Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Hawa wanajiita Wanademokrasia ndio waliwaua Sadam, Osama na Abubakar
Waliwashitaki Mahakama gani? Kwanini Umoja wa Ulaya ulimuua Gadafi kama mnyama? Nani aliwawekea vikwazo?
Waliwashitaki Mahakama gani? Kwanini Umoja wa Ulaya ulimuua Gadafi kama mnyama? Nani aliwawekea vikwazo?