Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,824
- 2,079
Kafa,kafariki,katutoka,ametangulia yote kwa yote ni kitu kimoja,Ukweli mnajichanganya kwa kauli hiyo. labda ui-tengeneze upya.
Hapo kwenye nyekundu nafikiri ulitaka kusema you are contradicting yourself. Ok, lakini nimekuelewa. Kwani mimi ndo nimesema marekani ana kazi ngumu? aliyesema hivyo mi ndo nimemjibu marekani ni ISIS mkuu.