo hao wamekuwa wakijifunza jinsi ya kukwepa makombora ya angani.

Jeshi la Marekani linasema linaamini Wakurdi bado wanadhibiti sehemu kubwa za mji huo licha ya kushambuliwa pakubwa hapo jana.

Ufaransa imeunga mkono pendekezo la Uturuki kuunda eneo litakalodhibitiwa kiusalama katika mpaka wake na Syria ili kujilinda na pia kuwasaidia wakimbizi wa Syria.

Jenerali mstaafu Wesley Clark awali aliyehudumu kama kamanda wa juu wa jumuiya ya kujihami

NATO kwa Ulaya, amesema ana imani kwamba operesheni dhidi ya IS hatimaye itafaulu.



Chanzo:
BBC

http://www.bbc.co.uk/…/habari/2014/10/141009_marekani_kobane

ISIL ni zao la Marekani waliandaliwa kwa ajili ya kuiondoa sekali ya syria, baadae wakageuka.
 
ISIL ni zao la Marekani waliandaliwa kwa ajili ya kuiondoa sekali ya syria, baadae wakageuka.
Hivi ndivo hao jamaa walivyoanza kuingia syria,ilikua ni mwaka jana mwezi wa nane,2013,walikuwa miongoni mwa kikundi cha highly trained comando kama 3000,wakiwa wamefundishiwa jordan na wamarekani.mda huo mwezi agost general dempsey,mkuu wa majeshi ya marekani alikuja aman jordan kuzindua underground warroom to fight assad.
kikundi cha mwanzo kupenyezwa syria kiliteka maeneo kwa kasi kubwa mpaka karibu wafike damascu,asad akatumia chemical weapon.
ndipo kilizuka kizaza cha marekani kutaka kumtwanga asad,mpaka putini alipookoa jahazi.
hao spesho trained syria rebel waliendelea kumkalia kooni asad mpaka ikabidi hezbulah waingie kati na kuanza kuwarudisha nyuma.
kisha baada ya kushindwa kumtoa assad pamoja na misaada wakipewa na marekani,hao jamaa wakageukia irag kwani waliona hawataweza kumpindua asad mpaka kwanza wamtoe malik kwani ndo akiruhusu ndege za misaada ya kijeshi toka iran na russia kupitia anga la irag kwenda syria
 
Hawa jamaa.
JUST-IN: US-Led Incursion into Syria from Jordan Underway. Assad Counters with Chemical-Weapons Attack
Assad is acting to counter the first organized incursion of US-trained Syrian rebels from Jordan into southern Syria. The first group of 250 rebels, trained in special operations tactics by US and Jordanian instructors, entered Syria Saturday, Aug. 17, armed with weapons of Russian provenance supplied by the US and Saudi Arabia.
They are fighting under US and Jordanian commanders based in the Hashemite Kingdom.
A second group of 300 fighters crossed into Syria from Jordan Monday.
They are linking up with local rebel groups chosen from amongst those with no ties with the jihadist Jabhat al-Nusra (Al Qaeda in Syria).
According to military sources, the rebel units are advancing at speed along the Syrian-Israeli border. They have forced the Syrian brigades posted there into retreating from positions inside a strip of 1-25 kilometers from the border, and captured the villages of Raihaniya, Breiqa and Beer Ajam.
This tactic has moved the Syrian army back from the area opposite the Israeli Golan, and started marking out a buffer zone between Israeli and Syrian forces in the Horan province.
Military sources report that additional Syrian rebel forces are standing ready in Jordan to cross into Syria. The incoming forces will then start extending the nascent buffer zone northward towards Deraa (fountainhead of the Syrian uprising in 2011) and east toward Jabal Druze.
This Jordan-based rebel offensive was launched shortly after Gen. Martin Dempsey, Chairman of the Joint US Chiefs of Staff, visited US forces in Jordan and inaugurated the underground US war room near Amman for commanding the operation in Syria.
Syrian ruler Bashar Assad has more than once declared that if the Syrian capital Damascus came under threat, he would resort to chemical warfare and the entire Middle East including Israel would go up in flames. For now, his army is fighting to keep the rebels from taking control of southern Syria.
[ link to DEBKAfile, Political Analysis, Espionage, Terrorism, Security
 
Basi bana,wakaanza kushambulia irag mara tu baada ya mbinu ya marekani kumtoa assad kwa mashambulizi ya anga kushindikana.
wakawa wameteka maeneo ya falluja kule irag maana huko ndo kulikua na ngome kubwa ya algaida in irag walokua wakimpinga al malik.
fastforwad mpaka july mwaka huu 2014,wakawa wamekaribia kuiteka baghdad,juhudi za malik kumtaka obama aokoe jahazi zikawa bure mpaka iran na russia walipotuma misaada na kuwezesha kasi ya hao jamaa kupunguzwa.hao jamaa sasa wakijiita ISIL,wakaona kuiteka baghdad imekua kazi.wakageuka na kupanda juu kuelekea kaskazini kwa wakurd.
 
Kumbe sasa huko kurdistan kuna interest za marekani.
tukipiga hatua nyuma kidogo malik aliambiwa na marekani kuwa hatapewa msaada mpaka aachie ngazi.kumbuka malik yuko karibu na iran na ndiye akiruhusu iran na russia wapitishe silaha kwenda kwa asad.
wakambana mpaka malik akaachia madaraka.ndo marekani wakapeleka askari 100 wa danganya toto.
kule kwa wakurd peshmerga wakakaribia sana mji wao mkuu kutekwa na ISIL.
Hapo kuna kambi pia ya kijeshi ya wamarekani na pia kampuni la kuchimba mafuta la marekani EXXON.
Marekani wakasaidia wakurd wakaweza kuwarudisha isil sasa wamekuwa isis nyuma.
kumbuka karibu na hapo kuna mji mkubwa wa irag umetekwa na isis jina limenitoka,marekani hawajataka kusaidia kuukomboa ,mji wa mosul.
kwasasa isis na sasa ni IS(islamic state).
wako ndani ya mji wa kobane uko mpakani mwa syria na turkey.marekani ni kama hawana time ya kuwasaidia wakurd wa syria kwani hawana nao maslahi,wanafanya kufanya mashambulizi yanayopiga off target makusudi ili is waweze kuteka kobane.
 
Tukirudi nyuma kidogo.wamarekani,yani raia,tangu waondoe askari wao irag wamekua hawataki kabisa serikali yao kujiingiza kijeshi mashariki ya kati,na hiyo ni kutokana na jinsi uchumi wao ulivyopata hasara tokana na kukaa irag kwa miaka karibu 12 na kutumia dola tlirion 2 ,kupoteza askari kadhaa na mamia kubaki vilema.
sasa ISIS kazi ya kumtoa asad imewashinda kwahiyo ikatafutwa sababu ya marekani na washirika kurudi syria kumnyuka na kumtepetesha asad kwa njia ya airstrike.
wamarekani lazima wangepinga ilitakiwa kipatikane kichocheo ili kuwafanya wamarekani wakubali serikali yao iende kushambulia syria wakijifanya wanawapiga isis,kumbe target ni asad.
HAPO NDIPO WALE WAMAREKANI WAKAANZA KUCHINJWA NA VIDEO KUWEKWA UTUBE.
 
Kuna wakati huwa sikuelewi tu!
Sasa sijui umenielewa angalau kidogo,maana umenipa kazi kubwa kweli.
kwa kumalizia,kama nilivyosema,command centre ya kumng'oa asad inaitwa CENTCOM na iko jordani karibu na mpaka na syria,iko underground na ilianza kazi mwaka jana mwezi wa nane.
Debkafile
Gen. Martin Dempsey, Chairman of the US Joint Chiefs of Staff, was in Amman this week to inaugurate the Centcom¡¯s Forward Command in Jordan manned by 273 US officers. US media correspondents were permitted to visit the new war room for the first time on condition of non-disclosure of its location and secret facilities. debkafile¡¯s military sources report that the installation is bomb- and missile-proof against a possible Syrian attack. The US Air Force command section is in direct communication with the US, Israeli, Jordanian and Saudi Air Force headquarters ready for an order by President Barack Obama to impose a partial no-fly zone over Syrian air space.
Another section is designed to coordinate operations between US and Jordanian special forces, as well as the units trained in commando combat by US instructors in Jordan. A closed section houses CIA personnel who control the work of US agents going in and out of Syria and also a communications center.
In his briefing to US forces Thursday, Aug. 15, Gen. Dempsey commented: ¡°Jordan lives in a very volatile region and at a very critical time in its history. They can count on us to continue to be their partner.¡±
He suggested that the operation could continue well into next year or beyond.
Situated atop the underground facility is a large surface structure accommodating the American military and civilian offices dealing with Syrian issues from Jordan. It is guarded by US and Jordanian security units.
There are today some 1,000 US military personnel in the Hashemite Kingdom, plus a squadron of F-16 fighters and several Patriot anti-missile batteries strung along the Jordanian-Syrian border to shield Jordanian and American bases and the capital, Amman.
This special debkafile video presentation illustrates US, Saudi, and Jordanian preparations for military intervention in the Syrian civil war and its likely repercussion.

PIA mpaka sasa kuna isis kama elfu 10 nje ya baghadad tayari kuuteka japo hawafanikiwi kwani iran na russia watafanya juu chini kuzuia kwani baghdad ndo supply line ya assad.
mpaka sasa nchi washirika wa marekani karibu 40 wanapambana na isis,wanakopambania hata hapaeleweki.
juzi kati marekani wameshambulia brigade ya jeshi la asad eti wakadai na bahati mbaya,ukweli ni kuwa wanatest polepole kuona reaction ya mr putin.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom