mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Rais Zelensky wa Ukraine alipigia debe sana kupewa vifaru vya ujerumani vinavyoaminika sana ulaya. Ujerumani ilikuwa haitaki kutoa vifaru vyake. Lakini mwisho wa siku ujerumani ikakubali kuipa ukraine vifaru vyake na kuruhusu nchi zingine kuipa ukraine vifaru vya Leopords-2.
Vyombo vya magharibi vikasema vifaru hivi vitabadilisha kabisa mwelekeo wa vita (game changer) wakati ukraine itakapoanza kujibu mashambulizi/counter offensive.
Urusi ikasema haya acha vije maana vitaunguzwa kama vinavyounguzwa vile vingine maana havina chochote cha ziada. Labda ziada yake tu ni kwamba vinauzwa kwa bei kubwa.
Western Tanks Will "Burn Like All The Rest" In Ukraine, Says Russia.
Moscow:
The Kremlin said Wednesday that if Western countries supply Ukraine with heavy tanks they will be destroyed on the battlefield, as Kyiv awaits a decision from Berlin on deliveries of Leopard 2 tanks.
"Technologically, this is a failed plan. This is an overestimation of the potential that this will add to the Ukrainian army," Kremlin spokesman Dmitry Peskov told reporters.
"These tanks burn like all the rest. They are just very expensive."
Alichokisema urusio ndicho alichokifanya mara tu baada ya Ukraine kuanza "counter offensive" aliyokuwa anaishadadia kwa muda mrefu!! Leopords-2 na magari mengi ya kivita toka nchi za magharibi yameishia keteketezwa!! Kwanza walikanusha, lakini sasa kwa ushahidi wa picha na video utakanushaje? Wameishia kukaa kimya!!
© Telegram / voin_dv
Videos emerged on Friday purporting to show the destruction of a Leopard 2A6 tank as well as several US-made Bradley infantry fighting vehicles during a failed Ukrainian offensive in Russia’s Zaporozhye Region.
Another video apparently shot by Ukrainian soldiers showed a Leopard 2A4 that had been blown up by a mine during an unsuccessful attempt to break through the front line near the town of Orekhov in Zaporozhye.
On Thursday, Colonel-General Aleksandr Romanchuk, a commander of a Russian unit operating in Zaporozhye Region, reported that Kiev’s forces had lost over 30 tanks during an overnight offensive. Ukrainian losses also reportedly included up to 350 personnel, as well as three Leopard tanks and more than 10 infantry fighting vehicles.
Vyombo vya magharibi vikasema vifaru hivi vitabadilisha kabisa mwelekeo wa vita (game changer) wakati ukraine itakapoanza kujibu mashambulizi/counter offensive.
Urusi ikasema haya acha vije maana vitaunguzwa kama vinavyounguzwa vile vingine maana havina chochote cha ziada. Labda ziada yake tu ni kwamba vinauzwa kwa bei kubwa.
Western Tanks Will "Burn Like All The Rest" In Ukraine, Says Russia.
Moscow:
The Kremlin said Wednesday that if Western countries supply Ukraine with heavy tanks they will be destroyed on the battlefield, as Kyiv awaits a decision from Berlin on deliveries of Leopard 2 tanks.
"Technologically, this is a failed plan. This is an overestimation of the potential that this will add to the Ukrainian army," Kremlin spokesman Dmitry Peskov told reporters.
"These tanks burn like all the rest. They are just very expensive."
Alichokisema urusio ndicho alichokifanya mara tu baada ya Ukraine kuanza "counter offensive" aliyokuwa anaishadadia kwa muda mrefu!! Leopords-2 na magari mengi ya kivita toka nchi za magharibi yameishia keteketezwa!! Kwanza walikanusha, lakini sasa kwa ushahidi wa picha na video utakanushaje? Wameishia kukaa kimya!!
VIDEO shows destroyed Ukrainian Bradleys and Leopard tanks
Russia previously reported that Kiev had lost over 30 armored fighting vehicles in a failed counteroffensive© Telegram / voin_dv
Videos emerged on Friday purporting to show the destruction of a Leopard 2A6 tank as well as several US-made Bradley infantry fighting vehicles during a failed Ukrainian offensive in Russia’s Zaporozhye Region.
Another video apparently shot by Ukrainian soldiers showed a Leopard 2A4 that had been blown up by a mine during an unsuccessful attempt to break through the front line near the town of Orekhov in Zaporozhye.
On Thursday, Colonel-General Aleksandr Romanchuk, a commander of a Russian unit operating in Zaporozhye Region, reported that Kiev’s forces had lost over 30 tanks during an overnight offensive. Ukrainian losses also reportedly included up to 350 personnel, as well as three Leopard tanks and more than 10 infantry fighting vehicles.