The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,459
- 17,258
Kwa kile kinachoitwa muendelezo wa Marekani kutumia mkono wake mrefu na wenye nguvu kuiwekea vikwazo kampuni ya Huawei kutoka China, sasa mbinyo huo umeifikia Brazil.
Balozi wa Marekani nchini Brazil ameionya nchi hiyo kua itakabiliwa na hatari iwapo itairuhusu kampuni ya Huawei kujenga mitambo ya teknolojia ya 5G.
Mwezi huu mwanzoni Marekani iliiahidi serikali ya Brazil itafte mbadala wa Huawei na Marekani yuko tayari kulipia gharama za huo mbadala, yaani kati ya Nokia ama Erickson ila sio Huawei.
Brazil ndie mshirika mkubwa wa kibiashara wa Marekani (trading partner) bara la Amerika ya Kusini.
Je, Brazil itaweza kuibishia Marekani? Tusubiri tuone.
Brazil may face 'consequences' if it gives Huawei 5G access, says U.S. ambassador
Balozi wa Marekani nchini Brazil ameionya nchi hiyo kua itakabiliwa na hatari iwapo itairuhusu kampuni ya Huawei kujenga mitambo ya teknolojia ya 5G.
Mwezi huu mwanzoni Marekani iliiahidi serikali ya Brazil itafte mbadala wa Huawei na Marekani yuko tayari kulipia gharama za huo mbadala, yaani kati ya Nokia ama Erickson ila sio Huawei.
Brazil ndie mshirika mkubwa wa kibiashara wa Marekani (trading partner) bara la Amerika ya Kusini.
Je, Brazil itaweza kuibishia Marekani? Tusubiri tuone.
Brazil may face 'consequences' if it gives Huawei 5G access, says U.S. ambassador