Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,310
- 4,017
Hivi karibuni Wananchi wengi wa Iran walianza kusanuka na system iliowajenga kwa miaka na miaka. Wamekuja kugundua wao wanatumika kama instruments za sera za chuki na unyonyaji za mamlaka ya Iran.
Wamekuzwa na kufunzwa kuwa adui wao ni Israel na Marekani na wametengenezwa kwa namna ya kuwa vita yoyote dhidi ya mtu asie muislam kama wao basi ni vita takatifu isio kuwa na doa kwao.
Sasa hivi wananchi hawa wengi na wanaoishi ugaibuni ndio kwanza wana support Israel dhidi ya Hamas. Wanafunzi chuoni hawataki tena kukanyaga bendera za USA na Israel zilizochorwa chini. Wananchi wengi wanajitoa muhanga kufanya maandamano dhidi ya sera kali za maafa na unyonyaji zinazo thaminiwa na khomein, eti baba wa kiroho wa nchi. Huyo khomeini ambae ndie baba wa kiroho wa Iran, ndio wa kwanza kupromote maafa dhidi ya wale wasioendana na sera na dini yake.
Tambueni kuwa Iran ndie anaefadhili vikundi vya kigaidi vingi. Hizi vita na maafa anayofadhili si kwa ajili ya ukombozi mzuri wa watu bali ni ku-promote ubaya na jihad dhidi ya wale wote wasio wa asili yao.
Israel ilikuwa katika harakati nzuri ya kufanya amani na mataifa ya kiarabu. Hii process iliwaumiza sana Iran kwa maana hakutaka muyahudi afanye amani nao. Kwa hio alitumia hii kama hamasa ya kuahamasisha na kufadhili hamas ili waivamie Israel then Israel ali-react kwa hasira. Then kinachofata ni tena mataifa ya kiarabu kumchukia Israel kwa vile alivyo react dhidi ya Gaza.
Kumbuka wewe Muislam, adui yako sio mkristo au muyahudi, adui yako huyo muislam mwenzako anaekufundisha chuki na vita dhidi ya asie muislam na kukuambia kuwa utapata amani ya milele peponi ukishamfanyia maafa.
SOMA:
Ndugu zangu waislam, tuitunze hii amani tuliyonayo, msirithishwe chuki
Wamekuzwa na kufunzwa kuwa adui wao ni Israel na Marekani na wametengenezwa kwa namna ya kuwa vita yoyote dhidi ya mtu asie muislam kama wao basi ni vita takatifu isio kuwa na doa kwao.
Sasa hivi wananchi hawa wengi na wanaoishi ugaibuni ndio kwanza wana support Israel dhidi ya Hamas. Wanafunzi chuoni hawataki tena kukanyaga bendera za USA na Israel zilizochorwa chini. Wananchi wengi wanajitoa muhanga kufanya maandamano dhidi ya sera kali za maafa na unyonyaji zinazo thaminiwa na khomein, eti baba wa kiroho wa nchi. Huyo khomeini ambae ndie baba wa kiroho wa Iran, ndio wa kwanza kupromote maafa dhidi ya wale wasioendana na sera na dini yake.
Tambueni kuwa Iran ndie anaefadhili vikundi vya kigaidi vingi. Hizi vita na maafa anayofadhili si kwa ajili ya ukombozi mzuri wa watu bali ni ku-promote ubaya na jihad dhidi ya wale wote wasio wa asili yao.
Israel ilikuwa katika harakati nzuri ya kufanya amani na mataifa ya kiarabu. Hii process iliwaumiza sana Iran kwa maana hakutaka muyahudi afanye amani nao. Kwa hio alitumia hii kama hamasa ya kuahamasisha na kufadhili hamas ili waivamie Israel then Israel ali-react kwa hasira. Then kinachofata ni tena mataifa ya kiarabu kumchukia Israel kwa vile alivyo react dhidi ya Gaza.
Kumbuka wewe Muislam, adui yako sio mkristo au muyahudi, adui yako huyo muislam mwenzako anaekufundisha chuki na vita dhidi ya asie muislam na kukuambia kuwa utapata amani ya milele peponi ukishamfanyia maafa.
SOMA:
Ndugu zangu waislam, tuitunze hii amani tuliyonayo, msirithishwe chuki
Hakika nawaambia adui yenu sio Mkristo au Muyahudi, adui yenu ni huyo anaewajaza chuki dhidi yetu. Adui yenu ni hayo mataifa ya itikadi kali yanayowapa maagizo ya kufanya jihad dhidi ya jamii ya kikristu na kiyahudi. Tunategemeana, uchumi wenu ni uchumi wetu, msidhani mnaweza bila sisi...
www.jamiiforums.com
Ndugu zangu waislam, tuitunze hii amani tuliyonayo, msirithishwe chuki