Marekani: IMF msiikopeshe IRAN

Marekani: IMF msiikopeshe IRAN

Iran kama mwanamke tu ananuna huku kule anakuja kuomba msaada

Haimaanishi na support wanachofanya Wamarekani ila ndio hivyo tena kwa sasa wao ni kama maji tu, Usipoyaoga basi yumkini utayanawia

Mpaka hapo atakapo tokea mbabe mwingine wa Dunia tuanze kumpigia magoti, ndio maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Nope,Iran Ni mwanachama wa IMF,,unadhani Iran ameomba akiamini atapewa?,anajua imf iko controlled na marekani,wanachofanya Iran Ni kuexpose huo ukweli,kwamba IMF haiko huru kivile,,
Ulidhani kweli Iran walijua watapewa mkopo?.
Kingine Iran anajua marekani hawataondoa vikwazo,na wao makusudi kila siku wanna pressure marekani kuondoa vikwazo for humantarian reason,sababu ya ugonjwa,,wanajua marekani wale viongozi hawana maadili ya kiubinadamu na vile vikwazo viliwekwa ili kuidhoofisha na hatimae kuuangusha utawala wa Iran for the benefit of Israel,
Wao Iran wanataka kuweka history right na hizo facts ziwe documented.
After all marekani imeathirika kea corona zaidi kuliko iran
 
But huu ni mkopo sio msaada,maana ya mkopo in kuwa mkopaji lazima arejeshe alichokopa,sioni haja ya Marekani kutia ngumu hapa


Sent using Jamii Forums mobile app
Trump anataka regime change hata kwa kufanya mauaji ya mamilioni ya watu kama alivyofanya Iraq Afghanistan na Libya.

Hii Corona Trump mwanzoni aliiona kama fursa ya kummaliza mchina na kufanikisha mpango wake wa regime change huko Iran. Akaja na maneno ya shombo eti Chinese virus haitaweza kuingia US.

Baada ya kuona na kwake moto unamwakia anakuja tena kulaumu WHO kuwa hawakumpa onyo la mapema.

God bless my country
 
Nope,Iran Ni mwanachama wa IMF,,unadhani Iran ameomba akiamini atapewa?,anajua imf iko controlled na marekani,wanachofanya Iran Ni kuexpose huo ukweli,kwamba IMF haiko huru kivile,,
Ulidhani kweli Iran walijua watapewa mkopo?.
Kingine Iran anajua marekani hawataondoa vikwazo,na wao makusudi kila siku wanna pressure marekani kuondoa vikwazo for humantarian reason,sababu ya ugonjwa,,wanajua marekani wale viongozi hawana maadili ya kiubinadamu na vile vikwazo viliwekwa ili kuidhoofisha na hatimae kuuangusha utawala wa Iran for the benefit of Israel,
Wao Iran wanataka kuweka history right na hizo facts ziwe documented.
After all marekani imeathirika kea corona zaidi kuliko iran
Marekani na Irani, wote wameathirika sana kwa Corona. Na by ratio, wote wameathirika kwa karibia kiwango sawa. Iran ina population almost 80m. US almost 325m. Vifo vya rorona virus Iran ni about 4k. US about 16k.

Unapoomba pesa toka IMF au WB, kiuhalisia unaomba hela toka US na Washirika wake. Hao ndio walioianzisha na kuipa mtaji. Wengine wanatoa tu ada. Mwenye pesa huamua ampe nani, kiasi gani, wakati gani, etc. Nadharia inaweza kuwa tofauti lakini ukweli ndio huo. Ni sawa, kama unataka mkopo bank halafu unambiwa, kama unataka maombi yako yafikiriwe, kwanza unatakiwa uwe na account kwenye bank yetu. Ukishafungua hiyo account bado unaweza kupata au kunyimwa mkopo.

Ada ya uanachama ni tofauti na mtaji. Mwenye mtaji ndani ya taasisi hizo ni US na washirika wake waanzilishi kama UK.

Marekani ataendelea kuzidhibiti taasisi hizi za Umoja wa Mataifa kwa miaka mingi ijayo. Bahati mbaya mwenye uchumi unaomfuatia US kwa mbali ni Mchina ambaye katika masuala ya haki na utu ni ovyo maradufu kumzidi Mmarekani. Na hakuna dalili yoyote China inaweza kuwa na uchumi wa kumkaribia Mmarekani kwa sababu economic growth rate ya uchumi wa China imekwishafikia peak.
 
Marekani na Irani, wote wameathirika sana kwa Corona. Na by ratio, wote wameathirika kwa karibia kiwango sawa. Iran ina population almost 80m. US almost 325m. Vifo vya rorona virus Iran ni about 4k. US about 16k.

Unapoomba pesa toka IMF au WB, kiuhalisia unaomba hela toka US na Washirika wake. Hao ndio walioianzisha na kuipa mtaji. Wengine wanatoa tu ada. Mwenye pesa huamua ampe nani, kiasi gani, wakati gani, etc. Nadharia inaweza kuwa tofauti lakini ukweli ndio huo. Ni sawa, kama unataka mkopo bank halafu unambiwa, kama unataka maombi yako yafikiriwe, kwanza unatakiwa uwe na account kwenye bank yetu. Ukishafungua hiyo account bado unaweza kupata au kunyimwa mkopo.

Ada ya uanachama ni tofauti na mtaji. Mwenye mtaji ndani ya taasisi hizo ni US na washirika wake waanzilishi kama UK.

Marekani ataendelea kuzidhibiti taasisi hizi za Umoja wa Mataifa kwa miaka mingi ijayo. Bahati mbaya mwenye uchumi unaomfuatia US kwa mbali ni Mchina ambaye katika masuala ya haki na utu ni ovyo maradufu kumzidi Mmarekani. Na hakuna dalili yoyote China inaweza kuwa na uchumi wa kumkaribia Mmarekani kwa sababu economic growth rate ya uchumi wa China imekwishafikia peak.
The International Monetary Fund (IMF) is an international organization headquartered in Washington, D.C., consisting of 189 countries working to foster global monetary cooperation, secure financial stability, facilitate international trade, promote high employment and sustainable economic growth, and reduce poverty around the world while periodically depending on the World Bank for its resources.[1] Formed in 1944 at the Bretton Woods Conference primarily by the ideas of Harry Dexter White and John Maynard Keynes,[6] it came into formal existence in 1945 with 29 member countries and the goal of reconstructing the international payment system. It now plays a central role in the management of balance of payments difficulties and international financial crises.[7] Countries contribute funds to a pool through a quota system from which countries experiencing balance of payments problems can borrow money. As of 2016, the fund had XDR 477 billion (about US$ 667 billion).[8]

International Monetary Fund
 
Iran inataka kutumia swala la Corona kama kigezo cha kuwawezesha kukopa ili wapate fedha za kutumia kuvifadhili vikundi vya kigaidi ktk kipindi hiki kigumu sana kwao.
 
The International Monetary Fund (IMF) is an international organization headquartered in Washington, D.C., consisting of 189 countries working to foster global monetary cooperation, secure financial stability, facilitate international trade, promote high employment and sustainable economic growth, and reduce poverty around the world while periodically depending on the World Bank for its resources.[1] Formed in 1944 at the Bretton Woods Conference primarily by the ideas of Harry Dexter White and John Maynard Keynes,[6] it came into formal existence in 1945 with 29 member countries and the goal of reconstructing the international payment system. It now plays a central role in the management of balance of payments difficulties and international financial crises.[7] Countries contribute funds to a pool through a quota system from which countries experiencing balance of payments problems can borrow money. As of 2016, the fund had XDR 477 billion (about US$ 667 billion).[8]

International Monetary Fund

Structure ya uongozi IMF umeiona lakini?

Managing Director Edit
The IMF is led by a managing director, who is head of the staff and serves as Chairman of the Executive Board. The managing director is assisted by a First Deputy managing director and three other Deputy Managing Directors.[71] Historically the IMF's managing director has been European and the president of the World Bank has been from the United States.

Kumbuka fund nyingi za world bank zinatoka kwenye serikali USA.

IMF maaumzi yanafanyika kama makampuni yanaymilikiwa kwa mfumo wa hisa.

Nchi inayotoa funds nyingi ndio inakuwa na nguvu kubwa ya kufanya maamuzi.

Ambapo marekani anahold 17% ya votes kutokana na mchango wake.

Jumla kuna nchi 20 tu zinazohusika katika upigaji kura, nchi inayofuata ina 6% ambayo ni japan.

Na Iran haipo kwenye hizo nchi 20.
Haya mashirika world bank na IMF yanaegemea sana maamuzi ya USA maana ndio mtoaji hela mkubwa.
 
Nope,Iran Ni mwanachama wa IMF,,unadhani Iran ameomba akiamini atapewa?,anajua imf iko controlled na marekani,wanachofanya Iran Ni kuexpose huo ukweli,kwamba IMF haiko huru kivile,,
Ulidhani kweli Iran walijua watapewa mkopo?.
Kingine Iran anajua marekani hawataondoa vikwazo,na wao makusudi kila siku wanna pressure marekani kuondoa vikwazo for humantarian reason,sababu ya ugonjwa,,wanajua marekani wale viongozi hawana maadili ya kiubinadamu na vile vikwazo viliwekwa ili kuidhoofisha na hatimae kuuangusha utawala wa Iran for the benefit of Israel,
Wao Iran wanataka kuweka history right na hizo facts ziwe documented.
After all marekani imeathirika kea corona zaidi kuliko iran
Yaani mkopo anaomba Iran lakini wewe wa Mtogole unasema kuwa haombi ila anaigiza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom