Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 5,426
- 13,696
. Bado nawaza kwa nini wajiweke wazi kiasi hicho?? 🤔 🤔.F-35 haziuzwi kwa nchi yoyote, so kama zimeshiriki kwenye mashanbulizi means USA is involved moja kwa moja
. Bado nawaza kwa nini wajiweke wazi kiasi hicho?? 🤔 🤔.F-35 haziuzwi kwa nchi yoyote, so kama zimeshiriki kwenye mashanbulizi means USA is involved moja kwa moja
Tangu 2016 israel anayo F-35 tena ndiyo nchi pekee iliyoruhusiwa kui customise ...pia Saudi Arabia anayo na kuna baadhi ya nchi za ulaya zipo...tafuta taarifa mkuu..F-35 haziuzwi kwa nchi yoyote, so kama zimeshiriki kwenye mashanbulizi means USA is involved moja kwa moja
Wakitumia zana za Kimarekani.Marekani ni mshirika wa muhimu lakini kichapo kimetolewa na wale wadada ndani ya fighter jets.
Makomando wavunja matofali.Nyie si mnayo TISS na makomandoo wa JWTZ 🤣.
Hapa uko sahihi mkuu, nimethibitisha. Most close allies wa US wanazo. Kumradhi.Tangu 2016 israel anayo F-35 tena ndiyo nchi pekee iliyoruhusiwa kui customise ...pia Saudi Arabia anayo na kuna baadhi ya nchi za ulaya zipo...tafuta taarifa mkuu..
Very impressive 🤣.Makomando wavunja matofali.
And vice versaUkweli ni kwamba Israel bila Marekani ni hamna kitu kabisa.
Nope! Mtengenezaji ni Marekani. Acheni kuwapa sifa zote Waisrael.Mtengenezaji si muisrael mwenyewe 😀
T14 ArmataIsrael imetumia ndege za Kimarekani za F-35 kuishambulia Iran.
Ndege hizo zina uwezo wa kujazwa mafuta zikiwa angani.
Uwezo huo wa midair refueling Israel haina.
Marekani, ambao ndo watengenezaji wa hizo ndege, ndo wenye uwezo huo.
Pia, Israel imetumia intelligence ya Marekani hususan satellite imagery, katika kuzi identify targets na hatimaye kuziondoa.
Ukweli ni kwamba Israel bila Marekani ni hamna kitu kabisa.
Nyie watu acheni ulay man hao watu wali lay foundation tu theoretically usisahau tech ni kitu dynamic Leo ukimfufua tesla atakuta Umeme umekuwa advanced sanaTechnology kubwa za marekani ukifiatilia zimetengenezwa na Muisrael
Oppenheimer -Nuclear Bomb
Albert Einstein
Elon musk
Israel imeuziwa na Marekani then ikazifanyia modification kidogoF-35 haziuzwi kwa nchi yoyote, so kama zimeshiriki kwenye mashanbulizi means USA is involved moja kwa moja
mapuzi hayo afu maoga kinoma itisha maandamano uone kama yatatokea kushabikia vita sasa!!,yalimujaza kichwa lisu sasaivi ananyea ndoo yao yametulia makwao hata kupaza sauti yamefeliKila mtu Israel na Iran. Wakati kwetu
Kheee Elon Musk naye ni Muisrael? 🤣🤣Technology kubwa za marekani ukifiatilia zimetengenezwa na Muisrael
Oppenheimer -Nuclear Bomb
Albert Einstein
Elon musk
Chanzo cha mapato ya israel ni nini haswa maana kuendesha tu iron domes nchi yetu ingekuwa ICU. Achilia mbali kubonda mchi kadhaa ndani ya kipindi cha chini ya miaka 5Kwani ukinunua F-16 kutoka marekani ukazitumia vitani, unakuwa umesaidiwa na marekani?
Mi nadhani Israel wananunua silaha zao nyingi kutoka marekani, sio kwamba wanasaidiwa.
Na kumbuka unaponunua silaha ndiye hutoa na mafunzo ya kuzitumia.
Ukinunua MIG-29 Kutoka Russia haimaanishi, unasaidiwa na Mrusi.
Viwanda vya silaha marekani ni vya wawekezaji wayahudi wa IsraelIsrael imetumia ndege za Kimarekani za F-35 kuishambulia Iran.
Ndege hizo zina uwezo wa kujazwa mafuta zikiwa angani.
Uwezo huo wa midair refueling Israel haina.
Marekani, ambao ndo watengenezaji wa hizo ndege, ndo wenye uwezo huo.
Pia, Israel imetumia intelligence ya Marekani hususan satellite imagery, katika kuzi identify targets na hatimaye kuziondoa.
Ukweli ni kwamba Israel bila Marekani ni hamna kitu kabisa.
Rubbish.Ukweli ni kwamba Israel bila Marekani ni hamna kitu kabisa
Israel ni mshirika wa Marekani.Kwani ukinunua F-16 kutoka marekani ukazitumia vitani, unakuwa umesaidiwa na marekani?
Mi nadhani Israel wananunua silaha zao nyingi kutoka marekani, sio kwamba wanasaidiwa.
Na kumbuka unaponunua silaha ndiye hutoa na mafunzo ya kuzitumia.
Ukinunua MIG-29 Kutoka Russia haimaanishi, unasaidiwa na Mrusi.